Pre GE2025 Waliomshauri Rais Samia kuwatengua Nape na Makamba, wamempotosha. 2025 Rais Samia atakwama!

Pre GE2025 Waliomshauri Rais Samia kuwatengua Nape na Makamba, wamempotosha. 2025 Rais Samia atakwama!

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

Sexless

JF-Expert Member
Joined
Mar 11, 2017
Posts
23,683
Reaction score
55,898
Makamba, Nape na Mwigulu wamekulia ndani ya ccm. Wanazijua siasa za bara na wanajua fitina na mbinu za ushindi.

Kwa Samia kuwavuruga Nape na Makamba wakati uchaguzi mkuu ukinukia ni mahesabu mabovu sana ya kisiasa ameyafanya rais Samia.

Raisa Samia hatoboi 2025.
Kati ya Mawaziri wa hovyo Makamba, Nape & Mwigulu labda na yule wa mipango wanaweza kushika nafasi ya kwanza.
 
Makamba, Nape na Mwigulu wamekulia ndani ya ccm. Wanazijua siasa za bara na wanajua fitina na mbinu za ushindi.

Kwa Samia kuwavuruga Nape na Makamba wakati uchaguzi mkuu ukinukia ni mahesabu mabovu sana ya kisiasa ameyafanya rais Samia.

Raisa Samia hatoboi 2025.
Kwa taarifa yako sasa hakuna Watu ambao ndiyo walikuwa wanaenda Kumharibia Mama kwa 2025 kama hawa Nuts.
 
Makamba, Nape na Mwigulu wamekulia ndani ya ccm. Wanazijua siasa za bara na wanajua fitina na mbinu za ushindi.

Kwa Samia kuwavuruga Nape na Makamba wakati uchaguzi mkuu ukinukia ni mahesabu mabovu sana ya kisiasa ameyafanya rais Samia.

Raisa Samia hatoboi 2025.
Ana sifa gani huyo bibi kugombea urais? Anajidanganya sana kwenye hilo, ashakuwa Mzee aondoke na pension yake atulie na asiguse mbuga za wanyama
 
1716059589849.jpg
 
Jua tu kwamba Nape na January ni wafia CCM, hao tegemea lolote huko mbele. Wakulia hapo ni Byabato tu, ambaye yeye December 2025 atakuwa ashasahaulika.

Hao wengine, hata kama sio mawaziri wataendelea kula hata kama sio wabunge maisha yao yote kupitia msingi waliojijengea ndani ya chama.
 
Back
Top Bottom