Niliwahi kuambiwa na Mwalimu wangu kuwa miongoni mwa matumizi ya Log ni kupima tetemeko la ardhi.Sioni matumizi ya hesabu kama trigono ratio au logarithim ktk maisha ya kawaida. Yaan zinatumika wapi?
Huwezi ukayaona kama wewe uliishia form4 kusoma hesabu/sayansi.Sioni matumizi ya hesabu kama trigono ratio au logarithim ktk maisha ya kawaida. Yaan zinatumika wapi?
Mbinguni. Inatosha..Sioni matumizi ya hesabu kama trigono ratio au logarithim ktk maisha ya kawaida. Yaan zinatumika wapi?
Chunguza ndiyo utajua hesabu inatumika sana katika daily life.Duh nieleweshe mkuu kwanini kuna slope..hlf sijawahi kuchunguza aisee.
Umenikumbusha Physics ya Advance topic ya MECHANICSTo prevent a car from skiding,
Inaitwa angle of bankingView attachment 1963950
Tatizo walimu wanaotufundisha ni wale waliopata division three, yaani mwalimu haelewi anachokifundisha, mfano sisi ticha wetu wa chemistry alifundisha orbital kwa miaka yote miwili mpaka tukambatiza jina orbital, yaani anachokifundisha yeye mwemyewe hakielewi,
Ticha wa Mathematics anafundisha Intergration ukimuuliza swali anasema vijana mnajifanya mnajua sana [emoji1].
Kiufupi ni kwamba hesabu ni lugha rahisi ya kuelezea scientific experiment au findings,
Jamaa haelewi kuwa bila trigonometrical ratio huwezi kupata vipimo vya kitu kilichokatika angle,
Wengine wanasema logarithm hazina kazi [emoji2] hawajui kuwa bila logarithm kipimo cha PH kisingekuwepo, hii maana yake ni kwamba watu huwakuelewa walichofundishwa,
Mtu hajui kuwa trigonometry inatumika kwemye projectile motion kurusha kombora au mpira kikapuniView attachment 1964014
View attachment 1964016
View attachment 1964017
Ukitaka kujua kuwa humu ndani kuna wajinga wengi soma comment kuanzia page ya kwanza mpaka ya nne, tena wengine wamesoma advance kabisa wanakuambia Malaika ndio walishisha hesabu
kitonger Fuatilia hapa jamaa kafafanua.To prevent a car from skiding,
Inaitwa angle of bankingView attachment 1963950
Tatizo walimu wanaotufundisha ni wale waliopata division three, yaani mwalimu haelewi anachokifundisha, mfano sisi ticha wetu wa chemistry alifundisha orbital kwa miaka yote miwili mpaka tukambatiza jina orbital, yaani anachokifundisha yeye mwemyewe hakielewi,
Ticha wa Mathematics anafundisha Intergration ukimuuliza swali anasema vijana mnajifanya mnajua sana [emoji1].
Kiufupi ni kwamba hesabu ni lugha rahisi ya kuelezea scientific experiment au findings,
Jamaa haelewi kuwa bila trigonometrical ratio huwezi kupata vipimo vya kitu kilichokatika angle,
Wengine wanasema logarithm hazina kazi [emoji2] hawajui kuwa bila logarithm kipimo cha PH kisingekuwepo, hii maana yake ni kwamba watu huwakuelewa walichofundishwa,
Mtu hajui kuwa trigonometry inatumika kwemye projectile motion kurusha kombora au mpira kikapuniView attachment 1964014
View attachment 1964016
View attachment 1964017
Ukitaka kujua kuwa humu ndani kuna wajinga wengi soma comment kuanzia page ya kwanza mpaka ya nne, tena wengine wamesoma advance kabisa wanakuambia Malaika ndio walishisha hesabu
[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]Mihesabu kama ya Trigonometric ratios
(Tan, Cos na Sin), Calculus n.k. na mihesabu migumumigumu ya chuo kikuu iligunduliwaje?
