Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Watadhibitiwa,hakuna atakaye furukutaLkn wako vizuri ktk mipango na mikakati ya ushndi wa chaguzi.
Acha kuwapandisha vichwa hawana lolote JPM aliwatupa nje na mambo yakasongaLkn wako vizuri ktk mipango na mikakati ya ushndi wa chaguzi.
Aliyekudanganya kuwa amewavuruga ni nani? Siasa ni sayansi...... mama anawapanga upya.Makamba, Nape na Mwigulu wamekulia ndani ya ccm. Wanazijua siasa za bara na wanajua fitina na mbinu za ushindi.
Kwa Samia kuwavuruga Nape na Makamba wakati uchaguzi mkuu ukinukia ni mahesabu mabovu sana ya kisiasa ameyafanya rais Samia.
Rais Samia hatoboi 2025.
Pia Soma
- Breaking News: - Uteuzi na Utenguzi: Nape, January na Byabato out! Jerry Silaa ahamishiwa Wizara ya Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari
Yalisonga au akikwama?Acha kuwapandisha vichwa hawana lolote JPM aliwatupa nje na mambo yakasonga
Kama wakongwe washinde mechi źao kivyao.Uzuri kichwa,miguu na hata mikono inaweza kuwasaidia.Makamba, Nape na Mwigulu wamekulia ndani ya ccm. Wanazijua siasa za bara na wanajua fitina na mbinu za ushindi.
Kwa Samia kuwavuruga Nape na Makamba wakati uchaguzi mkuu ukinukia ni mahesabu mabovu sana ya kisiasa ameyafanya rais Samia.
Rais Samia hatoboi 2025.
Pia Soma
- Breaking News: - Uteuzi na Utenguzi: Nape, January na Byabato out! Jerry Silaa ahamishiwa Wizara ya Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari
Njs ya vyeo hakuna Mwanaccm mwenye uwezo hata kufungua Genge la Nyanya.Only TISS nchi hii ndio wakiona umevuka mipaka wanafanya lolote hao wengine nguvu yao inakua wakiwa na vyeo fofauti na hapo hamna kitu
Sio wanapunguziwa uzito.Aliyekudanganya kuwa amewavuruga ni nani? Siasa ni sayansi...... mama anawapanga upya.
Wala issue sio akina nape, wala nini only deep state can plot anything, hamuwezi kupanga mikakati ya kukwamisha kazi za rais ili muhalalishe asiteuliwe tena na chama Kwa kuona mambo hayaendi halafu muachwe hua haiko hivoYalisonga au akikwama?
Wewe kweli ni sexless.Makamba, Nape na Mwigulu wamekulia ndani ya ccm. Wanazijua siasa za bara na wanajua fitina na mbinu za ushindi.
Kwa Samia kuwavuruga Nape na Makamba wakati uchaguzi mkuu ukinukia ni mahesabu mabovu sana ya kisiasa ameyafanya rais Samia.
Rais Samia hatoboi 2025.
Pia Soma
- Breaking News: - Uteuzi na Utenguzi: Nape, January na Byabato out! Jerry Silaa ahamishiwa Wizara ya Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari
Hamna mwenye nguvu dhidi ya Mwenyekiti wa CCM, periodMakamba, Nape na Mwigulu wamekulia ndani ya ccm. Wanazijua siasa za bara na wanajua fitina na mbinu za ushindi.
Kwa Samia kuwavuruga Nape na Makamba wakati uchaguzi mkuu ukinukia ni mahesabu mabovu sana ya kisiasa ameyafanya rais Samia.
Rais Samia hatoboi 2025.
Pia Soma
- Breaking News: - Uteuzi na Utenguzi: Nape, January na Byabato out! Jerry Silaa ahamishiwa Wizara ya Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari
Nape ana mipango gani ndugu yangu!?Lkn wako vizuri ktk mipango na mikakati ya ushndi wa chaguzi.
Makamba na Januari walikengeuka kwa sababu ya baba zaoNape na huyo Makamba wana umri gani? Wanazijua siasa za bara kumzidi nani? Nchimbi? Wewe? Au mimi?
Tulia tu mda ndio utasema jambo lenye kueleweka
Bao la mkono tumelikataa,sasa wafunge ya kichwa tuyaone.Nape anakuja mipango gani ndugu yangu!?
Ni overrated loser. Yule alikuwa kati ya mawaziri wenye uwezo mdogo ktk historia ya nchi yetu.
Tulisha andika sana humu sema wakubwa hawakutusikia sababu ya Nepotism.
Tulishawaonya juu ya January Makamba toka anateuliwa uwaziri wa Nishati. Mambo ya nje kule afadhali kidogoooo alipaweza.
Hivi wewe umetumia ubongo upi kufikia hyo conclusion.Makamba, Nape na Mwigulu wamekulia ndani ya ccm. Wanazijua siasa za bara na wanajua fitina na mbinu za ushindi.
Kwa Samia kuwavuruga Nape na Makamba wakati uchaguzi mkuu ukinukia ni mahesabu mabovu sana ya kisiasa ameyafanya rais Samia.
Rais Samia hatoboi 2025.
Pia Soma
- Breaking News: - Uteuzi na Utenguzi: Nape, January na Byabato out! Jerry Silaa ahamishiwa Wizara ya Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari
Kwani wewe hukuwahi kujua kama ni malegendari wa siii hasaaa hapa bongo?Hivi wewe umetumia ubongo upi kufikia hyo conclusion.
Hivi nape na makamba wao ni nani ktk nchi hii.
Jitafakari
Hakuna wa kumkwamisha mwenyekiti wa CCM kwenye uchaguzi,yeye ndiye uchaguzi na tafsiri ya uchaguzi.Kidumu chama cha mapinduzi....Makamba, Nape na Mwigulu wamekulia ndani ya ccm. Wanazijua siasa za bara na wanajua fitina na mbinu za ushindi.
Kwa Samia kuwavuruga Nape na Makamba wakati uchaguzi mkuu ukinukia ni mahesabu mabovu sana ya kisiasa ameyafanya rais Samia.
Rais Samia hatoboi 2025.
Pia Soma
- Breaking News: - Uteuzi na Utenguzi: Nape, January na Byabato out! Jerry Silaa ahamishiwa Wizara ya Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari
Kwa hiyo weweataja unataka ateuliwe tena hata kama anaharibu?Wala issue sio akina nape, wala nini only deep state can plot anything, hamuwezi kupanga mikakati ya kukwamisha kazi za rais ili muhalalishe asiteuliwe tena na chama Kwa kuona mambo hayaendi halafu muachwe hua haiko hivo