Resilience
JF-Expert Member
- Jan 4, 2023
- 1,096
- 4,948
Lile neno stupid kwenye nchi zilizostaarabika lilipaswa kuambatana na barua yakuomba kukaa pembeni Kwa watu wafuatao;
1. Waziri mwenye dhamana na sekta ya usafiri kwa Tanzania Makame Mbarawa.
2. Afisa Masuuri (Katibu Mkuu wa wizara husika).
3. Waziri wa Fedha ambaye ndiye mlipaji.
4. Maafisa wote waliohusika na mchakato wa ukokotoaji na upokeaji wa hiyo invoice hadi kuiandika ilipwe.
Lakini kutokana na kukuosekana kwa collective accountability hakuna hata mmoja aliyetaka kusikia kauli ya kuchukuzwa kwa Rais. Tafsiri ya kukaa pembeni siyo kwamba umefanya bali yalipokuwa yanafanyika ulikuwepo na ulipaswa kuyaona ila hukuona au ulichelewa kutoa opinion yenye maslahi kwa umma.
Ila kwa Tanzania hata Rais angewataja kwa majina hakuna ambaye angeondoka ofisini hadi Rais atengue Kwa mkono wake!
Hiki kiburi cha watumishi na wanasiasa Tanzania, hakuna uwajibikaji, lakini pia Mawaziri wengi na Makatibu Wakuu wanaishi kwa salary, hivyo kwa kuwa hakuna alternative source ya income ni vigumu wao kukubali kurudi kujitegemea maana watoto watafukizwa ada.
Madhara ya kiburi hiki ni kwamba, Rais anaonekana anasema lakini hakuna kuchukua hatua kwa wale wanaomchukiza.
1. Waziri mwenye dhamana na sekta ya usafiri kwa Tanzania Makame Mbarawa.
2. Afisa Masuuri (Katibu Mkuu wa wizara husika).
3. Waziri wa Fedha ambaye ndiye mlipaji.
4. Maafisa wote waliohusika na mchakato wa ukokotoaji na upokeaji wa hiyo invoice hadi kuiandika ilipwe.
Lakini kutokana na kukuosekana kwa collective accountability hakuna hata mmoja aliyetaka kusikia kauli ya kuchukuzwa kwa Rais. Tafsiri ya kukaa pembeni siyo kwamba umefanya bali yalipokuwa yanafanyika ulikuwepo na ulipaswa kuyaona ila hukuona au ulichelewa kutoa opinion yenye maslahi kwa umma.
Ila kwa Tanzania hata Rais angewataja kwa majina hakuna ambaye angeondoka ofisini hadi Rais atengue Kwa mkono wake!
Hiki kiburi cha watumishi na wanasiasa Tanzania, hakuna uwajibikaji, lakini pia Mawaziri wengi na Makatibu Wakuu wanaishi kwa salary, hivyo kwa kuwa hakuna alternative source ya income ni vigumu wao kukubali kurudi kujitegemea maana watoto watafukizwa ada.
Madhara ya kiburi hiki ni kwamba, Rais anaonekana anasema lakini hakuna kuchukua hatua kwa wale wanaomchukiza.