Ntajie tofauti ya wilaya ya Chato na Wilaya ya Misungwi au na Wilaya ya Uvinza kigoma au na Wilaya ya Itigi (Singida) au na wilaya ya Uyui ( Tabora) au na wilaya ya malinyi ( Morogoro ) au na wilaya ya Mwanga ( kilimanjaro )Chato ilistahili kubakia kuwa kijiji na siyo wilaya. Haya, uliona wapi kijiji chenye taa za barabarani?
Km hujali kwann unaangaika nae ?Nani anajali?
Mm sio msukuma , mpuuz ww , mm natokea upinzan ulipo zaliwa ila siwez shabikia stori za kusadikika kisa tu tuna mchukia tunayemzunguzia , huko ni kulea uzwazwa , UNAKUMBUKA JINA LAKO LKN ( ZUZU FC )Tunawaonyesha kuwa sukuma gang mtateseka sana hadi mtamani kumfuata mfadhili wenu aliko
Jamaa unateseka sana. Unaonekana ulikuwa mwandani wa Joo Pombe kabisa.Km hujali kwann unaangaika nae ?
Mwache aendelee kutetea ujingaYaani sehemu yenye wafanyabiashara wenye uwezo wa kuwaonga wanasiasa na wenye uwezo wa kujenga maguest leo hii wakose hata baiskeri ya kupita nazo kwenye hizo roads zenye mataa? yaan narudia ni vichaa tu ndo watakusikiliza , unaongea pumba sana na hujui kutunga stori
Wale makeshia wa crdb bado wanacheza draft muda wa kazi?
Sukuma gang baada ya kubanwa kila kona mmeanza kulikimbia kundi lenu.Mm sio msukuma , mpuuz ww , mm natokea upinzan ulipo zaliwa ila siwez shabikia stori za kusadikika kisa tu tuna mchukia tunayemzunguzia , huko ni kulea uzwazwa , UNAKUMBUKA JINA LAKO LKN ( ZUZU FC )
Gorodiani alipewa tenda ya kuuza simenti Chato mzima, vipi? Bado ana wateja? Maana sekta ya ujenzi imekwama, miradi haiendelei
Hii u-turn ya mtoa mada sijaielewa kabisa hasa kipindi hiki Cha mama[emoji4]
Wakati ukifika watapata wateja tuWale wawekezaji wa michongo Sasa wanahaha, Chato Ina magesti house mengi saana na yamejengwa kwa mikopo, wengi waliojenga walitarajia mzee angekaa madarakani miaka mingi sana. Kuna makumi ya magesti hayajaisha, mengine yameisha.
Sasa yale yalioisha hayana wateja kabisa, yale yaliyokuwa yanajengwa yamesimama, mikopo ya kulipwa benki waliyokopa imeiva.
Kinachofata ni mashinikizo kwa wanasiasa na wakati mwingine wanawapa Hela ili angalau Chato iwe Mkoa warudishe mikopo. Wanasiasa wengi wanaotaka Chato iwe Mkoa wako kwenye payroll ya wafanyabiashara, wanalalamika waliingizwa mkenge.
Bado we waliojenga viwanda
Yale mataa ya barabarani yanayowaka usiku pale Chato yanasaidia kumulika umasikini mkali uliotamalaki na kuthibitisha hoja ya Nyerere kwamba maendeleo ni ya watu, sio ya vitu, wananchi wanatembea kwa miguu kurudi na kwenda makazini huku wakimulikwa na taa za barabarani, wanalala njaa majumbani huku wakichungulia dirishani wanaona barabarani Kuna taa zinawaka usiku.
Mawaziri na viongozi waliolazimishwa kununua viwanja Chato wanahaha kupata mteja wa kuwauzia kwa karibu mwaka sasa.
