blogger
JF-Expert Member
- Mar 13, 2012
- 12,112
- 15,060
๐๐๐ ๐Ulitaka acheke na wezi?
Avatar yako uimenchekesha kweli..
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
๐๐๐ ๐Ulitaka acheke na wezi?
Kwa hiyo Mali za watu zilikuwa za magufuli ?, Na alikuwa akiwadai chake ?, Kuwa hata na aibu , usukuma ulihodhi Kila kilichopo Tanzania ni Cha wasukuma !, Laa hawlaaa!.Hata yakiandika magazeti yote na television zote zikatangaza kumchafua Magu!
Haiondoi ukweli ukweli kuwa wafanya biashara wengi walidaiwa pesa za ukwepaji kodi walizokuwa wakiibia serikali pamoja na kina Mbowe!
Ukitaka uwe mbaya, dai chako, JPM aliwadai wafanya biashara kodi nanihalali kabisa kwa nchi, lakini eti huo umekuwa ni ubaya? Nchi ya kipumbavu sana hii
Hakuna anayeshindana na mwendakuzimu wa Chato acha ujambazi wake ujulikane mjaa laana yuleMitoto ya wezi katika ubora wako.
Serikali ya Samia imejaa wezi, hivyo lazima wezi watetee wezi wenzao.
Kila mtu alienyang'anywa pesa alikuwa mwizi, hivyo walikuwa wanarudisha walichoiba.
Mtapambana lakini hamtaweza.
Hatamfanye je wanachi hawatawaelewa.
Acha upumbavu mbwa wewe kama mtu kaiba anashtakiwa mahakama I sio kumnyang'anya hela na kuzificha china wajaa laana nyieHuo ndio ukweli hivi uwe na pesa halali halafu unyang'anywe kweli hakika hakuna watu wajinga nchi hii kama vijana wa chadema mtandaoni
Acheni upumbavu wenu nyie sukuma gang yaani mtu anafanya kazi halali anapata pesa nyie mnasema kaiba hamumshtaki mnamteka (Mo Dewji) kishamba mnampora mnaficha pesa China mnaumbuka sasaHata yakiandika magazeti yote na television zote zikatangaza kumchafua Magu!
Haiondoi ukweli ukweli kuwa wafanya biashara wengi walidaiwa pesa za ukwepaji kodi walizokuwa wakiibia serikali pamoja na kina Mbowe!
Ukitaka uwe mbaya, dai chako, JPM aliwadai wafanya biashara kodi nanihalali kabisa kwa nchi, lakini eti huo umekuwa ni ubaya? Nchi ya kipumbavu sana hii
Sio chadema mkuu, hao CCM wanapambana kuwarudishia majizi mali zaoHuo ndio ukweli hivi uwe na pesa halali halafu unyang'anywe kweli hakika hakuna watu wajinga nchi hii kama vijana wa chadema mtandaoni
Nawatafuta walinda legacy kweny huu uzi siwaoni, waambien waje. Haiwezekan legacy ichezewe kiasi hiki!!View attachment 2503193
My Take
Nawaambieni ukweli mchungu.
Katika serikali zilizojaa uozo serikali ya Magufuli ni nambari wani.
Mambo mengi sana ya hovyo yalifanyika chini ya uchochoro wa uzalendo.
Mzalendo na waliokuwa chini yake wamechakaza sana mali za umma na watu binafsi
Rekebisha heading ni marehemu Magufuli, hayati ni neno linalotumika Kwa watu waliokufa wakiwa wema.View attachment 2503193
My Take
Nawaambieni ukweli mchungu.
Katika serikali zilizojaa uozo serikali ya Magufuli ni nambari wani.
Mambo mengi sana ya hovyo yalifanyika chini ya uchochoro wa uzalendo.
Mzalendo na waliokuwa chini yake wamechakaza sana mali za umma na watu binafsi
Mwenyewe alikuwa akiitamka Legase.Nawatafuta walinda legacy kweny huu uzi siwaoni, waambien waje. Haiwezekan legacy ichezeee kiasi hiki!!
Si umfuate huko kuzimu umsaidie kukusanya kuni mbanikwe pamoja?Yaani umekazana kabisa unapambana na marehemu?? Mbona huku pambana nae akiwa hai?
Ngoja walinda legacy waje kukutupia mawe.View attachment 2503193
My Take
Nawaambieni ukweli mchungu.
