Cha maana kwanza ni kumwambia mjinga aache kusifia vitu duni visivyoleta mabadiliko kwa hali ya watu..pili kumwambia neno mjinga si kulialia, tatu si kila anayeandika hapa ni mjinga, masikini na fukara kama wewe unayeishi kwa kodi za watu kutetea umaskini wenu..na kwa akili ya aina hii utakufa na ufukara wako.Wewe mzima wa akili mbona unalialia tu humu JF?. Mbona hakuna cha maana unachofanya kubadilisha hali yako ya sasa ili iwe nzuri?.
Samia kaamua kutembea huko nje kutafuta chochote kwa ajili ya Tanzania.Cha maana kwanza ni kumwambia mjinga aache kusifia vitu duni visivyoleta mabadiliko kwa hali ya watu..pili kumwambia neno mjinga si kulialia, tatu si kila anayeandika hapa ni mjinga, masikini na fukara kama wewe unayeishi kwa kodi za watu kutetea umaskini wenu..na kwa akili ya aina hii utakufa na ufukara wako.
Mshukuru shetani aliyekufanya hivyo ulivyo unafurahia maisha kwa kodi ya watu, ukielezwa unasema waache kulialia..huo ugonjwa wa kuwa TEGEMEZI watanzania hawautaki..Hakuna mahali nchi yenye utegemezi kwa wengine iliwahi kutatua matatizo yake ikafanikiwa, fanya kwanza sehemu yako yote kabla ya kuangalia wengine kukusaidia.Samia kaamua kutembea huko nje kutafuta chochote kwa ajili ya Tanzania.
Kosa alilofanya mtangulizi wake ni kuaminisha watu vitu visivyo na ukweli wowote. Alikuwa akiongea illusions mara nyingi.
Kwamba nchi hii ni tajiri na ina kila kitu, vyote tulivyonavyo vipo ardhini havijaanza kuchangia ukuaji wa uchumi, SSH kaamua kuishi katika dunia halisi ya leo hii na bado makelele ni mengi humu ndani.
Na tusidhani umaskini ni wetu tu, dunia nzima hakuna mahali penye afadhali. Popote kuna madhara ya Covid 19 na hii vita ya kipuuzi ya Russia dhidi ya Ukraine.
Ukitoka Tanzania ukaenda Ulaya ukaenda Japan, popote utakapokwenda hali ni mbovu kama hapa kwa sasa. Tupunguze haya machungu, ugumu wa maisha ni kila mahali.
Wewe hunijui na punguza jazba zako zisizo na msingi. Hujui unaongea na nani, hivyo kuwa mpole punguza hilo povu.Mshukuru shetani aliyekufanya hivyo ulivyo unafurahia maisha kwa kodi ya watu, ukielezwa unasema waache kulialia..huo ugonjwa wa kuwa TEGEMEZI watanzania hawautaki..Hakuna mahali nchi yenye utegemezi kwa wengine iliwahi kutatua matatizo yake ikafanikiwa, fanya kwanza sehemu yako yote kabla ya kuangalia wengine kukusaidia.
Wewe unanijua..miaka 60 leo toka enzi za Mwalimu bado akili inafikiria majibu ya matatizo ya ndani lazima yatoke nje? Siasa za dunia zama za Mwalimu ziko sawa na sasa? unafikiri sawa sawa wewe..tunataka viongozi wenye majibu kutatua matatizo ya nchi hapa ndani, rushwa, uvivu wa kufikiri, matumizi mabaya ya mali za umma, wizi, ubinafsi, mifumo mibaya ya uongozi, nepotism, umangimeza nk..utajenga familia km akili yako kila siku inawaza jirani akusaidie hata kwa mambo ungefanya mwenyewe..hicho ndicho hatutaki, mtu akiambiwa ana akili amekalia utajiri ni propaganda? hakuna nchi iliumbwa maskini, ila wapo maskini wa kufikiri kwa kutotaka kutumia akili walizopewa kwa kiwango kinachopaswa, ni bahati mbaya watu km hao wawe viongozi..ndicho kinatokea Tanzania.Wewe hunijui na punguza jazba zako zisizo na msingi. Hujui unaongea na nani, hivyo kuwa mpole punguza hilo povu.
