Pre GE2025 Waliomshauri Rais Samia kuwatengua Nape na Makamba, wamempotosha. 2025 Rais Samia atakwama!

Pre GE2025 Waliomshauri Rais Samia kuwatengua Nape na Makamba, wamempotosha. 2025 Rais Samia atakwama!

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Makamba, Nape na Mwigulu wamekulia ndani ya ccm. Wanazijua siasa za bara na wanajua fitina na mbinu za ushindi.

Kwa Samia kuwavuruga Nape na Makamba wakati uchaguzi mkuu ukinukia ni mahesabu mabovu sana ya kisiasa ameyafanya rais Samia.

Raisa Samia hatoboi 2025.
Kumbe nawe ni mpumbavu kiasi hicho?

Kwa taarifa Yako sasa Mama anaanza kutuingia moyoni
 
Makamba, Nape na Mwigulu wamekulia ndani ya ccm. Wanazijua siasa za bara na wanajua fitina na mbinu za ushindi.

Kwa Samia kuwavuruga Nape na Makamba wakati uchaguzi mkuu ukinukia ni mahesabu mabovu sana ya kisiasa ameyafanya rais Samia.

Raisa Samia hatoboi 2025.
Sio kweli jomba na Wala huelewi siasa za ndani wewe..Kaa kimyaa..ondoka na propaganda zako
 
Kwa hiyo ulitaka hata wakikosea aendelee kuwaacha? Kwani hizo fitina na mbinu za ushindi hawawezi kufanya wakiwa nje ya Uwaziri? Ukizingatia bado ni Wana CCM!
Ni mambo gani wamekosea ktk uwaziri wao?
 
Makamba, Nape na Mwigulu wamekulia ndani ya ccm. Wanazijua siasa za bara na wanajua fitina na mbinu za ushindi.

Kwa Samia kuwavuruga Nape na Makamba wakati uchaguzi mkuu ukinukia ni mahesabu mabovu sana ya kisiasa ameyafanya rais Samia.

Raisa Samia hatoboi 2025.
Wabongo aisee

Mara watoe, mara kakosea

Stupid fish
 
Huwezi kushinda mechi huku mezani umekaa na wanafiki ambao wanajiona wamekuzidi akili. Bado kijana mmoja usafi unaotakiwa ukamilike. Safi sana Bimkubwa. Hapo kilichobaki ni kufikisha SGR Mwanza na Kigoma tu.

Ila chonde Bimkubwa mbugani kusichimbwe maana raia wengi watapoteza ajira za utalii na wakiwa na njaa watakulaani sana na si kitu kizuri.

Mama ametisha sana, mitano tena!!
 
Kumbe nawe ni mpumbavu kiasi hicho?

Kwa taarifa Yako sasa Mama anaanza kutuingia moyoni
Labda kinyume chake. Yaani mama kawatoka moyoni watanzania wengi sana.

1...kumbuka muswada wa uuzwaji wa bandari kwa DP World ulisomwa kila kitongoji na hatujasahau.
2...kumbuka uuzwaji wa Ngorongoro na Loliondo, hatujasahau.
3..kumbuka uuzwaji wa KIA, hatujasahau.
4..kumbuka kauza madini yote ya kwenye hifadhi. Hatujasahau.
5...kumbuka kawapa wakorea madini na bahari ili akina Wema na Steve Nyerere wakawaone Misomisindo wa kichina. Hatujasahau.
 
Makamba, Nape na Mwigulu wamekulia ndani ya ccm. Wanazijua siasa za bara na wanajua fitina na mbinu za ushindi.

Kwa Samia kuwavuruga Nape na Makamba wakati uchaguzi mkuu ukinukia ni mahesabu mabovu sana ya kisiasa ameyafanya rais Samia.

Raisa Samia hatoboi 2025.
Wewee tunakujua ni Pro Makamba ,pro nape, na wajinga wengineo.

Makamba Wala Nape, hawana Cha kufanya katika kufanya mtu kua Rais.


CCM inaongozwa na DOLA.
 
Makamba, Nape na Mwigulu wamekulia ndani ya ccm. Wanazijua siasa za bara na wanajua fitina na mbinu za ushindi.

Kwa Samia kuwavuruga Nape na Makamba wakati uchaguzi mkuu ukinukia ni mahesabu mabovu sana ya kisiasa ameyafanya rais Samia.

Raisa Samia hatoboi 2025.
Hao watu uliowataja ni jambo gani la ubora waliwahi kufanya ambalo hadi sasa unalikumbuka? Hebu achaneni na oya oya, wekeni akili kwa wenye kufanya kazi.

Ova
 
Nenden mkamtukane na acdount yenu ya Kigogo mana hamna kingine hatoboi kwani anachimba shimo wapi acheni kujifanya special sasa wewe Nape nje ya serikali nani angekuajiri,?? nyie watu mnaibia hii nchi sana tungekua mbali sana ila urafi wenu umetuumiza sana bado mnatutishia.
 
Labda kinyume chake. Yaani mama kawatoka moyoni watanzania wengi sana.

1...kumbuka muswada wa uuzwaji wa bandari kwa DP World ulisomwa kila kitongoji na hatujasahau.
2...kumbuka uuzwaji wa Ngorongoro na Loliondo, hatujasahau.
3..kumbuka uuzwaji wa KIA, hatujasahau.
4..kumbuka kauza madini yote ya kwenye hifadhi. Hatujasahau.
5...kumbuka kawapa wakorea madini na bahari ili akina Wema na Steve Nyerere wakawaone Misomisindo wa kichina. Hatujasahau.
IQ Yako ni ndogo that's why.
 
Makamba, Nape na Mwigulu wamekulia ndani ya ccm. Wanazijua siasa za bara na wanajua fitina na mbinu za ushindi.

Kwa Samia kuwavuruga Nape na Makamba wakati uchaguzi mkuu ukinukia ni mahesabu mabovu sana ya kisiasa ameyafanya rais Samia.

Raisa Samia hatoboi 2025
Atatoboa asubuhi na mapema, mama alishasema tatizo la Tanzania siyo upinzani bali ni fitina na Makungu ndani ya ccm. Kwa kauli za Nape ilitakiwa chama kimuite kwenye kamati ya maadili au bunge, ile ilikuwa ni kauli hatari ya kumpa nafasi adui wa amani ya Tanzania apate nafasi, yeye ni waziri tena wa habari kauli yake ni kauli ya serikali. Mama ni rais bora, mzuri, mwenye huruma, nilikuwa sipigi kura ila 2025 nitaenda kupiga kura.
 
Back
Top Bottom