Walioruhusu picha hii itumike hawakuwa wajinga

Fact tupu,
Watu wapunguze mahaba
Yesu hakua maarufu bhana
Hata hukumu yake ilkua ya kawaida Kama wahalifu wengine wasumbufu wa serikali ya kiyahudi[emoji4]
 
Sahii KABISA mkuu,
Umenikosha unavojibu kwa facts[emoji4]
Watu waache kulazimisha mambo[emoji106]
 
Ha ha ha ....
umepiga Kwny mshono
Walokole hawatakagi KABISA [emoji4]
 
Kwa maarifa na taarifa wanazomiliki Kanisa katoliki pale Vatican city Kwa mantiki ya maelezo yako basi hata picha au taswira ya Mtume Muhamad(Saw) Kwa wenzetu ndugu zetu sana Waislamu,wakatoliki wanayo.
sasa kama padri wa katoliki ndo mtu wa kwanza kumuandikia mtume aya za qurani hilo linashindikana vipi?
 
leso/kitambaa alichomfutia yesu usoni wakati yupo msalabani kilibaki na taswira ya yesu,na kitambaa hicho kipo vatican.
 
Binafsi nalisikia jina la mwamposa kwa Sura simjui. Je mwamposa sio maarufu?

Kwa zamani ili umfahamu mtu njia pekee ni kumuona kwa kutumia macho yako.
Mtu mwenye uwezo wa kukusanya watu zaidi ya 10k ( wanaume 5k walikula mkate na samaki) kwa pamoja sio maarufu huyo?
Haijalishi alikuwa maarufu kwa watu wa aina gani ( masikini kwa wingi) ila alikuwa maarufu.
 

Hakuwa maarufu Kwa ngazi ya kitaifa na kimataifa.

Zingatia huyo Yesu Route yake ilianzia wapi na kuishi wapi.
Zingatia pia hakuwa mwenyeji wa Jerusalem, ndio alikuwa amefika, hakuwa na muda mrefu wa kufahamika.
 
Hakuwa maarufu Kwa ngazi ya kitaifa na kimataifa.

Zingatia huyo Yesu Route yake ilianzia wapi na kuishi wapi.
Zingatia pia hakuwa mwenyeji wa Jerusalem, ndio alikuwa amefika, hakuwa na muda mrefu wa kufahamika.
Mtu asiye maarufu Ngazi za kitaifa habari zake zinafikaje kwa wakuu wa Nchi?
Herode alimjua Yesu ( au alisikia habari za yesu) kabla ya Yesu kupelekwa kwake?
Mtu ambaye habari zake zimefika mpaka Chemba za watawala unasemaje sio maarufu?
 
Nashindwa kuelewa mnapo sema Yesu hakuwa maarufu. Vitu vipo very clear, inahitaji very simple logic kulink the dot na kupata a clear picture ya umaarufu wake.

Advancement of Technology
Lazima muelewe kwamba tunaongelea miaka 2000 A.D iliyopita ambapo maendeleo ya teknolojia yalikuwa madogo lakini bado still haikuzuia umaarufu wake. Leo hii katika karne ya 21th century tunaona mapinduzi makubwa ya sayansi na teknolojia, dunia ipo kiganjani. Jambo linasambaa duniani kote with in a minute or with in a single digit, maajabu ya World Wide Web inavyofanya kazi yake.

1. Kwa mantiki iyo kwa nini Mwamposa asijulikane mpaka uso wake?
2. Kwa mantiki iyo kwa nini Kuhani Mussa asijulikane mpaka na kanisa lake?

Huku vitu kama radio now days unaweza ukatune online listening or offline listening kwa nini asijulikane mpaka na vocal sound yake?

