Waliomuua Dkt. Isack wa Nyamongo HC wakamatwe haraka

Halo tuna safari ndefu kufika nchi ya maziwa na asali nchi hii. Yani kigezo Sio ubora ni undugu na favoritism, na Kuna kabila yalishajimilikisha hivo nafasi na reasoning Yao inajulikana Iko low below average wanaoamini kwenye kutumia nguvu, wakati sikuhizi watu wamewekeza kwenye technology na kutumia akili kwenye mambo ya msingi
 
mapenzi lazima yawazike wengi sana...hadi tutakapojitambua tutakuwa tumeisha sana
 
Nilichosema mchana naona huyu kaja kuthibitisha sasa. Yawezekena huyo mhudumu ilikuwa chakula ya mtu dokta kadandia gari kwa mbele. Poleni sn wafiwa.
 
Dactari na barmed ila kichwa cha chini hakinaga adabu.

Dr mfawidhi ana cheo tiyari ni kioo cha jamii anajulikana to some extent sasa iweje anaokoteleza? Saa 5 usiku yuko bar? Then anaondoka na barmed bila kujua kuwa akitokaga barmed huyo ana wanaume wengine. So sad.
Anyway rip dr.ila uliuwawa na mambwana wa barmed wako.
 
hawa vijana wadogo madaktari wengi ni wahuni sana, huyu jamaa atakuwa anatoka na mke au demu wa mtu
 

Nilisema ni umalaya mkasema hapana,
Nyamongo ukigusa mke wa mtu kubali mapanga
 

Attachments

  • IMG_9905.MP4
    8 MB
Graduates wenye akili hamuwachukui ktk recruitment mnakesha kuweka vigezo vya JKT na upumbavu kama huo. Hutapata wenye akili ktk Pool..
Hizo akili mnazozisema ni zipi?
Kuwa na degree haimaanishi una akili.Akili ni kitu tofauti sana na unavyofikiri.
Graduates wengi ni wale wenye vipaji vya kukumbuka na kuiga maandishi.Akili ni kitu ambacho mtu anazaliwa nacho hakipati shuleni wala chuoni.
 
Polisi wanamkamata Mtu ambaye ndio chanzo cha kifo na tena alihusika katika tukio kisha wakamwachia then wakamtafuta tena, UJINGA GANI HUO?

Hawa ni Polisi waliopitia mafunzo kweli?
 
Graduates wa hapa kwenye majalala

USSR
 
Waondoke tu wote wapeleke vitoto vyao vikatili ili wakauwane wao kwa wao
 
Sasa hyo kichwa ngumu ya kuona umalaya na kula wake za watu kumemuondoa kijana mdogo hivi hivi.
Remember Kuna unwritten laws Sasa vichwa ngumu Huwa hamsikii Hadi mlete machungu Kwa familia na hasara Kwa taifa
Kwani huyo bar maid ni mke wa mtu? Sioni kosa lolote mtu kujichukulia zake bar maid eti auwawe
 
Vijana acheni umalaya Dr una mke unahamgaika na baamedi you don't care even about ur health, majanga mengine yakujitakia licha ya usomi shule haijamkomboa
Kwenye mbonyeo hakunaga cha kaomando, msomi wala jambazi. Wote hukutanikia hapo
 
Wengi wajinga wanadhani akili ni hayo makaratasi wanayotunukiwa vyuoni. Ingekuwa hivyo vyeti ni akili mbona sasa wameshindwa kujiajiri. Wengi wetu humu ni graduate na post graduate lakini angalia michango ndipo utajua hapana tofauti na polis wanaowalalamikia. Namna pekee ya kuwatofautisha na wale wa la saba ni ushamba wao wa mkanda nje na ujiaji lakini pesa mifukoni sifuri.
 
Polisi wa nchi hii ni matutusa. so wanafanya kazi kwa misingi ya kitutusa.
 
Kwa hiyo ukiondoa hivyo vizee hapo polisi ndio uingize hawa graduate vijana wanaokesha kubet, kutafuta video za connection mitandaoni, uchawa, kuuza mirungi, kutwa kushabikia Simba na Yanga?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…