Waliojipatia Milioni 280 kwa njia ya Mtandao watozwa Faini ya Laki Tano

Waliojipatia Milioni 280 kwa njia ya Mtandao watozwa Faini ya Laki Tano

Yaani matapeli wanawaibia watu milioni 280, wanatozwa faini ya laki 5! Halafu yule masikini aliyekamatwa na nyama ya porini, alihukumiwa miaka 20 na yule Hakimu wa Mafinga!!

Hii nchi kwa hapa tulipofikia, tunahitaji Katiba Mpya.
Katiba hauwezi ipata mana wanaohusika na kuiandaa hawataki ,Jambo la msingi ni kuingia barabarani tu
 
IMG_4146.jpg
 
Kama ni hivi wacha nijiajiri kwenye sector ya uwizi tu.
Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, Dar es Salaam, imewahukumu Amiry Luwiso na Ashirafu Awadh waliokuwa wakikabiliwa na mashtaka mawili ikiwemo ya kuongoza genge la uhalifu kwa njia ya mtandao na kujipatia zaidi ya Sh milioni 280 kwenda jela miezi sita au kulipa faini ya Sh 500,000 kila mmoja baada ya kukiri mashtaka yanayowakabili.

Hukumu hiyo iitolewa juzi na Hakimu Mkazi Mkuu, Pamela Mazengo baada ya washtakiwa hao kutimiza masharti ya makubaliano ya kukiri kosa kwa Mkurugenzi wa Mashtaka (DPP).

Akiwasomea hukumu hiyo, Hakimu Mazengo alisema mahakama imetoa hukumu hiyo kwa kuzingatia kitendo cha washtakiwa hao kukiri mashtaka yao bila kuisumbua mahakamani na kwa kuzingatia makubaliano kati yao na DPP.

Chanzo: Habari Leo
 
Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, Dar es Salaam, imewahukumu Amiry Luwiso na Ashirafu Awadh waliokuwa wakikabiliwa na mashtaka mawili ikiwemo ya kuongoza genge la uhalifu kwa njia ya mtandao na kujipatia zaidi ya Sh milioni 280 kwenda jela miezi sita au kulipa faini ya Sh 500,000 kila mmoja baada ya kukiri mashtaka yanayowakabili.

Hukumu hiyo iitolewa juzi na Hakimu Mkazi Mkuu, Pamela Mazengo baada ya washtakiwa hao kutimiza masharti ya makubaliano ya kukiri kosa kwa Mkurugenzi wa Mashtaka (DPP).

Akiwasomea hukumu hiyo, Hakimu Mazengo alisema mahakama imetoa hukumu hiyo kwa kuzingatia kitendo cha washtakiwa hao kukiri mashtaka yao bila kuisumbua mahakamani na kwa kuzingatia makubaliano kati yao na DPP.

Chanzo: Habari Leo
Kituko kingine Tz na waliposema ni nchi ya pili kwa kuwa na vivutio vya utalii ndio hivi
 
Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, Dar es Salaam, imewahukumu Amiry Luwiso na Ashirafu Awadh waliokuwa wakikabiliwa na mashtaka mawili ikiwemo ya kuongoza genge la uhalifu kwa njia ya mtandao na kujipatia zaidi ya Sh milioni 280 kwenda jela miezi sita au kulipa faini ya Sh 500,000 kila mmoja baada ya kukiri mashtaka yanayowakabili.

Hukumu hiyo iitolewa juzi na Hakimu Mkazi Mkuu, Pamela Mazengo baada ya washtakiwa hao kutimiza masharti ya makubaliano ya kukiri kosa kwa Mkurugenzi wa Mashtaka (DPP).

Akiwasomea hukumu hiyo, Hakimu Mazengo alisema mahakama imetoa hukumu hiyo kwa kuzingatia kitendo cha washtakiwa hao kukiri mashtaka yao bila kuisumbua mahakamani na kwa kuzingatia makubaliano kati yao na DPP.

Chanzo: Habari Leo
This is very fair!. Watanzania tunahitaji kuelimishwa kuhusu katiba, sheria na haki, ikiwemo plea bargain. Ukiiba hata mabilioni kama yale ya EPA, ukakubali ni kweli umeiba, mkakubaliana na DPP utarudisha ulichoiba, then unapunguziwa adhabu!. Mfano mzuri ni yale majizi ya EPA, Kagoda Haina Kesi, hawafikishwi Mahakamani Ng'o!
P
 
Wazee wa Tuma hela kwenye namba hii wanajiamini sana kwa kuwa wanajua wanetengeneza Chain nzuri kuanzia Polisi hadi Mahamani na TCRA wakiwa busy na VPN wakiacha kabisa mambo ya kitapeli...
 
Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, Dar es Salaam, imewahukumu Amiry Luwiso na Ashirafu Awadh waliokuwa wakikabiliwa na mashtaka mawili ikiwemo ya kuongoza genge la uhalifu kwa njia ya mtandao na kujipatia zaidi ya Sh milioni 280 kwenda jela miezi sita au kulipa faini ya Sh 500,000 kila mmoja baada ya kukiri mashtaka yanayowakabili.

Hukumu hiyo iitolewa juzi na Hakimu Mkazi Mkuu, Pamela Mazengo baada ya washtakiwa hao kutimiza masharti ya makubaliano ya kukiri kosa kwa Mkurugenzi wa Mashtaka (DPP).

Akiwasomea hukumu hiyo, Hakimu Mazengo alisema mahakama imetoa hukumu hiyo kwa kuzingatia kitendo cha washtakiwa hao kukiri mashtaka yao bila kuisumbua mahakamani na kwa kuzingatia makubaliano kati yao na DPP.

Chanzo: Habari Leo
Ndiyo maana ya "plea bargain" hiyo. Ni sheria yetu wenyewe, haina tatizo.
 
Mtu akikamatwa anachoma mkaa au kuuza anakula mvua za kutosha na faini km onyo kwa wengine ila mwizi wa mabilion ya fedha na ufisadi faini yake huwa ni ndogo sana.
Hukumu iliyotolewa ndiyo uhalisia wa nchi yetu ilivyo hata kwa viongozi.
Gharama ya kutengeneza treni used au meli inazidi bei ya treni au meli mpya na hakuna atakayemshitaki.
CCM oyeeee!
Kuna mtu alichoma moto nyumba ya mwenzie alipofika mahakamani faini haikufika hata laki 2
 
Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, Dar es Salaam, imewahukumu Amiry Luwiso na Ashirafu Awadh waliokuwa wakikabiliwa na mashtaka mawili ikiwemo ya kuongoza genge la uhalifu kwa njia ya mtandao na kujipatia zaidi ya Sh milioni 280 kwenda jela miezi sita au kulipa faini ya Sh 500,000 kila mmoja baada ya kukiri mashtaka yanayowakabili.

Hukumu hiyo iitolewa juzi na Hakimu Mkazi Mkuu, Pamela Mazengo baada ya washtakiwa hao kutimiza masharti ya makubaliano ya kukiri kosa kwa Mkurugenzi wa Mashtaka (DPP).

Akiwasomea hukumu hiyo, Hakimu Mazengo alisema mahakama imetoa hukumu hiyo kwa kuzingatia kitendo cha washtakiwa hao kukiri mashtaka yao bila kuisumbua mahakamani na kwa kuzingatia makubaliano kati yao na DPP.

Chanzo: Habari Leo
Nyuma ya pazia zimewatoka za kutosha sana japo wana mtaji wa kuanzia maisha bado

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, Dar es Salaam, imewahukumu Amiry Luwiso na Ashirafu Awadh waliokuwa wakikabiliwa na mashtaka mawili ikiwemo ya kuongoza genge la uhalifu kwa njia ya mtandao na kujipatia zaidi ya Sh milioni 280 kwenda jela miezi sita au kulipa faini ya Sh 500,000 kila mmoja baada ya kukiri mashtaka yanayowakabili.

Hukumu hiyo iitolewa juzi na Hakimu Mkazi Mkuu, Pamela Mazengo baada ya washtakiwa hao kutimiza masharti ya makubaliano ya kukiri kosa kwa Mkurugenzi wa Mashtaka (DPP).

Akiwasomea hukumu hiyo, Hakimu Mazengo alisema mahakama imetoa hukumu hiyo kwa kuzingatia kitendo cha washtakiwa hao kukiri mashtaka yao bila kuisumbua mahakamani na kwa kuzingatia makubaliano kati yao na DPP.

Chanzo: Habari Leo
Dpp na hakimu wanagaiwa ngapi ngapi?

Sent from my moto g 5G (2022) using JamiiForums mobile app
 
Mtu akikamatwa anachoma mkaa au kuuza anakula mvua za kutosha na faini km onyo kwa wengine ila mwizi wa mabilion ya fedha na ufisadi faini yake huwa ni ndogo sana.
Hukumu iliyotolewa ndiyo uhalisia wa nchi yetu ilivyo hata kwa viongozi.
Gharama ya kutengeneza treni used au meli inazidi bei ya treni au meli mpya na hakuna atakayemshitaki.
CCM oyeeee!
Mauzauza hoyee!
Huoni kila mwaka Serikali inasomewa wizi wake na bado hakuna anayeeajibishwa, na mwaka unsoguata wa fedha, wanapelekewa tena pesa, nao wanazitafuna tena! Mfumo mzima ni wizi na rushwa kuanzia ofisi namba moja mpaka kwenye tarafa!

Sent from my moto g 5G (2022) using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom