Waliomlazimisha Samia Suluhu kuwa Makamu na hatimaye Rais, walifanya makosa sana

Waliomlazimisha Samia Suluhu kuwa Makamu na hatimaye Rais, walifanya makosa sana

Kwa mtazamo wangu, naona kabisa Mama Samia hakupaswa kuwa kiongozi mkubwa wa kitaifa. Kauli zake, mwenendo na maono yake vinadhihirisha wazi.

Ni kiongozi ambaye kwa kauli zake na maamuzi yake anaonesha wazi hakuwa na maono yoyote ya kuongoza taifa.

Teuzi za kulazimishana hufanyika sana hasa ndani ya vyama. Ifike mahali viongozi wa kiserikali wapewe fursa ya kuomba kuteuliwa na waeleze maono yao endapo watapewa nyadhifa hizo. Kuanzia ngazi urais, makamu, waziri mkuu na mawaziri wote.

Kabla mtu ajateuliwa, maombi yatumwe, na iundwe tume huru ya kuwafanyia usaili. Kuna watu wanaweza kupata teuzi ilihali hawana kabisa maono juu ya majukumu waliyopewa.

Matokeo yake wanakuwa kama bendera kufuata upepo!

NB: Haya ni maoni yangu tu kama Mtanzania. Sina chuki, wivu wala hasira na kiongozi yeyote. Tunachohitaji ni uzalendo wa kweli toka kwa viongozi wetu!
Maneno mengi lakini hujasema lolote
Kama huoni anayofa fanya Samia basi ni huyo umuabudie ndiyo pekee anayeweza kukusaidia.
 
Kwa mtazamo wangu, naona kabisa Mama Samia hakupaswa kuwa kiongozi mkubwa wa kitaifa. Kauli zake, mwenendo na maono yake vinadhihirisha wazi.

Ni kiongozi ambaye kwa kauli zake na maamuzi yake anaonesha wazi hakuwa na maono yoyote ya kuongoza taifa.

Teuzi za kulazimishana hufanyika sana hasa ndani ya vyama. Ifike mahali viongozi wa kiserikali wapewe fursa ya kuomba kuteuliwa na waeleze maono yao endapo watapewa nyadhifa hizo. Kuanzia ngazi urais, makamu, waziri mkuu na mawaziri wote.

Kabla mtu ajateuliwa, maombi yatumwe, na iundwe tume huru ya kuwafanyia usaili. Kuna watu wanaweza kupata teuzi ilihali hawana kabisa maono juu ya majukumu waliyopewa.

Matokeo yake wanakuwa kama bendera kufuata upepo!

NB: Haya ni maoni yangu tu kama Mtanzania. Sina chuki, wivu wala hasira na kiongozi yeyote. Tunachohitaji ni uzalendo wa kweli toka kwa viongozi wetu!
Naunga mkono hoja
 
Mtoa mada yote uliyoyasema ni mambo ya katiba mpya, katiba mpya ndio itakayotuletea taasisi imara na huru, President Samia she is doing a good job, tumpe muda na support, kwangu so far so good, awamu iliyopita ilikua ya mauaji, no respect kwa human rights, yes Mwenyezi Mungu ilibidi aingilie kati otherwise tulishaanza kuwa Zimbabwe in the making, welldone my President Samia
Kwa hiyo yanayotokea Ngorongoro sio mauaji? Kuna roho ya mauti inaliandama Taifa. Vifo kila mahali. Leo utasikia ajali Mafinga, mchana utasikia Mke kauawa na mke Bukoba n.k. Tuombe Tobaa, huenda Kuna Mahali kama Taifa tumekosea.
 
Utajuaje kama kiongozi fulani ni mpango wa Mungu au la, ikiwa wapo wachache wananufaika na wengi wanalalamika?

