Walioruhusu picha hii itumike hawakuwa wajinga

Unajua kisiasa sababu ya kifo cha Yesu ni uhaini???
 
Kisai, long time no see you. I hope you are doing just fine 🙏

Picha zao ni kweli hazikuwepo ila Portraits zao zilikuwepo. Watu walitumia michoro kuhifadhi kumbukumbu
Walitumia michoro ya sura za watu au watu walitunza Elimu na mafundisho ya watu husika ?

Unaweza kututhibitishia hiyo ndiyo sura ya Yesu kweli ?
 
Seventh Day Adventist Church, baadhi yao walitaka kwenda ulaya bila passport wala nauli. Upuuzi dot Com
sasa kumbe unaongelea kundi la watu waliojitenga kutoka kwa wasabato....wale si wanaitwa wasabato masalia
unaposema wasabato awamuamini yesu wala utatu mtakatifu una ushahidi wa ayo mafundisho au ni utashi wako??
 
Uzi mzuri Mr. na ninaunga mkono hoja.

Binafsi ninapotazama picha yoyote ya Yesu akiwa na wale 12 basi huwa sikawii kumtambua Petro, bila kujali yuko sehemu gani katika picha!

Namtambuaje?
1. Siku zote petro huonyeshwa kama mwanaume mwenye nywele fupi zilizo sokotwa, kwasasa mtindo huo huitwa Jew-Fro.
2. Pia Petro alikuwa na umri mkubwa kuliko wenzake na pengine kukiko Kristo.



[Jew-Fro]

Tazama picha za Yesu na wanafunzi wake.



Jaribu kumtambua Petro kwenye picha ya ‘The last supper’ by Leonardo da Vinci.




Umemtambua Petro.




Hapo?






Hii ndio sanamu ya Mt. Petro kama inayopatikana huko Vatican.

Katika Biblia hakuna ‘reference’ yoyote kuhusu mtindo wa nywele au umri wa Petro, ajabu ni kuwa wachoraji na wachongaji wamekubaliana kuhus muonekano wa Petro karne nyingi baada ya kifo chake.

My take. Kama alivyoandika mleta uzi, muonekano huu wa Petro sio wa kubahatisha.



Nawasilisha.
 
Haijalishi kama ni mataputapu, au zinamake sense. Bado zitabaki tu kua theory, not FACTS!

Kiufupi, haujathibitisha beyond reasonable doubts kwamba huo ndio muonekano wa Yesu!
You're missing the point sir...lengo la mada yangu sio kuthibitisha kwamba hiyo ndio picha ya Yesu bali ni kuwatazamisha watu kua inawezekana kweli hiyo inafanania au ndio yenyewe kwa sababu nilizoeleza.

Ukisoma btn lines dhima kuu ya mada yangu sio kuthibitisha picha sahihi ya Kristo
 
Mkuu ahsante kwa mchango wako nimejifunza kitu. Hata kwenye muvi mbalimbali Petro amekua akionyeshwa akiwa na nywele za namna hiyo.
Sio wajinga waliofanya hivyo yawezekana ndivyo ilivyokua
 
Angalau ungemtaja Ibni Sinna /Avicenna ningekuelewa
 
Sir naomba kujua wewe ni muabudu wa dhehebu lipi?
 
Yesu alikuwa mzungu?
 
Mkuu wewe ni Shahidi wa Jehovah kiimani kama sijakosea. Hua hamuamini kama Yesu alitundikwa msalabani katika mti uliokaa kama jumlisha ➕ bali mti mmoja mnyoofu. So sishangai wewe kuona unasema Yesu alikua na nywele fupi.
Bila shaka ww pia ni RC hampendi kuchimba nyie binafsi maandiko, Mnalofundishwa mnabeba kama lilivyo bila kureason limetoka andiko gani.
Hakuna msalaba.
Yesu hakusema tusherehekee kuzaliwa kwake(xmass). Kwanza hakuzaliwa mwezi huo wa December ukitazama hata majira ya miaka ya kiyahudi.
 
Yesu hakuzaliwa ndio mwezi December, tunachofanya ni Kuadhimisha siku ya kuzaliwa Yesu kristo. Kuadhimisha sio lazima iwe siku ile ile tukio fulani lilipotokea.
So Yesu aliwekwa kwenye Msalaba wa aina gani?
 
Such an Outstanding reply.
If you won't mind...What kind of scientist are you??
 
Kwamba mpaka Wakuu wa Makuhani wanapanga kumuua hakuwa na umaarufu wowote?

Mtu hadi analisha watu elfu tano (na hao ni wanaume, wanawake hawajahesabiwa) unasema siyo maarufu?

Au nini maana ya maarufu/umaarufu, mkuu?
 
Wasabato mnaupinga utatu mtakatifu, mnapinga fumbo la imani. Kristo alikufa,Akafufuka na atarudi tena. Nyie ndio wapinga kristo
Sijawahi waelewa. Na bado wanasoma maandishi ya mtume Paulo na kubagua vyakula.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…