Ajenda ya chato kiwa Mkoa sio ya wananchi, ni ya wafanyabiashara na wanasiasa, wananchi wanataka Samia awatoe kiuchumi tu na kusomesha watoto wao ambao waliachwa wakihaha
kwahiyo kila wilaya nchi hii ina kiwanja cha ndege?Kuna miundombinu gani ya chato ambayo ni yofauti na Wilaya kama za Chalinze , Masasi , Same , Nzega au Hai ? Kuna muda siasa zinawafanya mtunge uongo sana , chato nmefika sijaona maajabu yyte ya kusema JPM kafanya , chochote kilifanywa hapo Chato kimefanywa pia wilaya nyingine za Tanzania
[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]Haya majina yote yana mahusiano ya karibu na nchi za Burundi na Rwanda sijui ni kwa nini
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] sisi ni chawa wa mama kama nyie mlivokuwa chawa wa dikteta uchwara magufuliMasikini unaongea nini?....unajua shughuli ya kujenga hoteli au kiwanda....wewe ni mmoja wa makada wapumbavu sana.....sasa si mnasema aliyepo anaupiga mwingi subirini muda si mrefu lazima mkohoe damu chawa nyinyi.....
Chalinze kuna International Airport?Kuna miundombinu gani ya chato ambayo ni yofauti na Wilaya kama za Chalinze , Masasi , Same , Nzega au Hai ? Kuna muda siasa zinawafanya mtunge uongo sana , chato nmefika sijaona maajabu yyte ya kusema JPM kafanya , chochote kilifanywa hapo Chato kimefanywa pia wilaya nyingine za Tanzania
Chato kubatizwa tu mkoa pia hakutaleta mzunguko wa fedha. Mzunguko wa fedha unaletwa na shughuli za kiuchumi, kilimo, viwanda, biashara, shughuli za uchimbaji madini, shughuli nyinginezo kama utalii, n.k. Kabla hata kufikiri Chato ingeweza kuwa Mkoa ilitakiwa waangalie hizi shughuli nilizotaja kwa Chato zilikuwa kwenye level gani. Ila, inaonekana kiu yao ilikuwa kwanza mkoa na sasa wanaangalia maturity ya shughuli za kiuchumi. Nafikiri tunatakiwa kusahau. Mheshimiwa Raisi acha kuwapa matumaini watu wa Chato, waambie Chato kuwa Mkoa bado, kama ulivyowaambia Moshi JIJI badoWale wawekezaji wa michongo Sasa wanahaha, Chato Ina magesti house mengi saana na yamejengwa kwa mikopo, wengi waliojenga walitarajia mzee angekaa madarakani miaka mingi sana. Kuna makumi ya magesti hayajaisha, mengine yameisha.
Sasa yale yalioisha hayana wateja kabisa, yale yaliyokuwa yanajengwa yamesimama, mikopo ya kulipwa benki waliyokopa imeiva.
Kinachofata ni mashinikizo kwa wanasiasa na wakati mwingine wanawapa Hela ili angalau Chato iwe Mkoa warudishe mikopo. Wanasiasa wengi wanaotaka Chato iwe Mkoa wako kwenye payroll ya wafanyabiashara, wanalalamika waliingizwa mkenge.
Bado we waliojenga viwanda
Yale mataa ya barabarani yanayowaka usiku pale Chato yanasaidia kumulika umasikini mkali uliotamalaki na kuthibitisha hoja ya Nyerere kwamba maendeleo ni ya watu, sio ya vitu, wananchi wanatembea kwa miguu kurudi na kwenda makazini huku wakimulikwa na taa za barabarani, wanalala njaa majumbani huku wakichungulia dirishani wanaona barabarani Kuna taa zinawaka usiku.
Mawaziri na viongozi waliolazimishwa kununua viwanja Chato wanahaha kupata mteja wa kuwauzia kwa karibu mwaka sasa.
Ajenda ya chato kiwa Mkoa sio ya wananchi, ni ya wafanyabiashara na wanasiasa, wananchi wanataka Samia awatoe kiuchumi tu na kusomesha watoto wao ambao waliachwa wakihaha