Kwangu mimi hayati JPM, ndiye alikuwa hasa kiongozi wa mpango wa Mungu. Maana tuliomba muda mrefu kupata kiongozi kama yeye. Mapungufu yake hayawezi kubatilisha mtazamo huo.
Ila huyu wa sasa, bado sijajua maono yake kwa watanzania, hasa kwa kauli na maamuzi yake!
Gharama za maisha ziko juu, kufukuzwa kwa machinga mjini, uwepo wa tozo za miamala ambazo hatujui matumizi yake,
Bila kusahau safari za mara kwa mara, sherehe za kitaifa zisizo na tija...
kwa kifupi wananchi wanaoitwa 'wa kawaida' hawamuelewi kabisa!
[emoji706][emoji706][emoji706][emoji706]
 
Kwa mtazamo wangu, naona kabisa Mama Samia hakupaswa kuwa kiongozi mkubwa wa kitaifa. Kauli zake, mwenendo na maono yake vinadhihirisha wazi.

Ni kiongozi ambaye kwa kauli zake na maamuzi yake anaonesha wazi hakuwa na maono yoyote ya kuongoza taifa.

Teuzi za kulazimishana hufanyika sana hasa ndani ya vyama. Ifike mahali viongozi wa kiserikali wapewe fursa ya kuomba kuteuliwa na waeleze maono yao endapo watapewa nyadhifa hizo. Kuanzia ngazi urais, makamu, waziri mkuu na mawaziri wote.

Kabla mtu ajateuliwa, maombi yatumwe, na iundwe tume huru ya kuwafanyia usaili. Kuna watu wanaweza kupata teuzi ilihali hawana kabisa maono juu ya majukumu waliyopewa.

Matokeo yake wanakuwa kama bendera kufuata upepo!

NB: Haya ni maoni yangu tu kama Mtanzania. Sina chuki, wivu wala hasira na kiongozi yeyote. Tunachohitaji ni uzalendo wa kweli toka kwa viongozi wetu!
Huu ndio ukweli mchungu. Hatuwezi kuweka watu hobelahobela kwenye nafasi nyeti kama ukuu wa nchi.
 
Kwa mtazamo wangu, naona kabisa Mama Samia hakupaswa kuwa kiongozi mkubwa wa kitaifa. Kauli zake, mwenendo na maono yake vinadhihirisha wazi.

Ni kiongozi ambaye kwa kauli zake na maamuzi yake anaonesha wazi hakuwa na maono yoyote ya kuongoza taifa.

Teuzi za kulazimishana hufanyika sana hasa ndani ya vyama. Ifike mahali viongozi wa kiserikali wapewe fursa ya kuomba kuteuliwa na waeleze maono yao endapo watapewa nyadhifa hizo. Kuanzia ngazi urais, makamu, waziri mkuu na mawaziri wote.

Kabla mtu ajateuliwa, maombi yatumwe, na iundwe tume huru ya kuwafanyia usaili. Kuna watu wanaweza kupata teuzi ilihali hawana kabisa maono juu ya majukumu waliyopewa.

Matokeo yake wanakuwa kama bendera kufuata upepo!

NB: Haya ni maoni yangu tu kama Mtanzania. Sina chuki, wivu wala hasira na kiongozi yeyote. Tunachohitaji ni uzalendo wa kweli toka kwa viongozi wetu!

Chuki na wivu hakuna, lakini lazima uwe mkweli; hasira ipo. Kuna kenge wanatuchezea sana!
 
Inawezekana umekurupuka au una mihemko.
Hapa suala sio mtu kuwa kiongozi, isipokuwa ni utayari wa kuwa kiongozi.
Ukisikiliza hotuba nyingi za mama utagundua kwamba hakuwa na utayari kwa nafasi alizoteuliwa.
Huenda hatambui kwamba kauli zake kisiasa zinamfunga, au anaogopa lawama za moja kwa moja.

Kuna watoto wako shule za awali, msingi, sekondari nk, ukiwauliza ndoto zao watakwambia wanataka kuwa viongozi wakubwa wa kiserikali. Hayo ni maono yao. Na hao wakipewa fursa wanaweza kuwa viongozi bora tofauti na wale wanaoteuliwa kwa lazima au kwa kujuana. Hiyo ndio hasa hoja yangu.

Wakati niko chuo fulani, kuna dada alilazimishwa kuwa katibu wa bunge pasipo matakwa yake. Alisema wazi yeye hajui chochote khs majukum hayo ya ukatibu na hakuitaka hiyo nafasi. Lakini kwasababu viongozi wa tume hawamkutaka aliyekuwa anagombea nafasi hiyo, wakamlazimisha agombee kwa maslahi yao. Katika nchi yetu huu ni mfumo.

