Waliomteka Baba Wa Mikel Obi walijuta baada ya habari kumfikia Abramovic

Unyama mwingi ...
 
Kabisa! Ni kama aliyekuwa CEO wa Nissan/Renault Carlos Ghosn alivyotoroshwa Japan akisubiri kesi ya ubadhirifu wa fedha. Mchezo ulichezwa na mtu mmoja tu, Ghosn akapakiwa kwenye sanduku la vyombo vya muziki akapandishwa ndege ya kukodi mpaka kwao Lebanon. Hapa duniani ukiwa na hela hushindwi kitu.
 
Nimecheka hapo kwenye sheria mkononi [emoji1787][emoji1787]
 
ILA MAISHA HAYA MATHIEU FLAMINI WA ARSENAL SASAIVI HE IS MORE WEALTH THAN ROMAN ABRAMOVIC 14 USD BILLIONS BAADA YA KUINGIA KWENYE BIASHARA DUH WAKATI ROMAN ANA 9USD NET WORTH
Kiraka wa wenga
 
Uyu mwamba ni Russian Spetsnaz,usa retired special forces ,Italian mafia...Japan kakamucho , Tanzania matofali komando
umesahau kuongeza kwamba ni Mojawapo wa wayahudi matajiri wenye uraia wa Urusi. yeye mwenyewe ana uraia wa Israel pia na nyumba Israel anayo pia.
 
Sasa hao watekaji walijuta vipi. Mbona uyo Obi Mikel alisema aliwalipa hela hao jamaa wamuachie mshua
 
Ukisikia ikisemwa Wabongo wape kichwa cha habari ndo hii sasa!

Hii habari binafsi nimeisoma toka kwa Source yake kabisa ikiwa kwenye lugha ya Malkia!

Hiyo Sentensi ya mwisho ya kusema baada ya siku 4 Mzazi wa Obi alipatana ....... Ni uongo... Wabongo kama kawaida yao wameiongeza.

Obi hakueleza namna mzazi wake alipatikana..
 
Na zenyewe ni chafu hazijanyolewa cc Uwoya😂
 
Ndugu yangu. Issue ndogo tu hizi unanitukana tusi zito kama hilo. Katika maisha yangu yote sijawahi kuambiwa neno baya kama hili. Sawa ndugu
Pole hii tabia ya matusi mods wanailea Sana, ukute kajitu kanakokutukana hakana Mbele Wala nyuma kanaishi kwa kuombaomba pesa hata za bando.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…