View attachment 1963923
Yani mtu unasolve page nne ndio unapata jibu jamani!!! Sasa walifikiajefikiaje muafaka kwamba ukifanya hivi hivi ukaja hivi na hivi mpaka mwisho ndio mjibu huo umetiki??
View attachment 1963924
Kwakweli hesabu ni jambo la kushangaza sana. Hebu tupeni historia ya kugunduliwa hesabu mpaka leo. Na je hakuna hesabu mpya zilizogunduliwa miaka ya karibuni?
E=mc2 is such a terrible equation.
Einstein akatuletea shida dunian
Einstein na Tesla Hawa watu walikuwa wako dunia yaoE=mc2 is such a terrible equation.
Einstein akatuletea shida duniani.
Pia Kuna space equetion.Hesabu kama zile za parabola, dah hatari sana.
probabilityMoja ya application ya mathematics ni michezo ya kubahatisha
Mdau bila shaka utakuwa umesoma moshi tech et??To prevent a car from skiding,
Inaitwa angle of bankingView attachment 1963950
Tatizo walimu wanaotufundisha ni wale waliopata division three, yaani mwalimu haelewi anachokifundisha, mfano sisi ticha wetu wa chemistry alifundisha orbital kwa miaka yote miwili mpaka tukambatiza jina orbital, yaani anachokifundisha yeye mwemyewe hakielewi,
Ticha wa Mathematics anafundisha Intergration ukimuuliza swali anasema vijana mnajifanya mnajua sana [emoji1].
Kiufupi ni kwamba hesabu ni lugha rahisi ya kuelezea scientific experiment au findings,
Jamaa haelewi kuwa bila trigonometrical ratio huwezi kupata vipimo vya kitu kilichokatika angle,
Wengine wanasema logarithm hazina kazi [emoji2] hawajui kuwa bila logarithm kipimo cha PH kisingekuwepo, hii maana yake ni kwamba watu huwakuelewa walichofundishwa,
Mtu hajui kuwa trigonometry inatumika kwemye projectile motion kurusha kombora au mpira kikapuniView attachment 1964014
View attachment 1964016
View attachment 1964017
Ukitaka kujua kuwa humu ndani kuna wajinga wengi soma comment kuanzia page ya kwanza mpaka ya nne, tena wengine wamesoma advance kabisa wanakuambia Malaika ndio walishisha hesabu
niliwahi kusoma sehemu kuhusu maajabu ya hesabu. inasemekana siri na maarifa ya mbalimbali ya kiulimwengu yamefichwa katika calculation za hesabu.Mihesabu kama ya Trigonometric ratios
(Tan, Cos na Sin), Calculus n.k. na mihesabu migumumigumu ya chuo kikuu iligunduliwaje?
View attachment 1963923
Yani mtu unasolve page nne ndio unapata jibu jamani!!! Sasa walifikiajefikiaje muafaka kwamba ukifanya hivi hivi ukaja hivi na hivi mpaka mwisho ndio mjibu huo umetiki??
View attachment 1963924
Kwakweli hesabu ni jambo la kushangaza sana. Hebu tupeni historia ya kugunduliwa hesabu mpaka leo. Na je hakuna hesabu mpya zilizogunduliwa miaka ya karibuni?
Nimecheka kama ulivocheka maana kanikumbusha Logic na Integration[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hakuna ngumu wala myepesi ubongo wako tuu!!!Na hesabu ngumu kuliko zote duniani ni ipi na hiyo hesabu inakuwa ngumu ikitafuta kitu gani?
Topic😛robability
Nawaambiaga madogo acheni niringe mziki wa Pure 1 si mchezo aacha kabisaaa!!!!Kuna ile kitu inaitwa Descrete mathematics au morden algebra acha kabisaa ile kitu inatesa kama bawasiri. Kuna mnyama Laplace transforms nyie acheni hili somo liwe la watu wachache