Na ukumbuke kwamba uongozi wa serikali yetu sio wa kifalme, kusema kwamba unafuata ukoo!
Ni muhimu kuzingatia utayari wa anayeteuliwa. Kuna watanzania wengi sana wenye maono juu ya taifa lao.
Duh, mkuu, naona umepania kweli na mada yako hii, na kadri unavyozidi kufunguka ndivyo na mada inavyozidi kuwa na uzito kuliko lile bandiko la mwanzo!

Lakini imenibidi niku'quote' hapa, kwa sababu maalum.

Sababu yenyewe ni mstari huu: "Na ukumbuke ya kwamba uongozi wa serikali yetu sio wa kifalme kusema kwamba unafuata ukoo."

Hapa nadhani umeteleza au umepitiwa tu. Hadi wakati huu Tanzania hatuna tofauti yoyote na uongozi wa kifalme, wa kurithishana.
Ukoo wenye ufalme kwetu ni CCM. Huwezi kumpata kiongozi nje ya CCM, 'at least' hadi hapa tulipofikia; na juhudi kubwa zinaendelea kufanyika hali ibaki kuwa hivyo hivyo (Rejea Katiba Mpya na kuwa na Tume Huru ya Uchaguzi).

Nimeona bora nikukumbushe hilo, ambalo pengine wewe unaliona katika mtazamo tofauti.
 
Samia yuko vizuri, kaongeza mshahara 23.3%
Ongeza haya hapa: kafungua ajira kwa vijana saivi serekali imeanza kuajili tena baada ya miaka mingi ya kuambiwa nchi inajenga kwanza madaraja na mabarabara (yule baba sijui alizani watu wangekula hayo madaraja na barabara).

kaifungua sekta binafsi saivi na wao wanapata kazi ambazo mwanzo zilifanywa na kina suma jkt na wenzao wengine uko serekalini tu. hapa kaongeza ajira kwa sekta binafsi.

kapendezesha miji saivi imekuwa ya kutazamika tofauti na wkt wa bwana yule kila seemu ilikuwa seemu ya watu kufanya biashara. hata seemu ya kupitia zilikuwa shida. na hawa ndo wengi wannamchukia mama wanasaau lazima ustaarabu uwepo hamuwezi kujilundika tu seemu km kundi la ng'ombe.

haya hi machache tu lakin kiukweli huyu mama kafanya mengi mazuri tena kwa muda mfupi.

mama go go go
 
Utajuaje kama kiongozi fulani ni mpango wa Mungu au la, ikiwa wapo wachache wananufaika na wengi wanalalamika?

Kwangu mimi hayati JPM, ndiye alikuwa hasa kiongozi wa mpango wa Mungu. Maana tuliomba muda mrefu kupata kiongozi kama yeye. Mapungufu yake hayawezi kubatilisha mtazamo huo.
Ila huyu wa sasa, bado sijajua maono yake kwa watanzania, hasa kwa kauli na maamuzi yake!
Gharama za maisha ziko juu, kufukuzwa kwa machinga mjini, uwepo wa tozo za miamala ambazo hatujui matumizi yake,
Bila kusahau safari za mara kwa mara, sherehe za kitaifa zisizo na tija...
kwa kifupi wananchi wanaoitwa 'wa kawaida' hawamuelewi kabisa!
Unajua unachoongea au unaandika upumbavu..

Ndio maana utaishia kuwa mlalamishi hadi unafukiwa..
 
Ongeza haya hapa: kafungua ajira kwa vijana saivi serekali imeanza kuajili tena baada ya miaka mingi ya kuambiwa nchi inajenga kwanza madaraja na mabarabara (yule baba sijui alizani watu wangekula hayo madaraja na barabara).

kaifungua sekta binafsi saivi na wao wanapata kazi ambazo mwanzo zilifanywa na kina suma jkt na wenzao wengine uko serekalini tu. hapa kaongeza ajira kwa sekta binafsi.

kapendezesha miji saivi imekuwa ya kutazamika tofauti na wkt wa bwana yule kila seemu ilikuwa seemu ya watu kufanya biashara. hata seemu ya kupitia zilikuwa shida. na hawa ndo wengi wannamchukia mama wanasaau lazima ustaarabu uwepo hamuwezi kujilundika tu seemu km kundi la ng'ombe.

