Waliondamana Dar es Salaam kupinga mkataba wa bandari wakamatwa na polisi. Mratibu wa maandamano na wenzake 10 wanahojiwa na Polisi

Hiyo ni kamba ndefu sana umeandika. JF ina members mamilioni. Sema wakati wa issues muhimu kama maandamano, huwa kila mmoja yuko very committed hawezi kupata muda wa kutokea.
Siku Profesa Lipumba akiitisha maandamano, ndo kidooogo naweza hata kuchungulia dirishani, Yule anakaaga frontline Hadi kuna clip moja polisi anamwambia we Profesa mzima unaungana na hawa watu wasiosoma🤣🤣🤣
 
Taarifa za kijinga kutufanya tuendelee kuwa watumwa
 
Polisi na serikali wameonyesha udhaifu wa hali ya juu kuzuia maandamano ya amani.

Wanaogopa nini?
 
Vijana waandamana jijini Dar es Salaam Tanzania kupinga mkataba wa bandari kati ya serikali na Dubai Ports World pamoja na muswada wa marekebisho ya sheria ya Usalama wa Taifa.


Mwananchi
Huyo askari Alie mkamata dada ana matako makubwa.....Big Booty 😊😊😊🤓🤓🤓

Mm ningekamatwa na hao maaskar ningewaambia washituke maana hata NYERERE NA MAGUFULI walikufa Kwa mashaka....

Mm ningewaambia hao maaskar waniue najua damu yangu ingekua chachu ya ukombozi wa bandari zetu.....

I know na ndio maana nimejiweka mbali na African politics 🤓🤓

Wasalaam
Wasalaam 🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿
 
he mahabusu tena ina maana mulilo keshafanya yake kuonekana anawajibika🤷‍♀️
Ndio! Sasa kama watu wanaleta vurugu barabarani tuwasaidieje? Ni kuwapeleka mahabusu unawasindikiza na teke moja la matako hawatarudia tena.🤣🤣🤣
 
Uandamane au usiandamane maazimio yao watapitisha tu!! Bongo unafiki umejaa sana yaani mtu anaratibu maandamano halafu anakula nyoya.Anawaachia msala muhangaike na mbu wa central.
 
Ndio! Sasa kama watu wanaleta vurugu barabarani tuwasaidieje? Ni kuwapeleka mahabusu unawasindikiza na teke moja la matako hawatarudia tena.🤣🤣🤣
sio sawa demokrasis hiyo mlosema mmefanya maridhiano iko wapi?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…