Waliokopa hela Benki kujenga ma guest Chato, viwanda, nyumba za kupanga wanahaha, wanahonga wanasiasa ili Chato iwe Mkoa hela irudi

Waliokopa hela Benki kujenga ma guest Chato, viwanda, nyumba za kupanga wanahaha, wanahonga wanasiasa ili Chato iwe Mkoa hela irudi

Kwann mnamwandika humu? Mnajikanyaga wenyewe sasa , njia ya muongo ni fupi
Ile hoteli ya TANNAPA iliyokua inajengwa chato imekamilika? Jamaa lilikua na ubinafsi uliopitiliza sana kama vile sehemu zingine hazihitaji maendeleo

Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
 
Mnajuwa kutunga stori ili kudanganya watu , nmewai kwenda chato ila stori nyingi nligundua zinatowa chumvi za kisiasa , hamna jipya , mataa ni kama mataa ya wilaya nyingine km masasi,mtwara pia uwanja wa ndege ni wakawaida sana ila wanasiasa wanatumia advantage ya kujengwa kweny utawala wa JPM ila hawajiulizi ni mangapi yamefanywa nje ya chato kipind cha JPM au mtu ulitaka wilaya isiwe na mataa hata sehemu moja? wakati zipo wilaya nyingi zina mataa ikiwemo masasi , pia ulitaka wilaya isiwe na benki ? au wilaya isiwe na uwanja wa ndege , KUNA VITU UKIONGEA ATAVIAMINI MJINGA TU , JPM aliandamwa sana ila leo hayupo duniani mtutajie mali zake ss ili tujue km ni mwizi
Si tu wakutajie mali zake ujue kama alikuwa mwizi bali pia wakutajie watu waliojeruhiwa, walioteswa, waliouawa na 'waliopotezwa' ili ujue kuwa pia alikuwa katili aliyepindukia na muuaji.
 
Basi mada za kis*ng* na chuki zanamna hii huwa nazishangaa na kuzidharau sana.

Mantiki ya hoja yako ni nini?

Enhe, hizo miundo mbinu unazozinanga wewe siyo maendeleo ya watu?

Zisingejengwa hizo miundo mbinu hao masikini wangekuwa wameishaendelea?

Haya toa elimu sasa, maendeleo ya vitu yanatofautiana vipi na maendeleo ya watu?

Mtu anawezaje kuendelea bila kuwa na vitu?

Rubish!
Mkuu Naona mahaba ya Jiwe yamekupunzia tafakuri.Kama sivyo basi wewe ni kilaza
 
Chinembe ungepumzika unaandika sana..pumzika kidogo
Labda kuandika kwake ni kama kuvuta pumzi sasa ukimwambia apumzike ni sawa na kumwambia aache kuvuta pumzi.
 
Hv kipi kinazuia Chato isipate haki yake ya miundombinu ? mataa yapo hata wilaya masasi , uwanja wa ndege upo hata wilaya ya Hai tena uwanja mkubwa wa kimataifa , kwann iwe Chato ndo kosa ila wilaya ya Hai sio Kosa ? Sion uhusiano wa rais na hizo guests kwamba JPM aliwaza kote akakomea kwenye kuwashauri watu wa chato wakope wajenge guest wakiamini chato ikiwa mkoa ela zitarudi , kwan ikiwa mkoa kipi kitaongezeka cha kuwapa wateja wengi wenye hizo guests? kuna dots hamuungi vizur jifunzen kutunga stori , ni mjinga tu ndo anaeza zisikiliza hizo stori
Huo Uwanja wa Hai ,unaozungumzia ni KIA bila shaka!🙄🙄🙄😁😁😁😂😂😂
 
Wale wawekezaji wa michongo Sasa wanahaha, Chato Ina magesti house mengi saana na yamejengwa kwa mikopo, wengi waliojenga walitarajia mzee angekaa madarakani miaka mingi sana. Kuna makumi ya magesti hayajaisha, mengine yameisha.

Sasa yale yalioisha hayana wateja kabisa, yale yaliyokuwa yanajengwa yamesimama, mikopo ya kulipwa benki waliyokopa imeiva.