Leo hii tukimfufua mtu aliyeishi miaka 2000 A.D iliyopita akakukuta unawasiliana na simu, wewe upo Mwanza muda huo huo unawasiliana na mtu yupo Mbeya immediately wewe ungeitwa mchawi namba moja. Lakini this day's ni jambo la kawaida mtu yupo Bongo anawasiliana na mtu yupo Nevada - Marekani through telecommunications hakuna anayeshangaa wala kushtuka.
That is power of Technology my dear.

Imagination is more powerful than knowledge.
Imagine, miracles za Yesu zingefanyika katika karne hii, unafikiri neno famous lingeweza kumfit kwa maana angekuwa "more than famous" that's it!

Let's move our attention katika Injili Takatifu.
Marko 3:7-12
Umati Wa Watu Wamfuata Yesu

"7 Yesu pamoja na wanafunzi wake waliondoka mahali hapo wakaenda ziwani wakifuatwa na umati mkubwa wa watu kutoka Galilaya na Yudea. 8 Na watu kutoka Yerusalemu, Idumaya, na eneo lote la ng’ambo ya Yordani, sehemu za Tiro na Sidoni, waliposikia mambo aliyokuwa akitenda, wakamwendea. 9 Akawaomba wanafunzi wake wamwandalie mashua ili asisongwe na kubanwa sana na watu. 10 Kwa kuwa alikuwa amewaponya wagonjwa wengi, wote wenye maradhi walikuwa wakisukumana wapate kumgusa. 11 Na kila mara pepo wachafu walipomwona, walianguka chini mbele yake na kulia kwa sauti kuu, “Wewe ni Mwana wa Mungu.”12 Lakini aliwaamuru wasimtambulishe kwa watu."

Ukisoma Injili Takatifu unaona kabisa umati mkubwa wa watu ulimfwata kutoka miji mikubwa ya Galilaya, Yudea, Yerusalemu, Idumaya, pamoja na Yordani.
Hauwezi kusema Yesu hakuwa maarufu?

Pia ukisoma Marko 3: 9 anawaomba wanafunzi wake wamwandalie mashua hili asisongwe na kubanwa sana na watu. Hii inakuonyesha jinsi gani umati ulivyokuwa mkubwa mpaka anatafuta alternative space kwa ajili ya kuzungumza nao na kuwa ponya matatizo yao.

Lakini ukisoma Marko 3:12 Yesu aliwapa maagizo wanafunzi wake wasimtambulishe kwa mtu yeyote. Hii inakuonyesha hakuja dunia kusaka Fame, kuwa Celebrity au A Top Richest man in the world. Alisimamia katika mission yake ya "kuokomboa ulimwengu" na hakutaka show-off za Dunia hii, tofauti na wafalme au watu mashuhuri wa zama hizo walilewa sifa za fame, starehe na show-off za kila namna.

Umaarufu wa mtu sio lazima mpaka uwe, ama kuwepo na picha zake.
Mtu akisema Buddha - unajua alikuwa spiritual teacher wa South Asia na founder wa Buddhism.
Mtu akisema Lao Tzu - unajua alikuwa Chinese philosopher na founding figure wa Taoism in China.
Mtu akisema Griselda Blanco Restrepo - unajua Cocaine God mother wa Colombia.

Watu wazamani walisifika kwa matendo yao kuliko muonekano wao. Now days watu wanatumia sana muonekano wao kuliko matendo yao kuwa fame & celebrity.

I'm done
🙌

Robert Heriel DeepPond Da'Vinci
 
Sasa Ni Wapi Palipoandikwa Hizo Ni Picha Halisi?!!
 

Nafikiri haujui maana ya neno maarufu au mashuhuri.

Yaani hata Yohana Mbatizaji Kwa Kipindi kile alikuwa anamzidi Yesu Kwa umaarufu tena Kwa mbali Mno.

Yesu amedumu kwenye kazi Kwa miaka 6 tuu,
Ndio alikuwa anaanza Kupata umaarufu, ni kama vile kina Costa Tich huyu mwanamuziki aliyekufa juzi jukwaani.
 
I'm done🙌
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…