SSH ni lazima atoke nje ni rais mkweli sana. Haongozi nchi kwa kutegemea propaganda za kudanganya watu kama sisi tuna uwezo mkubwa sana wakati anafahamu uhalisi wa mambo ulivyo.
Utegemezi ulimshinda Mwalimu Nyerere na kipawa chake chote cha kukubalika kimataifa alikuwa rais wa kwanza kusalimu amri kwa mamlaka za kimataifa za kiuchumi, sembuse Samia na awamu ya sita?.
Tunapambana...tunakopa pesa tujenge mashimo ya chooWewe unanijua..miaka 60 leo toka enzi za Mwalimu bado akili inafikiria majibu ya matatizo ya ndani lazima yatoke nje? Siasa za dunia zama za Mwalimu ziko sawa na sasa? unafikiri sawa sawa wewe..tunataka viongozi wenye majibu kutatua matatizo ya nchi hapa ndani, rushwa, uvivu wa kufikiri, matumizi mabaya ya mali za umma, wizi, ubinafsi, mifumo mibaya ya uongozi, nepotism, umangimeza nk..utajenga familia km akili yako kila siku inawaza jirani akusaidie hata kwa mambo ungefanya mwenyewe..hicho ndicho hatutaki, mtu akiambiwa ana akili amekalia utajiri ni propaganda? hakuna nchi iliumbwa maskini, ila wapo maskini wa kufikiri kwa kutotaka kutumia akili walizopewa kwa kiwango kinachopaswa, ni bahati mbaya watu km hao wawe viongozi..ndicho kinatokea Tanzania.
Huwezi kutoa maoni kama haya, mwisho usimalizie kwa kusema KATIBA MPYA YA WANANCHI NI MUHIMU NA LAZIMA...Kwa mtazamo wangu, naona kabisa Mama Samia hakupaswa kuwa kiongozi mkubwa wa kitaifa. Kauli zake, mwenendo na maono yake vinadhihirisha wazi.
Ni kiongozi ambaye kwa kauli zake na maamuzi yake anaonesha wazi hakuwa na maono yoyote ya kuongoza taifa.
Teuzi za kulazimishana hufanyika sana hasa ndani ya vyama. Ifike mahali viongozi wa kiserikali wapewe fursa ya kuomba kuteuliwa na waeleze maono yao endapo watapewa nyadhifa hizo. Kuanzia ngazi urais, makamu, waziri mkuu na mawaziri wote.
Kabla mtu ajateuliwa, maombi yatumwe, na iundwe tume huru ya kuwafanyia usaili. Kuna watu wanaweza kupata teuzi ilihali hawana kabisa maono juu ya majukumu waliyopewa.
Matokeo yake wanakuwa kama bendera kufuata upepo!
NB: Haya ni maoni yangu tu kama Mtanzania. Sina chuki, wivu wala hasira na kiongozi yeyote. Tunachohitaji ni uzalendo wa kweli toka kwa viongozi wetu!
No man is an ireland, msemo wa kingereza nenda katafute tafsiri yake kwa lugha ya kiswahili utaelewa mengi kuihusu dunia ya sasa ilivyo.Wewe unanijua..miaka 60 leo toka enzi za Mwalimu bado akili inafikiria majibu ya matatizo ya ndani lazima yatoke nje? Siasa za dunia zama za Mwalimu ziko sawa na sasa? unafikiri sawa sawa wewe..tunataka viongozi wenye majibu kutatua matatizo ya nchi hapa ndani, rushwa, uvivu wa kufikiri, matumizi mabaya ya mali za umma, wizi, ubinafsi, mifumo mibaya ya uongozi, nepotism, umangimeza nk..utajenga familia km akili yako kila siku inawaza jirani akusaidie hata kwa mambo ungefanya mwenyewe..hicho ndicho hatutaki, mtu akiambiwa ana akili amekalia utajiri ni propaganda? hakuna nchi iliumbwa maskini, ila wapo maskini wa kufikiri kwa kutotaka kutumia akili walizopewa kwa kiwango kinachopaswa, ni bahati mbaya watu km hao wawe viongozi..ndicho kinatokea Tanzania.