Kinachofata ni mashinikizo kwa wanasiasa na wakati mwingine wanawapa Hela ili angalau Chato iwe Mkoa warudishe mikopo. Wanasiasa wengi wanaotaka Chato iwe Mkoa wako kwenye payroll ya wafanyabiashara, wanalalamika waliingizwa mkenge.

Bado we waliojenga viwanda

Yale mataa ya barabarani yanayowaka usiku pale Chato yanasaidia kumulika umasikini mkali uliotamalaki na kuthibitisha hoja ya Nyerere kwamba maendeleo ni ya watu, sio ya vitu, wananchi wanatembea kwa miguu kurudi na kwenda makazini huku wakimulikwa na taa za barabarani, wanalala njaa majumbani huku wakichungulia dirishani wanaona barabarani Kuna taa zinawaka usiku.

Mawaziri na viongozi waliolazimishwa kununua viwanja Chato wanahaha kupata mteja wa kuwauzia kwa karibu mwaka sasa.

Ajenda ya chato kiwa Mkoa sio ya wananchi, ni ya wafanyabiashara na wanasiasa, wananchi wanataka Samia awatoe kiuchumi tu na kusomesha watoto wao ambao waliachwa wakihaha
Umeandika ushuzi mtupu.......
basi hapa njemba inajisikia raha.....
kumbav
 
Wale wawekezaji wa michongo Sasa wanahaha, Chato Ina magesti house mengi saana na yamejengwa kwa mikopo, wengi waliojenga walitarajia mzee angekaa madarakani miaka mingi sana. Kuna makumi ya magesti hayajaisha, mengine yameisha.

Sasa yale yalioisha hayana wateja kabisa, yale yaliyokuwa yanajengwa yamesimama, mikopo ya kulipwa benki waliyokopa imeiva.

Kinachofata ni mashinikizo kwa wanasiasa na wakati mwingine wanawapa Hela ili angalau Chato iwe Mkoa warudishe mikopo. Wanasiasa wengi wanaotaka Chato iwe Mkoa wako kwenye payroll ya wafanyabiashara, wanalalamika waliingizwa mkenge.

Bado we waliojenga viwanda

Yale mataa ya barabarani yanayowaka usiku pale Chato yanasaidia kumulika umasikini mkali uliotamalaki na kuthibitisha hoja ya Nyerere kwamba maendeleo ni ya watu, sio ya vitu, wananchi wanatembea kwa miguu kurudi na kwenda makazini huku wakimulikwa na taa za barabarani, wanalala njaa majumbani huku wakichungulia dirishani wanaona barabarani Kuna taa zinawaka usiku.

Mawaziri na viongozi waliolazimishwa kununua viwanja Chato wanahaha kupata mteja wa kuwauzia kwa karibu mwaka sasa.

Ajenda ya chato kiwa Mkoa sio ya wananchi, ni ya wafanyabiashara na wanasiasa, wananchi wanataka Samia awatoe kiuchumi tu na kusomesha watoto wao ambao waliachwa wakihaha

Mbona chato beach resort inafanya vizuri sana… [emoji23][emoji23][emoji23]
 
zile hotel za marwhemu john alizojenga bukome zitakaliwa na nani?


zile nyumba za kalemani alizojenga nyabilezi karibu na mseveni school atampangisha nani,

mle chato kuna lodge kali sana hazina wateja... yaani hata kwa buku 5 watu hawapo.

jmosi ni siku ya soko, lakini hamna wanunuzi.

barabara pale wnapoita mjini zote ni za lami lkn hazina magari isipokuwa Pkpk sanlg na boxer (wao hutamka boksaa) za walimu.

kwa sasa chato hakuna wageni, mausalama wengi wamehamishwa na Malaya wameyeyuka.

mkuu chinembe nadhani tupo kundi moja la admin yule katibu Wa wazaz huko tabora aliozawadiwa baada ya kumpiga lisu na msafara wake
Hembu fafanua vizuri hii aya ya mwishorafadhali.
 
Back
Top Bottom