Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yeah alikuwa mwizi kupitia washkaji zake na vijana wake, binafsi nimeongelea ishu ya maamuzi ya hapo kwa papo aliyokuwa akiyafanya Kama CinCMagu naye alikuwa na majizi yake aliyoyapa ushirikiano. Kuna walioficha hela za plea bargaining, kuna waliopora mchana kina Sabaya na Makonda. Kuna Kakoko na yeye mwenyewe Magufuli.
Tatizo linalotukabili ni kwamba hatuna alternative!Kifupi serikali ya ccm na watumishi wake hawafai kuendelea kupewa dhamana ya fedha zetu na madaraka
Aliyewaita kuwa stupids kaishia hapo, wakati ana mamlaka ya mwisho kabisa kuwawajibisha. Kwanini wao wahangaike?
Huko walipo wanajifariji kinafiki kwamba sio Mimi ni Fulani, hivyo hawawezi hata kujisuta nafsini mwao, watawezaje kujiuzulu?
Btw, ununuzi wa ndege kama sijakosea ulihamishiwa ofisi ya Rais , tangu enzi za awamu ya Tano .Kwa hiyo, na hiyo inaweza kuwa kizungumkuti' aiseee...kaazi kwelikweli.
Jina lako halijatajwa popote,Wala hujaskia cheo chako ujiuzulu wewe ni taahira?
Wachache wataelewa hili
Huyo waziri wa fedha anajua fika kila senti inaenda wapi, gavana anajua yote
Mazuzu tunapelekwa kwenye ushindi tena
Tunajua uchaguzi una gharama nyingi sana lazima watu wabebe magunia ya hela kuwapa wenye tamaa
Na mwisho wengine wanaambulia hata kofia yenye chapa na t-shirt inayochapishwa China
Tatizo linalotukabili ni kwamba hatuna alternative!
Aliyewaita stupid sasa yeye je?
Sio kila jambo la kiserikali linatangazwa hadharani.
Sawa, ila tuwape kina nani sasa mzee baba, sbbu wengine tunaogopa watasaini makubaliano na LGBTQ...[emoji2960][emoji2960][emoji2960]
Unaongelea derail?. Mbona kasha derail zamani Sana. Yani adhabu ya mwizi wa bilioni kumi za vishikwambi Ni stupid. Hizo ripoti zao wazisomee chumbani kwao.Ma.ma: You are our President, our guide and our leader. Tunakuamini na tunakukubali. Piga Kazi na usipuuze ushauri ushauri ila usiendekeze kila lisemwalo. They want to see you derail ili wafurahi....HASBIYA WALLAHI WANI' LMAL WAKIL...They will not succeed biidhnillah...RAMADHAN KARIM
Mimi kinachonishangaza ni ukimya wa vyo habari ..haya mambo ya auditing report y CAG hata hayawahusu
Wewe unawajua?Mbona Rais kasema wazi walioongeza pesa kwenye ununuzi wa ndege ya mizigo wakae pembeni wao wamegoma.
Hakutakiwa kuwa taha rais wa mpito
Naomba Nikuambie kuwa Ile Kauli ya Rais Kuwa "Watupishe" ni AMRI na hao wahusika kama bado hawajatupisha inamaanisha kuwa hawajaitii AMRI Ya Rais. Hivyo basi Vyombo husika vya kuwachomoa huko ofisini vinapaswa kufanya kazi yake labda kama pia vinadharau Hiyo AMRI Ya Rais.
Kile kipindi Cha EPA Rais Kikwete alitamka "Watupishe" na mara hiyo hiyo kina Tubaijuka "walitupisha".
Wewe unawajua?
"stupid" ni tayar onyo wamepew sasa unatak wapew adhabu mara Ngap mkuu
Na hili mkalitazame[emoji1783]