mjingamimi
JF-Expert Member
- Aug 3, 2015
- 42,209
- 51,004
Punguza UNAFIKI
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Taasisi inaweza kumtisha kuna Rais na kuna taasisi ujue kutofautisha hata yeye alishasema pitia baadhi ya hotuba zake utajifunza JamboRais hana mtu wa kumtisha acheni upumbavu vijana!
Wanataka kua Marais sio MarasJina likipita kwenye uteuzi CCM hakwami.
Acha watulie kidogo dharau.na kujiamini kulizidi
Wananchi ndiyo wapiga kura.
Kuna unafiki hapa balaa...Mbona Hamueleweki🙄🙄🙄🙄🙄
Nape anatumia tungo tata halafu watanzania wote tulivyo hivi tutegemee Hawa tu? Kufikiri kwa niaba yetuMakamba, Nape na Mwigulu wamekulia ndani ya ccm. Wanazijua siasa za bara na wanajua fitina na mbinu za ushindi.
Kwa Samia kuwavuruga Nape na Makamba wakati uchaguzi mkuu ukinukia ni mahesabu mabovu sana ya kisiasa ameyafanya rais Samia.
Rais Samia hatoboi 2025.
Pia Soma
- Breaking News: - Uteuzi na Utenguzi: Nape, January na Byabato out! Jerry Silaa ahamishiwa Wizara ya Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari
Very selfish point. So wewe focus yako ni ushindi wa ccm na sio kudeliver kwa wananchiLkn wako vizuri ktk mipango na mikakati ya ushndi wa chaguzi.
Marope anataka kua Rais sio RasKuna unafiki hapa balaa...
Waambie Nape na Mwezi wa Kwanza hata jimboni tunaweza kukata majina yaoMakamba, Nape na Mwigulu wamekulia ndani ya ccm. Wanazijua siasa za bara na wanajua fitina na mbinu za ushindi.
Kwa Samia kuwavuruga Nape na Makamba wakati uchaguzi mkuu ukinukia ni mahesabu mabovu sana ya kisiasa ameyafanya rais Samia.
Rais Samia hatoboi 2025.
Pia Soma
- Breaking News: - Uteuzi na Utenguzi: Nape, January na Byabato out! Jerry Silaa ahamishiwa Wizara ya Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari
Mama Samia atashinda kwa 95% utakuja niambia hapaMakamba, Nape na Mwigulu wamekulia ndani ya ccm. Wanazijua siasa za bara na wanajua fitina na mbinu za ushindi.
Kwa Samia kuwavuruga Nape na Makamba wakati uchaguzi mkuu ukinukia ni mahesabu mabovu sana ya kisiasa ameyafanya rais Samia.
Rais Samia hatoboi 2025.
Pia Soma
- Breaking News: - Uteuzi na Utenguzi: Nape, January na Byabato out! Jerry Silaa ahamishiwa Wizara ya Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari
Mim naomba muwe live hivi hivi nyie kuleeni mnavyoweza hata mkiuwana sisi tunataka maisha myabadilishe (makodi) mama zetu maishayao magumu na ndio wanamikubali ufike muda tuteuliwe viongozi wenye sifa sio kisa ukada maarufu ndani ya chama hii kitu hii [emoji850]Eti JPM aliwabwaga na akuna kilichotokea kama angekuwa na uwezo ata kwenye kura za maoni kwenye majimbo yao angewakata mbona byabato alishika nafasi ya sita kwenye kura za maoni jina likaludi la kwake? Je JPM baada ya kuwabwaga yuko wapi kwa sasa? Je Samia baada ya kuchukua nchi mbona aliwaludisha wote? Tusiwakatie tamaa ngoma bado nzito sana hii tena kwa hao wawili. Mm niko seat ya mbele.
Hautaisha ila ni mwanzo mzuri wa fagia fagia ya wachumia tumbo.
Tena nakazia washenzi wakubwa hao wangempa mama wakati ngumu saMawazo ya 'Kipuuzi' kama haya ndio huwa yanafanya January Makamba na Bumunda Nauye wahisi wanastahili kila kitu kwenye hii nchi. Shenzi sana
Na asitoboe lakini kwa hili alilofanya amefanya vizuri saana!Makamba, Nape na Mwigulu wamekulia ndani ya ccm. Wanazijua siasa za bara na wanajua fitina na mbinu za ushindi.
Kwa Samia kuwavuruga Nape na Makamba wakati uchaguzi mkuu ukinukia ni mahesabu mabovu sana ya kisiasa ameyafanya rais Samia.
Rais Samia hatoboi 2025.
Pia Soma
- Breaking News: - Uteuzi na Utenguzi: Nape, January na Byabato out! Jerry Silaa ahamishiwa Wizara ya Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari