Walioitwa 'stupid' na Rais bado wapo ofisini wanakula kiyoyozi!

Walioitwa 'stupid' na Rais bado wapo ofisini wanakula kiyoyozi!

Unachekesha wewe... magu alisema hadharani kina kabudi amewatukana pumbafu zakutosha na wakawa wanacheka ndohao wajinga eti wajiuzulu...
mi hata angeniita mafi kunuka siachi ofisiiii we mihela yadezo,migari,mikoneksheni,misafari,miumaarufu,midemu,mikuogopwa,mikunyenyekewa ... acha utani wewe!!
 
Lile neno stupid kwenye nchi zilizostaarabika lilipaswa kuambatana na barua yakuomba kukaa pembeni Kwa watu wafuatao;

1. Waziri mwenye dhamana na sekta ya usafiri kwa Tanzania Makame Mbarawa.

2. Afisa Masuuri (Katibu Mkuu wa wizara husika).

3. Waziri wa Fedha ambaye ndiye mlipaji.

4. Maafisa wote waliohusika na mchakato wa ukokotoaji na upokeaji wa hiyo invoice hadi kuiandika ilipwe.

Lakini kutokana na kukuosekana kwa collective accountability hakuna hata mmoja aliyetaka kusikia kauli ya kuchukuzwa kwa Rais. Tafsiri ya kukaa pembeni siyo kwamba umefanya bali yalipokuwa yanafanyika ulikuwepo na ulipaswa kuyaona ila hukuona au ulichelewa kutoa opinion yenye maslahi kwa umma.

Ila kwa Tanzania hata Rais angewataja kwa majina hakuna ambaye angeondoka ofisini hadi Rais atengue Kwa mkono wake!

Hiki kiburi cha watumishi na wanasiasa Tanzania, hakuna uwajibikaji, lakini pia Mawaziri wengi na Makatibu Wakuu wanaishi kwa salary, hivyo kwa kuwa hakuna alternative source ya income ni vigumu wao kukubali kurudi kujitegemea maana watoto watafukizwa ada.

Madhara ya kiburi hiki ni kwamba, Rais anaonekana anasema lakini hakuna kuchukua hatua kwa wale wanaomchukiza.
Kwa Tanzania ni ngumu sana watu hawa kuchukuliwa hatua kwani uongozi wa juu unajua watanzania hawatachukua hatua yoyote kama ilivyo kwa wenzetu wakenya na wengine. Mpaka tutakapokuwa na jeuri ndio mambo yatabadilika.
 
Mama ana upendeleo wa wazi kabisa ndo maana watumishi wengi wamekuwa liwalo na liwe, hebu angalia dili anazopiga JANUARY na MAHARAGANDE lakini hawaguswi.
Angalia janjajana za akina Bashe mpaka nchi inakosa chakula na kuanza kuagiza nje lakin hawaguswi. Angalia majigambo ya NAPE na TCCL inayokufa lakin hawawez kuguswa. Rais anataka wawajibike akina Mashimba NDAKI na akina LUKUVI serious!
Hebu tuonyeshe dili anazopiga January.
Kisha za Maharagande nazo ni zipi?
Janja janja za akina Bashe ni zipi ambazo zimesababisha nchi kuagiza chakula?
Sababu ya kwanza kubwa ya kwanza ya upungufu wa chakula ilikuwa ni mabadiliko ya tabia nchi yaliyosababisha ukame hadi kuvuna mazao machache. Janja janja za akina Bashe zilisababisha ukame?
Sababu ya pili ni vita vya Ukraine ambako pamoja na Russia wanatoa karibia 40% ya ngano duniani, janja za akina Bashe zimesababishaje vita vya Ukraine?
Nyingine inaweza kuwa ni makubaliano ya soko la pamoja la Afrika mashariki ambako mkulima anaweza kuuza mazao yake popote.
Mfumo huu umetengenezwa na CCM kwa muda mrefu, hata awamu iliyopita wizi haukukomeshwa bali walibadilishwa wezi.
Sh 1.5t CAG alisema hazina maelezo zimetumika vipi, na hakuna awamu yeyote ambayo kuna pesa nyingi zimewahi kupigwa kama hizi. Lakini iliishia kwa CAG kufutwa kazi kinyume cha sheria na hata bunge kimya, zaidi tulimsikia spika akisema atake asitake lazima tutamuongezea muda.
Serikali iliyoingia madarakani kwa wizi wa kura ni wezi, kuwakabidhi hazina ya nchi majanga lazima yatokee kama haya ya upigaji.
Tatizo CCM mna makundi na haya ni matokeo ya vita vyenu sukumagang na Msoga gang, dawa ni katiba mpya bora ili uwajibikaji upewe nguvu ya kisheria siyo huruma ya aliye madarakani
 
Wachache wataelewa hili

Huyo waziri wa fedha anajua fika kila senti inaenda wapi, gavana anajua yote
Mazuzu tunapelekwa kwenye ushindi tena
Tunajua uchaguzi una gharama nyingi sana lazima watu wabebe magunia ya hela kuwapa wenye tamaa

Na mwisho wengine wanaambulia hata kofia yenye chapa na t-shirt ya inayochapishwa China
Na kavalia sharti lilipasuka mgongoni😂😂😂
 
