Walioitwa 'stupid' na Rais bado wapo ofisini wanakula kiyoyozi!

Yawezekana aliyewambia stupid ndiyo alitakiwa ajiuzulu
 
Anaonyesha udhaifu mkubwa sana. Kwa alichokiongea pale ukumbini, ilipaswa barua ya utenguzi ifuate au kutamka moja kwa moja kuwa fulani, fulani nisikuone ofisini kesho......
Hakuna rais pale, eti anawaambia wajitafakari. Kujitafakari nini?! Mbona mwizi wa simu hawaambiwi wajitafakari
 
Hakuna rais pale, eti anawaambia wajitafakari. Kujitafakari nini?! Mbona mwizi wa simu hawaambiwi wajitafakari
Kwa ai aina hii ya uongozi wa mama, hakika Magu ataendelea kukumbukwa kwa maamuzi yake ya papo kwa hapo.
 
Kwa ai aina hii ya uongozi wa mama, hakika Magu ataendelea kukumbukwa kwa maamuzi yake ya papo kwa hapo.
Magu naye alikuwa na majizi yake aliyoyapa ushirikiano. Kuna walioficha hela za plea bargaining, kuna waliopora mchana kina Sabaya na Makonda. Kuna Kakoko na yeye mwenyewe Magufuli.
 
Ma.ma: You are our President, our guide and our leader. Tunakuamini na tunakukubali. Piga Kazi na usipuuze ushauri ushauri ila usiendekeze kila lisemwalo. They want to see you derail ili wafurahi....HASBIYA WALLAHI WANI' LMAL WAKIL...They will not succeed biidhnillah...RAMADHAN KARIM
 
Mimi kinachonishangaza ni ukimya wa vyo habari ..haya mambo ya auditing report y CAG hata hayawahusu
 
Mtu ashakunja mijihela hata ukimuita stupid,wala hajali

Ova
 
Ma-stupid wapo wengi sana maofisini.

Kuanzia sasa mtu akifanya ubadhirifu wa mali za umma tumuite stupid.
 
Mtu ameshaweka bilioni zake matakoni hata umwite stupid mwaka mzima haiwezi kumsumbua na hata ukimtumbua ataenda kufanya mambo yake maana tayari mtaji anao.
 
Aliyewaita kuwa stupids kaishia hapo, wakati ana mamlaka ya mwisho kabisa kuwawajibisha. Kwanini wao wahangaike?

Huko walipo wanajifariji kinafiki kwamba sio Mimi ni Fulani, hivyo hawawezi hata kujisuta nafsini mwao, watawezaje kujiuzulu?
Naomba Nikuambie kuwa Ile Kauli ya Rais Kuwa "Watupishe" ni AMRI na hao wahusika kama bado hawajatupisha inamaanisha kuwa hawajaitii AMRI Ya Rais. Hivyo basi Vyombo husika vya kuwachomoa huko ofisini vinapaswa kufanya kazi yake labda kama pia vinadharau Hiyo AMRI Ya Rais.

Kile kipindi Cha EPA Rais Kikwete alitamka "Watupishe" na mara hiyo hiyo kina Tubaijuka "walitupisha".
 
Hao viongozi ni washenzi tu mwisho wao ni aibu kubwa. Hongera Rais kwa kuwakemea bila ya kuwaonea aibu.
 
Tatizo la nchi hii Sio Samia Tatizo la nchi hii ni CCM. Bila ya CCM kuondoshwa madarakani Nothing will change.
 
Fungua codes vizuri tufaidike
 
"stupid" ni tayar onyo wamepew sasa unatak wapew adhabu mara Ngap mkuu


Na hili mkalitazame[emoji1783]
 
Inawezekana mh raisi aliongea tu hilo neno kwa hasira lakini hakujua anamtukana nani,
Na baada ya kuwajua yeye tena anaweza kuwaomba msamaha wakati sisi tunasubili matokeo😁😁😁😁
 
Na iwe hivyo ndugu...Ndicho tunachotaka.

Shida " Watupishe" yake inaonekana inakosa mamlaka fulani hivi, ndio maana watu wanahoji kama imeishia pale ama laa. Chanzo ni Kauli za Mama juu ya Wezi kumuogopa Mungu.

Kimsingi mpaka leo ilipaswa tuwe tumewajua tayari, lakini ajabu hawajulikani bado.
 
Aliyewaita kuwa stupids kaishia hapo, wakati ana mamlaka ya mwisho kabisa kuwawajibisha. Kwanini wao wahangaike?

Huko walipo wanajifariji kinafiki kwamba sio Mimi ni Fulani, hivyo hawawezi hata kujisuta nafsini mwao, watawezaje kujiuzulu?
Mama hajaishia hapo lazima wawajibishwe wait and see
 
Au mama nae huwa anapewa 10% nini? kwanini anawaambia mtupishe badala ya kuwafungulia kesi, kuwafilisi na kuwafunga?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…