Pre GE2025 Waliomshauri Rais Samia kuwatengua Nape na Makamba, wamempotosha. 2025 Rais Samia atakwama!

Pre GE2025 Waliomshauri Rais Samia kuwatengua Nape na Makamba, wamempotosha. 2025 Rais Samia atakwama!

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Utoboi ww acha Mama Samia afanye kazi nimefurahi kutengua Nape ila nimesikitika kumtoa Jerry Slaa Aridhi angemuacha pale
 
Makamba, Nape na Mwigulu wamekulia ndani ya CCM. Wanazijua siasa za bara na wanajua fitina na mbinu za ushindi.

Kwa Samia kuwavuruga Nape na Makamba wakati uchaguzi mkuu ukinukia ni mahesabu mabovu sana ya kisiasa ameyafanya Rais Samia.

Rais Samia hatoboi 2025.

Pia Soma
- Breaking News: - Uteuzi na Utenguzi: Nape, January na Byabato out! Jerry Silaa ahamishiwa Wizara ya Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari
Hakuna kitu kama hicho kwa nchi hii ya 80%ya VILAZA?!!
 
Utoboi ww acha Mama Samia afanye kazi nimefurahi kutengua Nape ila nimesikitika kumtoa Jerry Slaa Aridhi angemuacha pale
Kweli kwenye ardhi kulikuwa na shida gani ya kubadirisha waziri, ndio maana nasema teuzi hizi huwa ni sandakalawe tu, yaani ni mtu kujisikia tu, nenda kule, njoo huku, atlu toka
 
Yani nyumbu atoe ushauri wa mahesabu ya kisiasa kwa ccm? Si afadhali wangetoa ushauri chawa kwa kuwa ni chama chao tungewasikiliza.
Kwa uamzi huo kwa kweli nampongeza sana Rais Samia. Amefanya uamuzi wa muhimu sana kuondokana na mawaziri mizigo. Hii mizigo ilitupwa na mtangulizi wake, hata sijui ni kwa nini yeye aliiokota na kuirudisha uwazirini ?!
Peter msigwa atateulia mgombea mweza 2025 awe makamu wa rais
 
2 WaChato 46:8 Wote walioondolewa na mtangulizi wake akawarudisha. kwa mihemko naye atawatema.

NB:Mambo si rahisi kama unavyoota dogo,Mamvi alikuwa package 50 times ya hao Losers.

Hivi Mama yenu hawezi kufanya maamuzi mpaka ashauriwe?
 
Amefanya vizuri sana, haya si ndiyo mambo tunayoyapigia kelele kila siku? Mama ameonesha uthubutu, kwa kweli amenifurahisha sana.
Nadhani pia tume-overlook vitu vya msingi kutokana na kuguswa watu wawili tu kati ya kansa kubwa iliyopo.

Mbarouk Nassor Mbarouk, amejiuzulu kabla ya mkeka, angalau taarifa zinaonesha hivyo, mkeka unasema tu kuwa atapangiwa majukumu mengine, kivipi na mtu amesema ana issue binafsi?

Serengeti, zipo maneno tayari kuwa wana mpango wa kuiuza mazima hiyo mbuga, uongozi wote wa Serengeti umepanguliwa, nini maana yake hii?

Ardhi, wizara muhimu iliyoonekana kutendewa haki na watanganyika wawili, na wote wameondolewa na mzanzibari mmoja, je, inahusiana na mipango inayovuma mitandaoni kuwa Serengeti, Simanjiro n.k zinakwenda?

Fedha, janga kubwa sana kwa sasa, nchi inapululiwa, kama mzanzibari hausiki na uhuni huo, ni vipi anamuacha kichaa aendelee kuiteketeza nchi?

Julius aliwahi kusema, "tuhuma/shutuma tu zinatosha kumuondoa waziri kwenye kiti", sina hakika kama akina Bashe wanastahili kuwepo.
 
Tulia we Makamba kwani ukifa mambo hayataenda bila wewe? Hakuna mtu muhimu serekalini.
 
Maghufuri aliyaona Mapema, Nape na January ni Wanafiki Sana....
Nape amejaa Kiburi ambacho hakiwezi kumsaidia....!

Who is Nape and January kwenye Nchi ya Watu 60 Millions.....!?

Unadhani hata wakifa Leo Tanzania itafutika kwenye uso wa Dunia...!?

Siikubari CCM.....
Sio Mshabiki wa Mh. Rais Mama Samia...!
Ila nampongeza Kwa kuwaondoa Hawa Wanafiki....!!! Maisha lazima yaendelee.
 
Makamba, Nape na Mwigulu wamekulia ndani ya CCM. Wanazijua siasa za bara na wanajua fitina na mbinu za ushindi.

Kwa Samia kuwavuruga Nape na Makamba wakati uchaguzi mkuu ukinukia ni mahesabu mabovu sana ya kisiasa ameyafanya Rais Samia.

Rais Samia hatoboi 2025.

Pia Soma
- Breaking News: - Uteuzi na Utenguzi: Nape, January na Byabato out! Jerry Silaa ahamishiwa Wizara ya Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari
Hizo ni sarakasi tu za Ccm, usishangae wakiingizwa kwenye timu ya ushindi
 
I'll keep saying this untill it sips through your veins and on towards your Oblangata.

Magulification is the only way forward.

Magulification must go on.

Bado Kinana na magenge mengine yote wanaodhani hawashikiki. Nitamsitiri hapa.
 
Mawazo ya 'Kipuuzi' kama haya ndio huwa yanafanya January Makamba na Bumunda Nauye wahisi wanastahili kila kitu kwenye hii nchi. Shenzi sana
Na watagombana sana! Mungu wa Mbinguni anajibu maombi ya watu wake kwa ajili ya watu wanaogeuza ardhi na mbingu inayofunika Tanganyika kuwa ni mali yao. "Si tunalamba asali si eti jamani"?
 
Maghufuri aliyaona Mapema, Nape na January ni Wanafiki Sana....
Nape amejaa Kiburi ambacho hakiwezi kumsaidia.
Muktadha sahihi kabisa.

Hayat Rais Magufuli aliwaweka hao kwa sababu tu ya bao la mkono. Na umbea wao. (Intelligence) ila hawakuwa na ajenda, maono ya Magufuli.

Hayati Alipogundua Nape anaendeleza kiburi na anataka kufanya uasi, akamfyatua. Itoshe hawa ndio waliompeleka SSH kuziba masikio kwa viroja vyao.

Itoshe, Magufulication must go on.
 
Hawana lolote hao, wanatembelea nyota za wazazi wao. Hakuna cha fitna wala nini.Mama hataki mazoea!
 
Back
Top Bottom