Pre GE2025 Waliomshauri Rais Samia kuwatengua Nape na Makamba, wamempotosha. 2025 Rais Samia atakwama!

Pre GE2025 Waliomshauri Rais Samia kuwatengua Nape na Makamba, wamempotosha. 2025 Rais Samia atakwama!

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Makamba, Nape na Mwigulu wamekulia ndani ya ccm. Wanazijua siasa za bara na wanajua fitina na mbinu za ushindi.

Kwa Samia kuwavuruga Nape na Makamba wakati uchaguzi mkuu ukinukia ni mahesabu mabovu sana ya kisiasa ameyafanya rais Samia.

Raisa Samia hatoboi 2025.

Hamna mtu special hapa duniani wameondoka na hamna kitakachoharibika kama walivyokuja, who are they? Tanzania ina watu milioni 60 msifanye nape na january special saaana! Kwenda zao huko. Watoto wanazaliwa kila siku nchi itakwenda na watabaki kwenye bahari ya sahau! Rais hana mtu wa kumtisha acheni upumbavu vijana! Halafu mkitoka hapa mnaenda kulalamika hamna ajira, magufuli aliwasukumilia mbali walifanya nini zaidi ya majungu na akayakamata wakarudi kulialia kuomba msamaha! Nothing permanent na hamna mwenye hatimiliki ya uongozi wala ya nchi! Eti rais atakwama? My foot, rais akwame kwa sababu ya hao watoto? Labda aamue kukwama mwenyewe! Aliondoka Trump atakuwa makamba?
 
Makamba, Nape na Mwigulu wamekulia ndani ya ccm. Wanazijua siasa za bara na wanajua fitina na mbinu za ushindi.

Kwa Samia kuwavuruga Nape na Makamba wakati uchaguzi mkuu ukinukia ni mahesabu mabovu sana ya kisiasa ameyafanya rais Samia.

Raisa Samia hatoboi 2025.
Mkuu usijali, Ubaya Bwela ukimwaga mboga sisi tunaasepa na chumvi
 
Makamba, Nape na Mwigulu wamekulia ndani ya ccm. Wanazijua siasa za bara na wanajua fitina na mbinu za ushindi.

Kwa Samia kuwavuruga Nape na Makamba wakati uchaguzi mkuu ukinukia ni mahesabu mabovu sana ya kisiasa ameyafanya rais Samia.

Raisa Samia hatoboi 2025.
Yani kwa zile kauli za Nape kwa position yake lakini pia incompetence aliyonayo bado unaona the guy deserve kukuongoza??
 
Makamba, Nape na Mwigulu wamekulia ndani ya ccm. Wanazijua siasa za bara na wanajua fitina na mbinu za ushindi.

Kwa Samia kuwavuruga Nape na Makamba wakati uchaguzi mkuu ukinukia ni mahesabu mabovu sana ya kisiasa ameyafanya rais Samia.

Raisa Samia hatoboi 2025.
Nape mbona kama kajivuruga mwenyewe kwa kauki zake?

Samia angefanya mabadiliko bila kumuondoa Nape i gekuwa kama kakubali maneno ya Nape kuwa CCM inaiba chaguzi.

Ilikuwa lazima Nape aondolewe ili Samia aji distance naye.
 
Makamba, Nape na Mwigulu wamekulia ndani ya ccm. Wanazijua siasa za bara na wanajua fitina na mbinu za ushindi.

Kwa Samia kuwavuruga Nape na Makamba wakati uchaguzi mkuu ukinukia ni mahesabu mabovu sana ya kisiasa ameyafanya rais Samia.

Raisa Samia hatoboi 2025.
Wanadamu hawana wema kabisa. Ndiyo maana Magufuli alikuwa anatenda tu potelea mbali.

Wewe ulikuwa ni mmoja uliotaka waondoshwe, na unataka chama kishindwe hasa Samia.

Hapa sasa ni kama inakuuma. Usiogope mambo hayata haribika sana.
 
Back
Top Bottom