Waliomlazimisha Samia Suluhu kuwa Makamu na hatimaye Rais, walifanya makosa sana

Waliomlazimisha Samia Suluhu kuwa Makamu na hatimaye Rais, walifanya makosa sana

Kwa mtazamo wangu, naona kabisa mama SSH, hakupaswa kuwa kiongozi mkubwa wa kitaifa. Kauli zake, mwenendo na maono yake vinadhihirisha wazi.

Ni kiongozi ambaye kwa kauli zake na maamuzi yake anaonesha wazi hakuwa na maono yoyote ya kuongoza taifa.

Teuzi za kulazimishana hufanyika sana hasa ndani ya vyama. Ifike mahali viongozi wa kiserikali wapewe fursa ya kuomba kuteuliwa na waeleze maono yao endapo watapewa nyadhifa hizo. Kuanzia ngazi urais, makamu, waziri mkuu na mawaziri wote.

Kabla mtu ajateuliwa, maombi yatumwe, na iundwe tume huru ya kuwafanyia usaili. Kuna watu wanaweza kupata teuzi ilihali hawana kabisa maono juu ya majukumu waliyopewa.

Matokeo yake wanakuwa kama bendera kufuata upepo!

NB: Haya ni maoni yangu tu kama mtanzania. Sina chuki, wivu wala hasira na kiongozi yeyote. Tunachohitaji ni uzalendo wa kweli toka kwa viongozi wetu!
Huu ulikuwa mchongo wa JK
 
Kwa mtazamo wangu, naona kabisa mama SSH, hakupaswa kuwa kiongozi mkubwa wa kitaifa. Kauli zake, mwenendo na maono yake vinadhihirisha wazi.

Ni kiongozi ambaye kwa kauli zake na maamuzi yake anaonesha wazi hakuwa na maono yoyote ya kuongoza taifa.

Teuzi za kulazimishana hufanyika sana hasa ndani ya vyama. Ifike mahali viongozi wa kiserikali wapewe fursa ya kuomba kuteuliwa na waeleze maono yao endapo watapewa nyadhifa hizo. Kuanzia ngazi urais, makamu, waziri mkuu na mawaziri wote.

Kabla mtu ajateuliwa, maombi yatumwe, na iundwe tume huru ya kuwafanyia usaili. Kuna watu wanaweza kupata teuzi ilihali hawana kabisa maono juu ya majukumu waliyopewa.

Matokeo yake wanakuwa kama bendera kufuata upepo!

NB: Haya ni maoni yangu tu kama mtanzania. Sina chuki, wivu wala hasira na kiongozi yeyote. Tunachohitaji ni uzalendo wa kweli toka kwa viongozi wetu!

Mama Samia kuwa Makamu na hatimaye Rais alaumiwe JK​

 
Jiwe alifurahi sana kumpata mama SSH kama makamo wake ili kila kitu afanye yeye na, mwisho wa siku, sifa zote na utukufu kwa JIWE! ... ALIFANIKIWA!
LAKINI SASA MAMA ANAFANYA VIZURI KUMZIDI NA PIA AKIUSHIRIKISHA UMMA IPASWAVYO! ... HATA MIMI MPINZANI NAMKUBALI, ... SHIDA MATAGA MNATAKA KUONGOZWA NA MUNGU-MTU ILI MJIFICHE NYUMA YAKE KUENDELEZA UFISADI!
 
Inawezekana umekurupuka au una mihemko.
Hapa suala sio mtu kuwa kiongozi, isipokuwa ni utayari wa kuwa kiongozi.
Ukisikiliza hotuba nyingi za mama utagundua kwamba hakuwa na utayari kwa nafasi alizoteuliwa.
Huenda hatambui kwamba kauli zake kisiasa zinamfunga, au anaogopa lawama za moja kwa moja.

Kuna watoto wako shule za awali, msingi, sekondari nk, ukiwauliza ndoto zao watakwambia wanataka kuwa viongozi wakubwa wa kiserikali. Hayo ni maono yao. Na hao wakipewa fursa wanaweza kuwa viongozi bora tofauti na wale wanaoteuliwa kwa lazima au kwa kujuana. Hiyo ndio hasa hoja yangu.

