Waliogundua hesabu ngumu walikuwa wanatafuta nini na walizigunduaje?

unajua maana ya Accient Civilization ndugu tuanzie hapo kwanza,Kama hujui basi nafunga mjadala siwezi bishana na mtu Kama wewe!
Watu hawajui history even their background ni rahisi kukupinga kwa watu waliosoma vitabu tena vilivyoandikwa na hao hao wazungu
hata kina socrates, plato na wengine wengi wanajua na wanaushuhudia mchango mkubwa wa egypt ya kale sio kwa ancient civilisation tu hata tech ya leo.
Ancient egpyt ni msingi wa kila tech unayo ihusudu leo.
History wanayo ijua ni ile vitabu vya dini vimewafundisha na baada ya ujio wa mkoloni wanayosoma darasan.
 
TOPIC INAITWA "PROBABILITY"[emoji818]

kwanini sasa huwa wana solve ?! Kama ni hesabu za ukadiriaji ??
Makadirio yanafanyika kwa umakini mkubwa sana
Hata mambo ya bajeti, social Security, utabiri wa hali ya hewa ni hesabu za makadirio lakini hufanywa kwa hesabu ya kiwango kikubwa
 
Ni kweli mkuu wangu Afrika hasa sisi watu weusi hatuna maarifa Kabisa tunasoma elimu nyepesi Sana Tena Sana kiasi kwamba Kama sio mtu wa kujisomea nje ya Yale yaliyopo Kwenye mfumo basi utakua mweupe Sana Sana na hapo akija mtu aliyechukua maarifa nje ya mfumo wetu watu watampinga na kuona Kama miujiza flani haviwezekani Kabisa kumbe tatizo
Elimu!elimu!Elimu!
 
To prevent a car from skiding,
Inaitwa angle of banking
Tatizo walimu wanaotufundisha ni wale waliopata division three, yaani mwalimu haelewi anachokifundisha, mfano sisi ticha wetu wa chemistry alifundisha orbital kwa miaka yote miwili mpaka tukambatiza jina orbital, yaani anachokifundisha yeye mwemyewe hakielewi,

Ticha wa Mathematics anafundisha Intergration ukimuuliza swali anasema vijana mnajifanya mnajua sana 😄.

Kiufupi ni kwamba hesabu ni lugha rahisi ya kuelezea scientific experiment au findings,
Jamaa haelewi kuwa bila trigonometrical ratio huwezi kupata vipimo vya kitu kilichokatika angle,

Wengine wanasema logarithm hazina kazi 😃 hawajui kuwa bila logarithm kipimo cha PH kisingekuwepo, hii maana yake ni kwamba watu huwakuelewa walichofundishwa,

Mtu hajui kuwa trigonometry inatumika kwemye projectile motion kurusha kombora au mpira kikapuni



Ukitaka kujua kuwa humu ndani kuna wajinga wengi soma comment kuanzia page ya kwanza mpaka ya nne, tena wengine wamesoma advance kabisa wanakuambia Malaika ndio walishisha hesabu
 
Hesabu kazi yake ni Kusolve complicated problems easily kwahio walikuwa wanatafuta urahisi wa kufanya mambo kwa wakati husika
 
Wadau oneni huyu jamaa alivyo mweupe narudia Tena Nenda kawasome wamisri wa kale uone maajabu Yao Kama hujui wanafalsafa wote na wanamahesabu wakubwa wa kigiriki walipata elimu ya Nyota,Uhandisi,Hesabu,Tiba na mambo kibao Toka Kwa wamisri wa kale ambao wewe unawachukulia poa na kuita wajima
Socrates,Plato, Geometry na miamba wengine wote walisoma vyuo Alexandria huko huko misri!
 
Hahaaa umenikumbusha juu ya mgonjwa mmoja anaitwa kanuti
 
Hesabu ni kipimo sahihi cha kupima uwezo wa mtu kufikiri, pia ukirejea mashuleni wanafunzi wanaolimudu vizuri somo la Hisabati( Mathematics) wengi wao hata matokeo yao ya mitihani ya NECTA huwa ni mazuri kuliko wazembe wa hesabu, ndo hao husoma combination za PCM, PMC,PGM,PCB,EGM,CBG,CBN ambao hulisaidia taifa ktk kazi za Uhandisi, Urubani ,Udaktari, Unahodha nk.

Hata kazi ya ufundi selemala na ushonaji nguo Kama mtu hajui hesabu atatumia materials nyingi kuliko yule anayezimudu vizuri, nenda kwenye biashara yule anayejua hesabu vizuri ni rahisi kuendesha biashara kwa faida.

Kwahiyo tuwahimize watoto wetu kupenda Hisabati.

Mathematics is our own language, let's speak it!!!
 
 
Stori yako kama yangu. Hesabu zilikuwa zinanitesa sana. Nilipoingia form four tukapewa vitabu. Nikaanza kusoma Earth as a sphere, nikaona ha!, inaenda. Nikasoma na linear programming na probability. NECTA napata B hata mwenyewe sikuamini.

Hesabu zina matumizi mengi sana, kama hujui hesabu hata kukadiria gharama za kujenga nyumba utashindwa. Lazima ujue urefu na upana wa ukuta. Urefu na upana wa tofali nk
 
Duh nieleweshe mkuu kwanini kuna slope..hlf sijawahi kuchunguza aisee.
 
Kuna muda mwingine kipaji changu Cha mahesabu Nakikumbuka ila nili kipotezea......

Much respect kwa engineer Joshua.....

Huyu jamaa alinifanya nikawa mtu M BAD kweny Mathematics.....

Kitabia mimi ni mpole na mkimya Nakumbuka jinsi jamaa furani walivyokua wananidharau walitolewa jasho na topic za pure math.....

Nilipo waomba niwasaidie tangu siku ile na kuendelea nikawafundisha in easy way...tangu siku ile walianza kuniangalia kwa jicho la tofauti....dharau zote ziliondoka Born Mathematician.
 
Kuna muda mwingine kipaji changu Cha mahesabu Nakikumbuka ila nili kipotezea......

Much respect kwa engineer Joshua.....

Huyu jamaa alinifanya nikawa mtu M BAD kweny Mathematics.....

Kitabia mimi ni mpole na mkimya Nakumbuka jinsi jamaa fulani walivyokua wananidharau walitolewa jasho na topic za pure math.....

Nilipo waomba niwasaidie tangu siku ile na kuendelea nikawafundisha in easy way...tangu siku ile walianza kuniangalia kwa jicho la tofauti....dharau zote zili waondoka.... Born Mathematician.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…