Walionyang'anywa mali na Hayati Magufuli waomba kurudishwa mali zao

Walionyang'anywa mali na Hayati Magufuli waomba kurudishwa mali zao

View attachment 2503193

My Take
Nawaambieni ukweli mchungu.
Katika serikali zilizojaa uozo serikali ya Magufuli ni nambari wani.

Mambo mengi sana ya hovyo yalifanyika chini ya uchochoro wa uzalendo.

Mzalendo na waliokuwa chini yake wamechakaza sana mali za umma na watu binafsi
Wezi lazima wataifishwe mali zao, acha kujitoa fahamu.

Kuna watu wanakula kwa mlija na kuiba mali za uma. siku nikiwa Rais lazima warudishe mali za umma.
 
Hata yakiandika magazeti yote na television zote zikatangaza kumchafua Magu!

Haiondoi ukweli ukweli kuwa wafanya biashara wengi walidaiwa pesa za ukwepaji kodi walizokuwa wakiibia serikali pamoja na kina Mbowe!


Ukitaka uwe mbaya, dai chako, JPM aliwadai wafanya biashara kodi nanihalali kabisa kwa nchi, lakini eti huo umekuwa ni ubaya? Nchi ya kipumbavu sana hii
Tatizo sio kudaiwa bali hizo walizoporwa ziliingizwa wapi? Hazionekani hazina..
Hebu tuambie aliziweka wapi?
 
.
Screenshot_20230201-200321_Twitter.jpg
 
View attachment 2503193

My Take
Nawaambieni ukweli mchungu.
Katika serikali zilizojaa uozo serikali ya Magufuli ni nambari wani.

Mambo mengi sana ya hovyo yalifanyika chini ya uchochoro wa uzalendo.

Mzalendo na waliokuwa chini yake wamechakaza sana mali za umma na watu binafsi
nyingi sana ziliishia mikononi kwa vijana wa jiwe, kufanya hili zoezi litawakumba wengi si Sabaya pekee.
 
Unawezaje nyamaza wakati mtu umenyanganywa haki yako kama unaoushaidi kuwa mali uliyonyanganywa umeipata kialali? mbona!walinyanganywa mali na Nyerere walienda mahakamani wakashitaki wakinda kesi wakatudishiwa mali zao? kwanini hawa mnaosema Magufuli aliwanyanganya fedha hatukuwahi kuona hata tajiri mmoja akijitokeza kisema kwamba mimi niliwahi kuchukuliwa fedha zangu benki katika utawala wa Magufuli?Sans sana maneno hayo tunayasikia kwa wanasiasa akina Mbowe Cop, waliokuwa wakishirikiana na walanguzi kuliujumu taifa.
Kialali = kihalali. Tatizo ni umaskini wako. Hutakaa uelewe haya yanayozungumzwa. Siku ukitoka kwenye hilo dimbwi la umaskini ndo utaelewa.
 
Kialali = kihalali. Tatizo ni umaskini wako. Hutakaa uelewe haya yanayozungumzwa. Siku ukitoka kwenye hilo dimbwi la umaskini ndo utaelewa.
Achana na mambo ya umasikini, umasikini wangu hausiani mada hii,nimekuliza unaweza nitajia tajiri hata mmoja aliwahi kujitokeza kwa nyaraka halali za benki kabla au baada ya kifo cha Magufuli kuwa alichukuliwa fedha yake benki?au nyinyi ndio chawa wa Samia aliowasema kuwa amewamwaga mtaani kumtetea,kila siku mnasema Magufuli aliwanyanganya fedha wafanyabiara,tukiuliza ushaidi mnasema Sisi masikini.Upuuzi mtupu.
 
Achana na mambo ya umasikini, umasikini wangu hausiani mada hii,nimekuliza unaweza nitajia tajiri hata mmoja aliwahi kujitokeza kwa nyaraka halali za benki kabla au baada ya kifo cha Magufuli kuwa alichukuliwa fedha yake benki?au nyinyi ndio chawa wa Samia aliowasema kuwa amewamwaga mtaani kumtetea,kila siku mnasema Magufuli aliwanyanganya fedha wafanyabiara,tukiuliza ushaidi mnasema Sisi masikini.Upuuzi mtupu.
Kama wewe unakiri kwamba ni maskini basi hautakaa uelewe kilio cha matajiri. Hizi ni zama za kila mbuzi kula kwa urefu wa kamba yake.
 
Dah.. ila Magu jamani...!!!?? Hivi alikuwa ni mtu kweli!??
 
Back
Top Bottom