Wakati niko chuo fulani, kuna dada alilazimishwa kuwa katibu wa bunge pasipo matakwa yake. Alisema wazi yeye hajui chochote khs majukum hayo ya ukatibu na hakuitaka hiyo nafasi. Lakini kwasababu viongozi wa tume hawamkutaka aliyekuwa anagombea nafasi hiyo, wakamlazimisha agombee kwa maslahi yao. Katika nchi yetu huu ni mfumo.

Na ukumbuke kwamba uongozi wa serikali yetu sio wa kifalme, kusema kwamba unafuata ukoo!
Ni muhimu kuzingatia utayari wa anayeteuliwa. Kuna watanzania wengi sana wenye maono juu ya taifa lao.
Wewe naona unazungumzia mambo ya katiba ya nchi na sio Samia, maana miaka yote mfumo wetu upo hivi hivi, wanaoteuliwa wengi kwa sababu ya connection zao na Rais
 
Wewe naona unazungumzia mambo ya katiba ya nchi na sio Samia, maana miaka yote mfumo wetu upo hivi hivi, wanaoteuliwa wengi kwa sababu ya connection zao na Rais
Ni kweli, suala kubwa ni mabadiliko ya katiba.
Ijapokuwa hata hii iliyopo kuna mahali haitekelezwi ipasavyo.
Na linapkuja suala la kupata viongozi kutoka upande wa pili wa muungano, mara nyingi upendeleo unakuwa mkubwa. Tofauti na wanaogombea kutoka bara.

Ukisiliza hotuba ya rais wa sasa wakati akiwa makamu anasema wazi kabisa kwamba hakuwa anatarajia kuwa na wadhifa huo na kwamba alikataa na kumwaga machozi. Mhe. Bilal akamtia moyo pamoja na viongozi wengine.


Kumlazimisha mtu kushika nafasi kubwa si jambo jema. Ndio maana nikasema watume maombi ya uteuzi!
 
Kwa mtazamo wangu, naona kabisa mama SSH, hakupaswa kuwa kiongozi mkubwa wa kitaifa. Kauli zake, mwenendo na maono yake vinadhihirisha wazi.

Ni kiongozi ambaye kwa kauli zake na maamuzi yake anaonesha wazi hakuwa na maono yoyote ya kuongoza taifa.

Teuzi za kulazimishana hufanyika sana hasa ndani ya vyama. Ifike mahali viongozi wa kiserikali wapewe fursa ya kuomba kuteuliwa na waeleze maono yao endapo watapewa nyadhifa hizo. Kuanzia ngazi urais, makamu, waziri mkuu na mawaziri wote.

Kabla mtu ajateuliwa, maombi yatumwe, na iundwe tume huru ya kuwafanyia usaili. Kuna watu wanaweza kupata teuzi ilihali hawana kabisa maono juu ya majukumu waliyopewa.

Matokeo yake wanakuwa kama bendera kufuata upepo!

NB: Haya ni maoni yangu tu kama mtanzania. Sina chuki, wivu wala hasira na kiongozi yeyote. Tunachohitaji ni uzalendo wa kweli toka kwa viongozi wetu!
Ungeanza kuuliza ilikuwaje mtu kama Jiwe akawa Rais. Au wewe ni sukuma gang?
 
Inawezekana umekurupuka au una mihemko.
Hapa suala sio mtu kuwa kiongozi, isipokuwa ni utayari wa kuwa kiongozi.
Ukisikiliza hotuba nyingi za mama utagundua kwamba hakuwa na utayari kwa nafasi alizoteuliwa.
Huenda hatambui kwamba kauli zake kisiasa zinamfunga, au anaogopa lawama za moja kwa moja.

Kuna watoto wako shule za awali, msingi, sekondari nk, ukiwauliza ndoto zao watakwambia wanataka kuwa viongozi wakubwa wa kiserikali. Hayo ni maono yao. Na hao wakipewa fursa wanaweza kuwa viongozi bora tofauti na wale wanaoteuliwa kwa lazima au kwa kujuana. Hiyo ndio hasa hoja yangu.

Wakati niko chuo fulani, kuna dada alilazimishwa kuwa katibu wa bunge pasipo matakwa yake. Alisema wazi yeye hajui chochote khs majukum hayo ya ukatibu na hakuitaka hiyo nafasi. Lakini kwasababu viongozi wa tume hawamkutaka aliyekuwa anagombea nafasi hiyo, wakamlazimisha agombee kwa maslahi yao. Katika nchi yetu huu ni mfumo.

