Rwankomezi
JF-Expert Member
- Sep 5, 2013
- 3,285
- 2,636
Katiba hauwezi ipata mana wanaohusika na kuiandaa hawataki ,Jambo la msingi ni kuingia barabarani tuYaani matapeli wanawaibia watu milioni 280, wanatozwa faini ya laki 5! Halafu yule masikini aliyekamatwa na nyama ya porini, alihukumiwa miaka 20 na yule Hakimu wa Mafinga!!
Hii nchi kwa hapa tulipofikia, tunahitaji Katiba Mpya.
Noma sanaYaani matapeli wanawaibia watu milioni 280, wanatozwa faini ya laki 5! Halafu yule masikini aliyekamatwa na nyama ya porini, alihukumiwa miaka 20 na yule Hakimu wa Mafinga!!
Hii nchi kwa hapa tulipofikia, tunahitaji Katiba Mpya.
Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, Dar es Salaam, imewahukumu Amiry Luwiso na Ashirafu Awadh waliokuwa wakikabiliwa na mashtaka mawili ikiwemo ya kuongoza genge la uhalifu kwa njia ya mtandao na kujipatia zaidi ya Sh milioni 280 kwenda jela miezi sita au kulipa faini ya Sh 500,000 kila mmoja baada ya kukiri mashtaka yanayowakabili.
Hukumu hiyo iitolewa juzi na Hakimu Mkazi Mkuu, Pamela Mazengo baada ya washtakiwa hao kutimiza masharti ya makubaliano ya kukiri kosa kwa Mkurugenzi wa Mashtaka (DPP).
Akiwasomea hukumu hiyo, Hakimu Mazengo alisema mahakama imetoa hukumu hiyo kwa kuzingatia kitendo cha washtakiwa hao kukiri mashtaka yao bila kuisumbua mahakamani na kwa kuzingatia makubaliano kati yao na DPP.
Chanzo: Habari Leo
Kituko kingine Tz na waliposema ni nchi ya pili kwa kuwa na vivutio vya utalii ndio hiviMahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, Dar es Salaam, imewahukumu Amiry Luwiso na Ashirafu Awadh waliokuwa wakikabiliwa na mashtaka mawili ikiwemo ya kuongoza genge la uhalifu kwa njia ya mtandao na kujipatia zaidi ya Sh milioni 280 kwenda jela miezi sita au kulipa faini ya Sh 500,000 kila mmoja baada ya kukiri mashtaka yanayowakabili.
Hukumu hiyo iitolewa juzi na Hakimu Mkazi Mkuu, Pamela Mazengo baada ya washtakiwa hao kutimiza masharti ya makubaliano ya kukiri kosa kwa Mkurugenzi wa Mashtaka (DPP).
Akiwasomea hukumu hiyo, Hakimu Mazengo alisema mahakama imetoa hukumu hiyo kwa kuzingatia kitendo cha washtakiwa hao kukiri mashtaka yao bila kuisumbua mahakamani na kwa kuzingatia makubaliano kati yao na DPP.
Chanzo: Habari Leo
UmeonaeeeHalafu mtu hajasajili kanisa adhabu miaka 3 jela
Kwani katiba ya sasa inasema wafanye haya au ulafi tu!Yaani matapeli wanawaibia watu milioni 280, wanatozwa faini ya laki 5! Halafu yule masikini aliyekamatwa na nyama ya porini, alihukumiwa miaka 20 na yule Hakimu wa Mafinga!!
Hii nchi kwa hapa tulipofikia, tunahitaji Katiba Mpya.
Hehehe kazi kweliHalafu mtu hajasajili kanisa adhabu miaka 3 jela
Bado hamjasemaaYaani matapeli wanawaibia watu milioni 280, wanatozwa faini ya laki 5! Halafu yule masikini aliyekamatwa na nyama ya porini, alihukumiwa miaka 20 na yule Hakimu wa Mafinga!!
Hii nchi kwa hapa tulipofikia, tunahitaji Katiba Mpya.
This is very fair!. Watanzania tunahitaji kuelimishwa kuhusu katiba, sheria na haki, ikiwemo plea bargain. Ukiiba hata mabilioni kama yale ya EPA, ukakubali ni kweli umeiba, mkakubaliana na DPP utarudisha ulichoiba, then unapunguziwa adhabu!. Mfano mzuri ni yale majizi ya EPA, Kagoda Haina Kesi, hawafikishwi Mahakamani Ng'o!Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, Dar es Salaam, imewahukumu Amiry Luwiso na Ashirafu Awadh waliokuwa wakikabiliwa na mashtaka mawili ikiwemo ya kuongoza genge la uhalifu kwa njia ya mtandao na kujipatia zaidi ya Sh milioni 280 kwenda jela miezi sita au kulipa faini ya Sh 500,000 kila mmoja baada ya kukiri mashtaka yanayowakabili.
Hukumu hiyo iitolewa juzi na Hakimu Mkazi Mkuu, Pamela Mazengo baada ya washtakiwa hao kutimiza masharti ya makubaliano ya kukiri kosa kwa Mkurugenzi wa Mashtaka (DPP).
