Umetaja jina ukaandika bila ushahidi wowote. Una uhakika mohamed Saidi hajaandikia kuhusu John Rupia?
Kwanini wewe usimpe "kipaumbele" kwa kutuletea ya ziasa kuhusu John Rupia.
Hivi alipataje jina la pesa za kihindi "Rupia" na ilhali nijuavyo ni msukuma?
Leta vitu.
Soma vizuri katikati ya mistari na uelewe; sijasema kuwa historia ya Mzee Rupia haijaandikwa la hasha!!! Nimewaambia kuwa hajapewa prominence kama wanavyopewa wakina Abdulwahid na Ally!!!