Na ukumbuke kwamba uongozi wa serikali yetu sio wa kifalme, kusema kwamba unafuata ukoo!
Ni muhimu kuzingatia utayari wa anayeteuliwa. Kuna watanzania wengi sana wenye maono juu ya taifa lao.
Utayari ni upi? JK alikuwa na utayari wa kutosha ni nini aliwafanyia watanzania miaka 10 katiba ya nchi tu fedha nyingi zilipotea ikaishia kwenye makaratasi., mkapa nini aliwafanyia Watanzania? si aliwauwa wazanzibari kwa bunduki, JPM nini aliwafanyia watanzania? njaa, wizi, watu kutekwa, maiti kwenye viroba na matusi na kebehi.

Uongozi sio siasa na kupiga mdomo na kunyoosha maneno, uongozi ni kuwatumikia watu na muda mfupi kuona matokeo ya uongozi sio blaa blaa., wewe unataka kiongozi akisimama kwenye jukwaa akupe maneno mpaka uone ndani yake yana ladha ya sukari lakini watu wanaumia??

Mpeni muda mama, bongo kule wanasema mama anaupiga mwingi bado ni chuki tu ulizonazo., hatutaki kiongozi msanii.
 
Inawezekana umekurupuka au una mihemko.
Hapa suala sio mtu kuwa kiongozi, isipokuwa ni utayari wa kuwa kiongozi.
Ukisikiliza hotuba nyingi za mama utagundua kwamba hakuwa na utayari kwa nafasi alizoteuliwa.
Huenda hatambui kwamba kauli zake kisiasa zinamfunga, au anaogopa lawama za moja kwa moja.

Kuna watoto wako shule za awali, msingi, sekondari nk, ukiwauliza ndoto zao watakwambia wanataka kuwa viongozi wakubwa wa kiserikali. Hayo ni maono yao. Na hao wakipewa fursa wanaweza kuwa viongozi bora tofauti na wale wanaoteuliwa kwa lazima au kwa kujuana. Hiyo ndio hasa hoja yangu.

Wakati niko chuo fulani, kuna dada alilazimishwa kuwa katibu wa bunge pasipo matakwa yake. Alisema wazi yeye hajui chochote khs majukum hayo ya ukatibu na hakuitaka hiyo nafasi. Lakini kwasababu viongozi wa tume hawamkutaka aliyekuwa anagombea nafasi hiyo, wakamlazimisha agombee kwa maslahi yao. Katika nchi yetu huu ni mfumo.

Na ukumbuke kwamba uongozi wa serikali yetu sio wa kifalme, kusema kwamba unafuata ukoo!
Ni muhimu kuzingatia utayari wa anayeteuliwa. Kuna watanzania wengi sana wenye maono juu ya taifa lao.
Mbona Samia aliomba ridhaa kupitia CCM na alimaliza nafasi za juu kwenye ule mchujo
 
Kwa mtazamo wangu, naona kabisa mama SSH, hakupaswa kuwa kiongozi mkubwa wa kitaifa. Kauli zake, mwenendo na maono yake vinadhihirisha wazi.

Ni kiongozi ambaye kwa kauli zake na maamuzi yake anaonesha wazi hakuwa na maono yoyote ya kuongoza taifa.

Teuzi za kulazimishana hufanyika sana hasa ndani ya vyama. Ifike mahali viongozi wa kiserikali wapewe fursa ya kuomba kuteuliwa na waeleze maono yao endapo watapewa nyadhifa hizo. Kuanzia ngazi urais, makamu, waziri mkuu na mawaziri wote.

Kabla mtu ajateuliwa, maombi yatumwe, na iundwe tume huru ya kuwafanyia usaili. Kuna watu wanaweza kupata teuzi ilihali hawana kabisa maono juu ya majukumu waliyopewa.

Matokeo yake wanakuwa kama bendera kufuata upepo!

NB: Haya ni maoni yangu tu kama mtanzania. Sina chuki, wivu wala hasira na kiongozi yeyote. Tunachohitaji ni uzalendo wa kweli toka kwa viongozi wetu!
Nani anayefaa?
 