haya hi machache tu lakin kiukweli huyu mama kafanya mengi mazuri tena kwa muda mfupi.

mama go go go
Huko kote ni mbali saizi sheria za haki zimeongezwa kudhibiti uovu wa Polisi,na nyingine hii hapa inaanza hivi karibuni kukimalizika zoezi la anuani za makazi ambalo ni ubunifu wa mh.Rais 👇
 

Attachments

  • Screenshot_20220606-144219.png
    Screenshot_20220606-144219.png
    121.4 KB · Views: 5
Kwa mtazamo wangu, naona kabisa Mama Samia hakupaswa kuwa kiongozi mkubwa wa kitaifa. Kauli zake, mwenendo na maono yake vinadhihirisha wazi.

Ni kiongozi ambaye kwa kauli zake na maamuzi yake anaonesha wazi hakuwa na maono yoyote ya kuongoza taifa.

Teuzi za kulazimishana hufanyika sana hasa ndani ya vyama. Ifike mahali viongozi wa kiserikali wapewe fursa ya kuomba kuteuliwa na waeleze maono yao endapo watapewa nyadhifa hizo. Kuanzia ngazi urais, makamu, waziri mkuu na mawaziri wote.

Kabla mtu ajateuliwa, maombi yatumwe, na iundwe tume huru ya kuwafanyia usaili. Kuna watu wanaweza kupata teuzi ilihali hawana kabisa maono juu ya majukumu waliyopewa.

Matokeo yake wanakuwa kama bendera kufuata upepo!

NB: Haya ni maoni yangu tu kama Mtanzania. Sina chuki, wivu wala hasira na kiongozi yeyote. Tunachohitaji ni uzalendo wa kweli toka kwa viongozi wetu!
Ukisema kosa la waliomchagua, inakuwa kama wachaguaji wapo makini, kweli wapo makini?
 
Maneno mengi lakini hujasema lolote
Kama huoni anayofa fanya Samia basi ni huyo umuabudie ndiyo pekee anayeweza kukusaidia.
Wanasumbuliwa na Chuki ila unfortunately watashangaa atakavyoshinda uchaguzi mapema kabisaaa..

Anaeweza kumfanya Samia asiendelee kuwa Rais Sasa au hata baada ya 2025 ni Mwenyezi Mungu maana ndio alioanga awe Rais..

Makelele,chuki za kijinga na ulalamishi wa kipumbavu ni makelele ya chura tuu..

Rais amefanya mambo makubwa na kuborsha maisha ya Watu kwada mfupi..👇
 

Attachments

  • Screenshot_20220609-222036.png
    Screenshot_20220609-222036.png
    273.7 KB · Views: 5
  • Screenshot_20220608-154316.png
    Screenshot_20220608-154316.png
    285.1 KB · Views: 4
  • Screenshot_20220607-223143.png
    Screenshot_20220607-223143.png
    257.3 KB · Views: 4
  • Screenshot_20220607-110032.png
    Screenshot_20220607-110032.png
    270.8 KB · Views: 5
  • Screenshot_20220605-133355.png
    Screenshot_20220605-133355.png
    209.6 KB · Views: 4
  • Screenshot_20220531-224131.png
    Screenshot_20220531-224131.png
    203.3 KB · Views: 4
  • Screenshot_20220531-224525.png
    Screenshot_20220531-224525.png
    169.5 KB · Views: 5
Siku ya uchaguzi mnalala mpaka saa nane mchana halafu mnauliza bila aibu kashinda nani?.

Lazima mlalamike mpaka siku ya kwenda kaburini kama akili ni hizi, kama uvivu wenu wa kushughulika na siasa ni wa kiwango hiki.
Kwa hiyo wakilala hadi saa nane ndio uibe kura halafu useme kiongozi aliyepatikana ni mapenzi ya Mungu..! mshahara wenu upo, wakati huo ndio utatia akili kichwani, sasa hivi akili haipo kichwani ipo kwenye tumbo.
 
Mambo ya kuokota okota viongozi, wametuletea mbibi dhaifu.
 
Back
Top Bottom