Akiwasomea hukumu hiyo, Hakimu Mazengo alisema mahakama imetoa hukumu hiyo kwa kuzingatia kitendo cha washtakiwa hao kukiri mashtaka yao bila kuisumbua mahakamani na kwa kuzingatia makubaliano kati yao na DPP.
Chanzo: Habari Leo
Siku hizi hapa mjini usiombe pesa,omba connection tu!!Watu na michango Yao mjini.
Ndiyo maana ya "plea bargain" hiyo. Ni sheria yetu wenyewe, haina tatizo.Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, Dar es Salaam, imewahukumu Amiry Luwiso na Ashirafu Awadh waliokuwa wakikabiliwa na mashtaka mawili ikiwemo ya kuongoza genge la uhalifu kwa njia ya mtandao na kujipatia zaidi ya Sh milioni 280 kwenda jela miezi sita au kulipa faini ya Sh 500,000 kila mmoja baada ya kukiri mashtaka yanayowakabili.
Hukumu hiyo iitolewa juzi na Hakimu Mkazi Mkuu, Pamela Mazengo baada ya washtakiwa hao kutimiza masharti ya makubaliano ya kukiri kosa kwa Mkurugenzi wa Mashtaka (DPP).
Akiwasomea hukumu hiyo, Hakimu Mazengo alisema mahakama imetoa hukumu hiyo kwa kuzingatia kitendo cha washtakiwa hao kukiri mashtaka yao bila kuisumbua mahakamani na kwa kuzingatia makubaliano kati yao na DPP.
Chanzo: Habari Leo
Kuna mtu alichoma moto nyumba ya mwenzie alipofika mahakamani faini haikufika hata laki 2Mtu akikamatwa anachoma mkaa au kuuza anakula mvua za kutosha na faini km onyo kwa wengine ila mwizi wa mabilion ya fedha na ufisadi faini yake huwa ni ndogo sana.
Hukumu iliyotolewa ndiyo uhalisia wa nchi yetu ilivyo hata kwa viongozi.
Gharama ya kutengeneza treni used au meli inazidi bei ya treni au meli mpya na hakuna atakayemshitaki.
CCM oyeeee!
Nyuma ya pazia zimewatoka za kutosha sana japo wana mtaji wa kuanzia maisha badoMahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, Dar es Salaam, imewahukumu Amiry Luwiso na Ashirafu Awadh waliokuwa wakikabiliwa na mashtaka mawili ikiwemo ya kuongoza genge la uhalifu kwa njia ya mtandao na kujipatia zaidi ya Sh milioni 280 kwenda jela miezi sita au kulipa faini ya Sh 500,000 kila mmoja baada ya kukiri mashtaka yanayowakabili.
Hukumu hiyo iitolewa juzi na Hakimu Mkazi Mkuu, Pamela Mazengo baada ya washtakiwa hao kutimiza masharti ya makubaliano ya kukiri kosa kwa Mkurugenzi wa Mashtaka (DPP).
Akiwasomea hukumu hiyo, Hakimu Mazengo alisema mahakama imetoa hukumu hiyo kwa kuzingatia kitendo cha washtakiwa hao kukiri mashtaka yao bila kuisumbua mahakamani na kwa kuzingatia makubaliano kati yao na DPP.
Chanzo: Habari Leo
Dpp na hakimu wanagaiwa ngapi ngapi?Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, Dar es Salaam, imewahukumu Amiry Luwiso na Ashirafu Awadh waliokuwa wakikabiliwa na mashtaka mawili ikiwemo ya kuongoza genge la uhalifu kwa njia ya mtandao na kujipatia zaidi ya Sh milioni 280 kwenda jela miezi sita au kulipa faini ya Sh 500,000 kila mmoja baada ya kukiri mashtaka yanayowakabili.
Hukumu hiyo iitolewa juzi na Hakimu Mkazi Mkuu, Pamela Mazengo baada ya washtakiwa hao kutimiza masharti ya makubaliano ya kukiri kosa kwa Mkurugenzi wa Mashtaka (DPP).
Akiwasomea hukumu hiyo, Hakimu Mazengo alisema mahakama imetoa hukumu hiyo kwa kuzingatia kitendo cha washtakiwa hao kukiri mashtaka yao bila kuisumbua mahakamani na kwa kuzingatia makubaliano kati yao na DPP.
Chanzo: Habari Leo
Mauzauza hoyee!Mtu akikamatwa anachoma mkaa au kuuza anakula mvua za kutosha na faini km onyo kwa wengine ila mwizi wa mabilion ya fedha na ufisadi faini yake huwa ni ndogo sana.
Hukumu iliyotolewa ndiyo uhalisia wa nchi yetu ilivyo hata kwa viongozi.
Gharama ya kutengeneza treni used au meli inazidi bei ya treni au meli mpya na hakuna atakayemshitaki.
CCM oyeeee!
Hakika,mtu unashamgaa watu wanaangusha tu mijengo ya maana haulewi kumbe connectionSiku hizi hapa mjini usiombe pesa,omba connection tu!!