Kwa mtazamo wangu, naona kabisa mama SSH, hakupaswa kuwa kiongozi mkubwa wa kitaifa. Kauli zake, mwenendo na maono yake vinadhihirisha wazi.

Ni kiongozi ambaye kwa kauli zake na maamuzi yake anaonesha wazi hakuwa na maono yoyote ya kuongoza taifa.

Teuzi za kulazimishana hufanyika sana hasa ndani ya vyama. Ifike mahali viongozi wa kiserikali wapewe fursa ya kuomba kuteuliwa na waeleze maono yao endapo watapewa nyadhifa hizo. Kuanzia ngazi urais, makamu, waziri mkuu na mawaziri wote.

Kabla mtu ajateuliwa, maombi yatumwe, na iundwe tume huru ya kuwafanyia usaili. Kuna watu wanaweza kupata teuzi ilihali hawana kabisa maono juu ya majukumu waliyopewa.

Matokeo yake wanakuwa kama bendera kufuata upepo!

NB: Haya ni maoni yangu tu kama mtanzania. Sina chuki, wivu wala hasira na kiongozi yeyote. Tunachohitaji ni uzalendo wa kweli toka kwa viongozi wetu!
Hayo ungemuekeza tu mumeo ingetosha
 
Kwa mtazamo wangu, naona kabisa mama SSH, hakupaswa kuwa kiongozi mkubwa wa kitaifa. Kauli zake, mwenendo na maono yake vinadhihirisha wazi.

Ni kiongozi ambaye kwa kauli zake na maamuzi yake anaonesha wazi hakuwa na maono yoyote ya kuongoza taifa.

Teuzi za kulazimishana hufanyika sana hasa ndani ya vyama. Ifike mahali viongozi wa kiserikali wapewe fursa ya kuomba kuteuliwa na waeleze maono yao endapo watapewa nyadhifa hizo. Kuanzia ngazi urais, makamu, waziri mkuu na mawaziri wote.

Kabla mtu ajateuliwa, maombi yatumwe, na iundwe tume huru ya kuwafanyia usaili. Kuna watu wanaweza kupata teuzi ilihali hawana kabisa maono juu ya majukumu waliyopewa.

Matokeo yake wanakuwa kama bendera kufuata upepo!

NB: Haya ni maoni yangu tu kama mtanzania. Sina chuki, wivu wala hasira na kiongozi yeyote. Tunachohitaji ni uzalendo wa kweli toka kwa viongozi wetu!
Hakujawahi kuwa na rais aliyefaa Tanzania, inategemea na uwelewa wako binafsi na matarajio yako siku unakwenda kupiga kura.

Kuna mabilionea wanazaliwa awamu hii, kuna watu wanafurahia kufanya biashara ndani ya Tanzania ya sasa. Wewe unayelia kipindi hiki unayo haki ya kufanya hivyo pia.
 
Acha kufuru., Kwani nani alitegemea JPM atafariki, Mbona Samia alipokuwa Makamo wa Rais hukusema haya maneno kwamba hakupaswa kuwa, Siku aliyochaguliwa kuwa Makamo watanganyika wote walipigwa makofi na kwakwa kwamba tumepata mahali pa kuwadanganya danganya wazanzibari kwamba mtu wao amepewa umakamo hivyo angalau watanyamaza, au kwa sababu sasa ni Rais unataka atokee mtu awe na mtazamo wa kuona baadae wakati hakuna zaidi ya mwenyewe Mungu

Tunasema ni majaliwa ya Mungu mama kuwa Rais., wewe unafkiri kuna mtanganyika angekubali Rais wa JMT atokee Zanzibar??? lakini unaonaje sasa uwezo wa Mungu? Je kuna mtu anaweza kuzuia?

Shida kubwa ni chuki dhidi ya Rais Mama samia kwamba ni mwanamke lakini ametoka Zanzibar anaiongoza vizuri NCHI., mumepigwa na mshangao kuona mwanamke muda mfupi anajaribu kunyoosha nchi iliyokuwa imevurugwa vurugwa na mwendazake., emu tafuta ile clip ya Benard Membe aliyosema hivi karibuni kuhusu Mama.
Labda amuombe Mungu kila anapokwenda kanisani au msikitini ili atushushie malaika aje awe rais wetu. Kwa maana hakuna binadamu mwenye kufaa kuwa rais kwa akili hizi za kitanzania.
 
Back
Top Bottom