Waliomuua Dkt. Isack wa Nyamongo HC wakamatwe haraka

Watu wa tarime wana roho mbaya sana

USSR
 
Ahsante sana kwa uzi huu uliotoa mwanga kidogo kuhusiana na kifo hiki cha Doctor, my blame ni kwa police, hawa jamaa ni bado sana na hawataki kwenda na technology ili isaidie case kama hii,why mpaka leo police hawana foresinc lab yao?,nini police walikikusanya pale kwenye crime scene?,je ilikuwa secured vema ili evidence isipotee?,home affairs pls anza mchakato wa kutoa IDs kwa watanzania wote including to capture finger prints na kuzihifadhi kwenye systems, pikipiki ni mine gold ya evidence, huyu dada ni key witness to Crack hii case, ningekuwa na uwezo jeshi lote la police ningelifumua,all above 40yrs wastaafu, ingiza graduates wengi wa 25yrs to 30yrs
 
Graduates wenye akili hamuwachukui ktk recruitment mnakesha kuweka vigezo vya JKT na upumbavu kama huo. Hutapata wenye akili ktk Pool..
 
Siye above 40 tumewakosea nini jamani???..

Kwanza hao akina 25 na 30 ndo wana njaa balaa, yaani wakianza tu kazi wanawaza kutafuta hizo CROWN, X1 na mijengo. By the time wako 40 kama siye we are in the same boat..

Ishu ya Uwajibikaji kwa nchi yetu ni la kimfumo zaidi na wala si umri.

Ishu tu ya mwanafunzi wa UDOM wanaomba taarifa badala ya kufanya UCHUNGUZI...
 
Wote waliohusika na mauaji na ubakaji watashikwa tu. Jeshi la police Tanzania lina weledi sana linapofanya kazi kwa uhuru bila kuibgiliwa. Naliamini sana jeshi letu la police ni werevu na intelligent kuliko hata police wa ulaya na Marekani. Kwa nini nasema hivi kwasababu police wetu hawatumii technology kubwa sijui mbwembwe za forensic science sijui psychology sijui kuzungushia utepe sijui miDNA lakini wanapeleleza matukio hadi kuwashika watuhuumiwa.
 
Weledi wa Jeshi la poliso ndipo unapohitajika sasa...
Naingia chimbo hadi kesho asubuhi watashikwa wote kwasababu nataka kuisaidia Polisi.

Ni hivi Dokta itakuwa alikuwa anamgonga mke wa mtu. Wauaji wakaamua kumtumia huyo bar maid kumsogeza dokta wakamcharaza mna kumpigwaa miti kwa hiari na kuchana nguo maksudi kusingiziwa kabakwa
 
Lengo ni kulifanya jeshi letu la police liwe la vijana weledi, dunia ya sasa ni technology sio mibavu, hawa vijana watakua trained vema na watakuja na attitude mpya,mfano tunapeleka vijana 500 Botswana wakajifunze kuwa traffic officer's,,(nchi hii almost ina zero corruption ),vijana 300 peleka pale USA wakajifunze kuhusu foresinc investigation, crime profile, 200 peleka pale UK, 350 peleka pale Israel wajifunze ili wawe special unit ya public order, hostages, ndio maana tunahitaji young graduates
 
Tena kwa kukwambia tu, mimi kama mwajiri hao above 40, iwe ualimu, afya, polisi ndio wachapakazi. Hawa vijana wa under 30, hata kuandika hawajui.
 
Nakaribia kupata kitu sasa.

Siyo kila mtu anasema lake na kulaumu ovyo hadi wale waganga na manesi wenzake wanaongea hovyo huko tweeter eti 'ooh tuondoke wote' au tuwanyime huduma' nk.

Naendelea kujifunza tabia ya mwanadamu na kunapotokea jambo ni kuwa na subra kabla ya kukurupuka!.
 
yaweza kuwa ila cha kuongezea{ngoja nimalizie kaz hapa niwape wasichokijua}
 
Watakuwa wamesoma mkuu. Hata sheria za uendeshaji wa makosa ya jinai zinahitaji maboresho. Ni lazima pia waache kufanya kazi kwa mazoea na pia kazi ya NIDA ilikuwa nini?
 
Vijana acheni umalaya Dr una mke unahamgaika na baamedi you don't care even about ur health, majanga mengine yakujitakia licha ya usomi shule haijamkomboa
 
Bado hakuna palipoonesha kosa la Doctor hapo kuondoka na mwanamke ndio kosa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…