Nasemajeee imeishaa hiyo 😅 Huyo katibu wa masuul tulikuwa naye viwanja jana anajiachia tu wala Hana hata tone la waswas 🤣🤣🤣
Lile neno stupid kwenye nchi zilizostaarabika lilipaswa kuambatana na barua yakuomba kukaa pembeni Kwa watu wafuatao;

1. Waziri mwenye dhamana na sekta ya usafiri kwa Tanzania Makame Mbarawa.

2. Afisa Masuuri (Katibu Mkuu wa wizara husika).

3. Waziri wa Fedha ambaye ndiye mlipaji.

4. Maafisa wote waliohusika na mchakato wa ukokotoaji na upokeaji wa hiyo invoice hadi kuiandika ilipwe.

Lakini kutokana na kukuosekana kwa collective accountability hakuna hata mmoja aliyetaka kusikia kauli ya kuchukuzwa kwa Rais. Tafsiri ya kukaa pembeni siyo kwamba umefanya bali yalipokuwa yanafanyika ulikuwepo na ulipaswa kuyaona ila hukuona au ulichelewa kutoa opinion yenye maslahi kwa umma.

Ila kwa Tanzania hata Rais angewataja kwa majina hakuna ambaye angeondoka ofisini hadi Rais atengue Kwa mkono wake!

Hiki kiburi cha watumishi na wanasiasa Tanzania, hakuna uwajibikaji, lakini pia Mawaziri wengi na Makatibu Wakuu wanaishi kwa salary, hivyo kwa kuwa hakuna alternative source ya income ni vigumu wao kukubali kurudi kujitegemea maana watoto watafukizwa ada.

Madhara ya kiburi hiki ni kwamba, Rais anaonekana anasema lakini hakuna kuchukua hatua kwa wale wanaomchukiza.
 
Tema mate mwanangu nimchape!!!

Ukishatema, anazuga kama anamwadhibu afu ndo inaishia hapo.

Hayo ndo madhara ya kumwajiri mtu KAZI, baada ya kuajiriwa, anageuka na kujiita Eti "mama Etu".
Hahahah kakuudhi eeh msamehe bure ndiyo hulka yake ati 🤣🤣
 
Hivi waziri wa fedha aliyeidhinisha siyo huyu mchumi no moja Mwigulu?
Huyu hakuwa mmoja wa wahusika wa task force ya kupora raia fedha zao kwenye plea bargaining?
Kama hii mijizi iko madarakani tusahau habari za uwajibikaji CCM ni ukoo wa panya
 
Alikuwa ana wasingizia ndio maana hajachukua hatua yeyote ile……
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji3059][emoji3059][emoji23][emoji23][emoji23][emoji28][emoji28][emoji28]
 
Kifupi serikali ya ccm na watumishi wake hawafai kuendelea kupewa dhamana ya fedha zetu na madaraka
Sawa, ila tuwape kina nani sasa mzee baba, sbbu wengine tunaogopa watasaini makubaliano na LGBTQ...[emoji2960][emoji2960][emoji2960]
 
Lile neno stupid kwenye nchi zilizostaarabika lilipaswa kuambatana na barua yakuomba kukaa pembeni Kwa watu wafuatao;

1. Waziri mwenye dhamana na sekta ya usafiri kwa Tanzania Makame Mbarawa.

2. Afisa Masuuri (Katibu Mkuu wa wizara husika).

3. Waziri wa Fedha ambaye ndiye mlipaji.

4. Maafisa wote waliohusika na mchakato wa ukokotoaji na upokeaji wa hiyo invoice hadi kuiandika ilipwe.

Lakini kutokana na kukuosekana kwa collective accountability hakuna hata mmoja aliyetaka kusikia kauli ya kuchukuzwa kwa Rais. Tafsiri ya kukaa pembeni siyo kwamba umefanya bali yalipokuwa yanafanyika ulikuwepo na ulipaswa kuyaona ila hukuona au ulichelewa kutoa opinion yenye maslahi kwa umma.

Ila kwa Tanzania hata Rais angewataja kwa majina hakuna ambaye angeondoka ofisini hadi Rais atengue Kwa mkono wake!

Hiki kiburi cha watumishi na wanasiasa Tanzania, hakuna uwajibikaji, lakini pia Mawaziri wengi na Makatibu Wakuu wanaishi kwa salary, hivyo kwa kuwa hakuna alternative source ya income ni vigumu wao kukubali kurudi kujitegemea maana watoto watafukizwa ada.

Madhara ya kiburi hiki ni kwamba, Rais anaonekana anasema lakini hakuna kuchukua hatua kwa wale wanaomchukiza.
Kwa Tanzania hawa ni wajanja kwani wanaiba na hakuna lolote wanalofanywa.
 
Kuna mwingine kanunua LC 300 Landcruiser kamnununuloa demu wake yule wa simba baada ya kujifungua almost mil 400, huyo waziri wanasema kipara na ndiye mhujumu mkubwa wa mama kwenye mwanga wa usiku ule wa binaadamu yaani hata kuzima zima pale taifa siku ya mecho alihusika
Huyu kipara ni nani?🤔
 
Back
Top Bottom