Kati ya Mawaziri wa hovyo Makamba, Nape & Mwigulu labda na yule wa mipango wanaweza kushika nafasi ya kwanza.Makamba, Nape na Mwigulu wamekulia ndani ya ccm. Wanazijua siasa za bara na wanajua fitina na mbinu za ushindi.
Kwa Samia kuwavuruga Nape na Makamba wakati uchaguzi mkuu ukinukia ni mahesabu mabovu sana ya kisiasa ameyafanya rais Samia.
Raisa Samia hatoboi 2025.
Lkn wako vizuri ktk mipango na mikakati ya ushindi wa chaguzi.Kati ya Mawaziri wa hovyo Makamba,Nape & Mwigulu labda na yule wa mipango wanaweza kushika nafasi ya kwanza.
Kwa taarifa yako sasa hakuna Watu ambao ndiyo walikuwa wanaenda Kumharibia Mama kwa 2025 kama hawa Nuts.Makamba, Nape na Mwigulu wamekulia ndani ya ccm. Wanazijua siasa za bara na wanajua fitina na mbinu za ushindi.
Kwa Samia kuwavuruga Nape na Makamba wakati uchaguzi mkuu ukinukia ni mahesabu mabovu sana ya kisiasa ameyafanya rais Samia.
Raisa Samia hatoboi 2025.
Ana sifa gani huyo bibi kugombea urais? Anajidanganya sana kwenye hilo, ashakuwa Mzee aondoke na pension yake atulie na asiguse mbuga za wanyamaMakamba, Nape na Mwigulu wamekulia ndani ya ccm. Wanazijua siasa za bara na wanajua fitina na mbinu za ushindi.
Kwa Samia kuwavuruga Nape na Makamba wakati uchaguzi mkuu ukinukia ni mahesabu mabovu sana ya kisiasa ameyafanya rais Samia.
Raisa Samia hatoboi 2025.
Sisi ni Wa Tanzania 3 finger.Mbona Hamueleweki🙄🙄🙄🙄🙄