Walioitwa 'stupid' na Rais bado wapo ofisini wanakula kiyoyozi!

Walioitwa 'stupid' na Rais bado wapo ofisini wanakula kiyoyozi!

Resilience

JF-Expert Member
Joined
Jan 4, 2023
Posts
1,096
Reaction score
4,948
Lile neno stupid kwenye nchi zilizostaarabika lilipaswa kuambatana na barua yakuomba kukaa pembeni Kwa watu wafuatao;

1. Waziri mwenye dhamana na sekta ya usafiri kwa Tanzania Makame Mbarawa.

2. Afisa Masuuri (Katibu Mkuu wa wizara husika).

3. Waziri wa Fedha ambaye ndiye mlipaji.

4. Maafisa wote waliohusika na mchakato wa ukokotoaji na upokeaji wa hiyo invoice hadi kuiandika ilipwe.

Lakini kutokana na kukuosekana kwa collective accountability hakuna hata mmoja aliyetaka kusikia kauli ya kuchukuzwa kwa Rais. Tafsiri ya kukaa pembeni siyo kwamba umefanya bali yalipokuwa yanafanyika ulikuwepo na ulipaswa kuyaona ila hukuona au ulichelewa kutoa opinion yenye maslahi kwa umma.

Ila kwa Tanzania hata Rais angewataja kwa majina hakuna ambaye angeondoka ofisini hadi Rais atengue Kwa mkono wake!

Hiki kiburi cha watumishi na wanasiasa Tanzania, hakuna uwajibikaji, lakini pia Mawaziri wengi na Makatibu Wakuu wanaishi kwa salary, hivyo kwa kuwa hakuna alternative source ya income ni vigumu wao kukubali kurudi kujitegemea maana watoto watafukizwa ada.

Madhara ya kiburi hiki ni kwamba, Rais anaonekana anasema lakini hakuna kuchukua hatua kwa wale wanaomchukiza.
 
Lile neno stupid kwenye nchi zilizostaarabika lilipaswa kuambatana na barua yakuomba kukaa pembeni Kwa watu wafuatao;

1. Waziri mwenye dhamana na sekta ya usafiri kwa Tanzania Makame Mbarawa.

2. Afisa Masuuri (Katibu Mkuu wa wizara husika).

3. Waziri wa Fedha ambaye ndiye mlipaji.

4. Maafisa wote waliohusika na mchakato wa ukokotoaji na upokeaji wa hiyo invoice hadi kuiandika ilipwe.

Lakini kutokana na kukuosekana kwa collective accountability hakuna hata mmoja aliyetaka kusikia kauli ya kuchukuzwa kwa Rais. Tafsiri ya kukaa pembeni siyo kwamba umefanya bali yalipokuwa yanafanyika ulikuwepo na ulipaswa kuyaona ila hukuona au ulichelewa kutoa opinion yenye maslahi kwa umma.

Ila kwa Tanzania hata Rais angewataja kwa majina hakuna ambaye angeondoka ofisini hadi Rais atengue Kwa mkono wake!

Hiki kiburi cha watumishi na wanasiasa Tanzania, hakuna uwajibikaji, lakini pia Mawaziri wengi na Makatibu Wakuu wanaishi kwa salary, hivyo kwa kuwa hakuna alternative source ya income ni vigumu wao kukubali kurudi kujitegemea maana watoto watafukizwa ada.

Madhara ya kiburi hiki ni kwamba, Rais anaonekana anasema lakini hakuna kuchukua hatua kwa wale wanaomchukiza.
Mama ana upendeleo wa wazi kabisa ndo maana watumishi wengi wamekuwa liwalo na liwe, hebu angalia dili anazopiga JANUARY na MAHARAGANDE lakini hawaguswi.
Angalia janjajana za akina Bashe mpaka nchi inakosa chakula na kuanza kuagiza nje lakin hawaguswi. Angalia majigambo ya NAPE na TCCL inayokufa lakin hawawez kuguswa. Rais anataka wawajibike akina Mashimba NDAKI na akina LUKUVI serious!
 
Lile neno stupid kwenye nchi zilizostaarabika lilipaswa kuambatana na barua yakuomba kukaa pembeni Kwa watu wafuatao;

1. Waziri mwenye dhamana na sekta ya usafiri kwa Tanzania Makame Mbarawa.

2. Afisa Masuuri (Katibu Mkuu wa wizara husika).

3. Waziri wa Fedha ambaye ndiye mlipaji.

4. Maafisa wote waliohusika na mchakato wa ukokotoaji na upokeaji wa hiyo invoice hadi kuiandika ilipwe.

Lakini kutokana na kukuosekana kwa collective accountability hakuna hata mmoja aliyetaka kusikia kauli ya kuchukuzwa kwa Rais. Tafsiri ya kukaa pembeni siyo kwamba umefanya bali yalipokuwa yanafanyika ulikuwepo na ulipaswa kuyaona ila hukuona au ulichelewa kutoa opinion yenye maslahi kwa umma.

Ila kwa Tanzania hata Rais angewataja kwa majina hakuna ambaye angeondoka ofisini hadi Rais atengue Kwa mkono wake!

Hiki kiburi cha watumishi na wanasiasa Tanzania, hakuna uwajibikaji, lakini pia Mawaziri wengi na Makatibu Wakuu wanaishi kwa salary, hivyo kwa kuwa hakuna alternative source ya income ni vigumu wao kukubali kurudi kujitegemea maana watoto watafukizwa ada.