Ukimaliza kusikiliza hii nenda kaisikilize zile za mwendazake alizokuwa akiongea mara kwa mara kuwa hakutarajia.Alibeep tu ikakatalia hukoNi kweli, suala kubwa ni mabadiliko ya katiba.
Ijapokuwa hata hii iliyopo kuna mahali haitekelezwi ipasavyo.
Na linapkuja suala la kupata viongozi kutoka upande wa pili wa muungano, mara nyingi upendeleo unakuwa mkubwa. Tofauti na wanaogombea kutoka bara.
Ukisiliza hotuba ya rais wa sasa wakati akiwa makamu anasema wazi kabisa kwamba hakuwa anatarajia kuwa na wadhifa huo na kwamba alikataa na kumwaga machozi. Mhe. Bilal akamtia moyo pamoja na viongozi wengine.
Kumlazimisha mtu kushika nafasi kubwa si jambo jema. Ndio maana nikasema watume maombi ya uteuzi!
Kama CCM wangemchagua Samia Suluhu kuwa mombea uRais badala ya Magufuli mwaka 2015 basi Tanzania tungekuwa tumeipita Kenya kwa GNP na sasa tunakimbizana na Ethiopia na Morocco kwenye top 10 ya Africa.Kwa mtazamo wangu, naona kabisa Mama Samia hakupaswa kuwa kiongozi mkubwa wa kitaifa. Kauli zake, mwenendo na maono yake vinadhihirisha wazi.
Ni kiongozi ambaye kwa kauli zake na maamuzi yake anaonesha wazi hakuwa na maono yoyote ya kuongoza taifa.
Teuzi za kulazimishana hufanyika sana hasa ndani ya vyama. Ifike mahali viongozi wa kiserikali wapewe fursa ya kuomba kuteuliwa na waeleze maono yao endapo watapewa nyadhifa hizo. Kuanzia ngazi urais, makamu, waziri mkuu na mawaziri wote.
Kabla mtu ajateuliwa, maombi yatumwe, na iundwe tume huru ya kuwafanyia usaili. Kuna watu wanaweza kupata teuzi ilihali hawana kabisa maono juu ya majukumu waliyopewa.
Matokeo yake wanakuwa kama bendera kufuata upepo!
NB: Haya ni maoni yangu tu kama Mtanzania. Sina chuki, wivu wala hasira na kiongozi yeyote. Tunachohitaji ni uzalendo wa kweli toka kwa viongozi wetu!
Pamoja na kwamba huyu SASHA anapwaya lakini ana afadhali mara mia ukimlinganisha na Mwendakuzimu.Kwa mtazamo wangu, naona kabisa Mama Samia hakupaswa kuwa kiongozi mkubwa wa kitaifa. Kauli zake, mwenendo na maono yake vinadhihirisha wazi.
Ni kiongozi ambaye kwa kauli zake na maamuzi yake anaonesha wazi hakuwa na maono yoyote ya kuongoza taifa.
Teuzi za kulazimishana hufanyika sana hasa ndani ya vyama. Ifike mahali viongozi wa kiserikali wapewe fursa ya kuomba kuteuliwa na waeleze maono yao endapo watapewa nyadhifa hizo. Kuanzia ngazi urais, makamu, waziri mkuu na mawaziri wote.
Kabla mtu ajateuliwa, maombi yatumwe, na iundwe tume huru ya kuwafanyia usaili. Kuna watu wanaweza kupata teuzi ilihali hawana kabisa maono juu ya majukumu waliyopewa.
Matokeo yake wanakuwa kama bendera kufuata upepo!
NB: Haya ni maoni yangu tu kama Mtanzania. Sina chuki, wivu wala hasira na kiongozi yeyote. Tunachohitaji ni uzalendo wa kweli toka kwa viongozi wetu!