Katika serikali zilizojaa uozo serikali ya Magufuli ni nambari wani.
Mambo mengi sana ya hovyo yalifanyika chini ya uchochoro wa uzalendo.
Mzalendo na waliokuwa chini yake wamechakaza sana mali za umma na watu binafsi
Hii ndio maana majizi na vyeti feki yanachekekea yameachwa yapumue. Watu waliokuwa wanafanya biashara bila janja janja hawajawahi kusumbuliwa na Magu.Tofauti ya Magufuli na samia ni kuwa Magufuli hakuwa muoga wa kusimamia sheria. Samia ni muoga mno kusimamia sheria, kibaya zaidi wanaom backup ni wavunja sheria wakubwa wakiwa na washkaji zao ndio maana leo unaona vituo vya mafuta vimeota hadi kwenye milango ya watu na serikali ya samia inaogopa kusema chochote hadi labda itokee milipuko na kuteketeza raia.
Magu ndii rais aliyethubutu kusimamaia sheria bila kumuangalia mtu usoni. Hata kushikilia au kutaifisha mali za mtu aliyekwepa kodi ni sheria za kodi na zipo muda wote.
Sasa we fikiria miaka yote TRA wakija kukagua wanakukuta upo clean. Inakuwaje kipindi cha Magufuli TRA hao hao waje wakupore fedha? Mtu umekamilika unafanya biashara kwa uaminifu huwezi kuta serikali inahangaika na wewe hata hao maafisa rushwa hawaipati kwako watakuwa wanafuata nini kila wakati hapo biasharani.Mie naona wanaomsagia kunguni walikuwa mafisadi au watu wa madili tu na wavivu, nikikumbuka kwenye utawala wa Kikwete mwishoni nilipata tatizo la nyama za puani, kwenda pale Muhimbili nikaambiwa na Daktali aliyeniatend kuwa ili nifanyiwe opration inabidi nitoe 300000 au 250000/ Maana nilikuwa natumia bima ikabidi nirudi nyumbani Maana kwa maadili ya dini yangu inakataza rushwa, Magufuli alivyofanikiwa kupata madaraka akaenda akasafisa pale Muhimbili,nilivyorudi jamaa waliokuwa wanagoma wakitaka ela walinifanyia bule tena nikataka kuwapa elfu 30000,wakakata kabisa labda wakasema tuwekee kwenye simu.Sasahivi nenda pale Muhimbili au Mloganzira una pesa uone.magufuli alikuwa Mtu na nusu uwajibikaji ulikuwa juu sana hata kama watu walikuwa wanalipwa kidogo.
No he was more that devil "Hasatanae"He was a devil
Tanzania hatuajawahi kukukosea kumchangua rais- tumekuwa tukipata mtu sahihi kwa wakati husika.Ngoja walinda legacy waje kukutupia mawe.
Stroke Idugunde comte Nyankurungu2020 Carlos The Jackal Sang'udi
Siwezi kumjibu mwanamke anbae yupo period kama weweAcha upumbavu mbwa wewe kama mtu kaiba anashtakiwa mahakama I sio kumnyang'anya hela na kuzificha china wajaa laana nyie
Umenena sawa. Hadi sasa mama ana piga vijembe hapa na pale kila ikitokea fursa kutest kina cha maji kama anaweza kujitokeza wazi kutetea mafisadi kwa kisingizio haikua haki. W-2 w22 Wenyewe washarukia kuona ni mtu wao. Lakini nawaonya fisadi wasiwe na hakika. CCM ni chama cha kutetea maslahi ya umma. Mama bila shaka yatamshinda na kwa uhakika 2025 anatupiwa virago.Mitoto ya wezi katika ubora wako.
Serikali ya Samia imejaa wezi, hivyo lazima wezi watetee wezi wenzao.
Kila mtu alienyang'anywa pesa alikuwa mwizi, hivyo walikuwa wanarudisha walichoiba.
Mtapambana lakini hamtaweza.
Hatamfanye je wanachi hawatawaelewa.
Sasa kwani wanakosea nini. Ni umma wa wananchi huwaambii kitu kwa jpm. Wewe uliyenyolewa kichwa kwa chupa kwa dhuluma zako ndio unaona tofauti.Watu wanajua kulitumikia huba aisee!Hata uwaambie kwa maelezo yenye ukweli kiasi gani,watakataa hata kwa viapo.Wanaamini alikuwa the smartest,the bravest and above all,the most high!๐๐๐๐