Madhara ya kiburi hiki ni kwamba, Rais anaonekana anasema lakini hakuna kuchukua hatua kwa wale wanaomchukiza.
Kuna mwingine kanunua LC 300 Landcruiser kamnununuloa demu wake yule wa simba baada ya kujifungua almost mil 400, huyo waziri wanasema kipara na ndiye mhujumu mkubwa wa mama kwenye mwanga wa usiku ule wa binaadamu yaani hata kuzima zima pale taifa siku ya mecho alihusika
 
Lile neno stupid kwenye nchi zilizostaarabika lilipaswa kuambatana na barua yakuomba kukaa pembeni Kwa watu wafuatao;

1. Waziri mwenye dhamana na sekta ya usafiri kwa Tanzania Makame Mbarawa.

2. Afisa Masuuri (Katibu Mkuu wa wizara husika).

3. Waziri wa Fedha ambaye ndiye mlipaji.

4. Maafisa wote waliohusika na mchakato wa ukokotoaji na upokeaji wa hiyo invoice hadi kuiandika ilipwe.

Lakini kutokana na kukuosekana kwa collective accountability hakuna hata mmoja aliyetaka kusikia kauli ya kuchukuzwa kwa Rais. Tafsiri ya kukaa pembeni siyo kwamba umefanya bali yalipokuwa yanafanyika ulikuwepo na ulipaswa kuyaona ila hukuona au ulichelewa kutoa opinion yenye maslahi kwa umma.

Ila kwa Tanzania hata Rais angewataja kwa majina hakuna ambaye angeondoka ofisini hadi Rais atengue Kwa mkono wake!

Hiki kiburi cha watumishi na wanasiasa Tanzania, hakuna uwajibikaji, lakini pia Mawaziri wengi na Makatibu Wakuu wanaishi kwa salary, hivyo kwa kuwa hakuna alternative source ya income ni vigumu wao kukubali kurudi kujitegemea maana watoto watafukizwa ada.

Madhara ya kiburi hiki ni kwamba, Rais anaonekana anasema lakini hakuna kuchukua hatua kwa wale wanaomchukiza.
Jina lako halijatajwa popote,Wala hujaskia cheo chako ujiuzulu wewe ni taahira?
 
Hivi, kama itakuwa ndiyo makubaliano ya kusaka fedha ya 2025 general election, na makubaliano hayo yakabarikiwa na wenye nchi, MTASEMAJE????? AU MNATAKA KUONA NINI, LICHAMA LIFUTWE AU NINI
Wachache wataelewa hili

Huyo waziri wa fedha anajua fika kila senti inaenda wapi, gavana anajua yote
Mazuzu tunapelekwa kwenye ushindi tena
Tunajua uchaguzi una gharama nyingi sana lazima watu wabebe magunia ya hela kuwapa wenye tamaa

Na mwisho wengine wanaambulia hata kofia yenye chapa na t-shirt inayochapishwa China
 
Samia hatakiwi kuwa ofisini
Sio Samia pekee ni CCM wote maana hata akija nani ufisadi haujawahi kuisha ndani ya CCM.

Kuna wakati huwa nawaza hata nafasi ya Urais isiwe ya kugombewa ila mtu anapewa "kazi" baada ya interview ikiwa na KPIs na asipozifikia basi atumbuliwe na bunge. Nadhani itakua better maana naona Kila anayechaguliwa anazidi kuwa fisadi kuliko mtangulizi wake.
 
Kuna mwingine kanunua LC 300 Landcruiser kamnununuloa demu wake yule wa simba baada ya kujifungua almost mil 400, huyo waziri wanasema kipara na ndiye mhujumu mkubwa wa mama kwenye mwanga wa usiku ule wa binaadamu yaani hata kuzima zima pale taifa siku ya mecho alihusika
Ile picha imekanushwa vikali mno kuwa ilikuwa Ni mtoto wa mchezAji Mohamed husseni ,ceo b Gonzalez alikwenda kumsalimia mtot

Ila Sina uhakika pia na mm

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 
Mama ana upendeleo wa wazi kabisa ndo maana watumishi wengi wamekuwa liwalo na liwe, hebu angalia dili anazopiga JANUARY na MAHARAGANDE lakini hawaguswi.
Angalia janjajana za akina Bashe mpaka nchi inakosa chakula na kuanza kuagiza nje lakin hawaguswi. Angalia majigambo ya NAPE na TCCL inayokufa lakin hawawez kuguswa. Rais anataka wawajibike akina Mashimba NDAKI na akina LUKUVI serious!
Siasa ndio shida hiyo, hata JPM alidai ni mpinga ufisadi ila Lugora hakufikishwa mahakamani, Sabaya hakufikishwa mahakamani, neither Makonda, pia Mwanyika licha ya kufanya ufisadi wa zaidi ya billion 2 aliachiwa na kupewa ubunge na JPM.

As long as tunatumia mfumo wa vyama vingi huwezi tumbua "inner core" Yako maana utasifiwa kwa uzalendo ila ndio usahau kurudi uchaguzi unaofuata.
 
Tema mate mwanangu nimchape!!!

Ukishatema, anazuga kama anamwadhibu afu ndo inaishia hapo.

Hayo ndo madhara ya kumwajiri mtu KAZI, baada ya kuajiriwa, anageuka na kujiita Eti "mama Etu".
 
Inabidi tuanze kuwaomba msamaha hao "stupid" mapema sana kabla ya mwaka ujao wa fedha, maana kama walikasirika kuitwa vile, next time watatupiga trillions badala ya billions wanazotupiga sasa...

Watanzania tuna shida nyingi sana masikini!.
 
Back
Top Bottom