[emoji119][emoji119][emoji120][emoji120]Kwa mtazamo wangu, naona kabisa Mama Samia hakupaswa kuwa kiongozi mkubwa wa kitaifa. Kauli zake, mwenendo na maono yake vinadhihirisha wazi.
Ni kiongozi ambaye kwa kauli zake na maamuzi yake anaonesha wazi hakuwa na maono yoyote ya kuongoza taifa.
Teuzi za kulazimishana hufanyika sana hasa ndani ya vyama. Ifike mahali viongozi wa kiserikali wapewe fursa ya kuomba kuteuliwa na waeleze maono yao endapo watapewa nyadhifa hizo. Kuanzia ngazi urais, makamu, waziri mkuu na mawaziri wote.
Kabla mtu ajateuliwa, maombi yatumwe, na iundwe tume huru ya kuwafanyia usaili. Kuna watu wanaweza kupata teuzi ilihali hawana kabisa maono juu ya majukumu waliyopewa.
Matokeo yake wanakuwa kama bendera kufuata upepo!
NB: Haya ni maoni yangu tu kama Mtanzania. Sina chuki, wivu wala hasira na kiongozi yeyote. Tunachohitaji ni uzalendo wa kweli toka kwa viongozi wetu!
SSH ni mpango wa Mungu. Hakika baada ya yule Shetani wa Chato ambaye alikuwa anatugawa kiitikadi na kikabila, akiua na kutudanganya, tumepata kiongozi mwenye upendo, mcha Mungu na anayeipenda nchi yetu kwa dhati. Tanzania Iko salama sana mikononi mwa Samia.Mshukuru shetani aliyekufanya hivyo ulivyo unafurahia maisha kwa kodi ya watu, ukielezwa unasema waache kulialia..huo ugonjwa wa kuwa TEGEMEZI watanzania hawautaki..Hakuna mahali nchi yenye utegemezi kwa wengine iliwahi kutatua matatizo yake ikafanikiwa, fanya kwanza sehemu yako yote kabla ya kuangalia wengine kukusaidia.
Sihitaji..sabb naielewa dunia kuliko unavyoielewa wewe, mnaita wawekezaji kwa kutupa jiwe gizani..as if wawekezaji waliofanikiwa hawajulikani..bora Kikwete alifahamu matokeo ya kutupa jiwe gizani hayakuzaa matunda akabadilisha approach akampata Dangote..mambo madogo km haya unahitaji kufundishwa au kuijua dunia ya leo..No man is an ireland, msemo wa kingereza nenda katafute tafsiri yake kwa lugha ya kiswahili utaelewa mengi kuihusu dunia ya sasa ilivyo.
Makosa unayaona wewe usiye penda maendeleo ya NchiKwa mtazamo wangu, naona kabisa Mama Samia hakupaswa kuwa kiongozi mkubwa wa kitaifa. Kauli zake, mwenendo na maono yake vinadhihirisha wazi.
Ni kiongozi ambaye kwa kauli zake na maamuzi yake anaonesha wazi hakuwa na maono yoyote ya kuongoza taifa.
Teuzi za kulazimishana hufanyika sana hasa ndani ya vyama. Ifike mahali viongozi wa kiserikali wapewe fursa ya kuomba kuteuliwa na waeleze maono yao endapo watapewa nyadhifa hizo. Kuanzia ngazi urais, makamu, waziri mkuu na mawaziri wote.
Kabla mtu ajateuliwa, maombi yatumwe, na iundwe tume huru ya kuwafanyia usaili. Kuna watu wanaweza kupata teuzi ilihali hawana kabisa maono juu ya majukumu waliyopewa.
Matokeo yake wanakuwa kama bendera kufuata upepo!
NB: Haya ni maoni yangu tu kama Mtanzania. Sina chuki, wivu wala hasira na kiongozi yeyote. Tunachohitaji ni uzalendo wa kweli toka kwa viongozi wetu!