Gift mzalendo
JF-Expert Member
- Dec 13, 2019
- 1,856
- 2,417
Hapa ni pamoja na viongozi watetezi wao akiwepo Mzee wa Pp anayeona Marekani haikoseagi kiuchumi
Huyu Anatuokotea Kila kitu nje Kama Dodoki bila kutuambia mazingira au Mfumo wa shirika la umeme la Marekani ukoje ni WA ushindani au Monopoly
Nchi inapambana walau tuongeze export ya maparachichi , tunapata Fursa ya kuuza umeme tunaiacha tunaenda kununua sisi ety
Hata Kama ndo mnatadharau wananchi lakini msidharau na viongozi wetu
Umeme wa Ethiopia chanzo chake ni mto Nile unaotoka nchini kwetu ziwa Victoria
Unaenda kuzalisha umeme nchi iliyoko maelfu ya kilometa unarudishwa nchini kwa maelfu ya kilometers tunauzia kwa mamamilion ya hela za kigeni
Inawezekanaje Ethiopia isafirishe umeme Hadi Kenya Namanga ipate faida lakini tupate hasara kusafirisha humu humu NDANI
Kama tunataka vyanzo mbadala tunatanunuaje chanzo kile kile kinachofanana Cha maji Tena yanayotoka nchini kwetu
Kwanini tusizalishe vyanzo vingine Kama solar upepo SINGIDA same, geothermal humu humu NDANI
Incase ikitokea ukame ?
Je mabwawa yaliyoko kaskazini nayo yanazalisha kwa hasara ?
Hata mtoto aliyesoma geography ya Darasa la tano utamweleshaje umeme KUTOKA Ethiopia ni rahisi kuliko Rufiji akuelewe ???
Uvumilivu wetu Kama wazalendo una mwisho pia
Kama hawatahojiwa Kuna siku tutachukua nchi yetu wazalendo tutawahoji
Sio tumalize uchaguzi tusikie skendo ya umeme wa Ethiopia haitusaidii
Huyu Anatuokotea Kila kitu nje Kama Dodoki bila kutuambia mazingira au Mfumo wa shirika la umeme la Marekani ukoje ni WA ushindani au Monopoly
Nchi inapambana walau tuongeze export ya maparachichi , tunapata Fursa ya kuuza umeme tunaiacha tunaenda kununua sisi ety
Hata Kama ndo mnatadharau wananchi lakini msidharau na viongozi wetu
Umeme wa Ethiopia chanzo chake ni mto Nile unaotoka nchini kwetu ziwa Victoria
Unaenda kuzalisha umeme nchi iliyoko maelfu ya kilometa unarudishwa nchini kwa maelfu ya kilometers tunauzia kwa mamamilion ya hela za kigeni
Inawezekanaje Ethiopia isafirishe umeme Hadi Kenya Namanga ipate faida lakini tupate hasara kusafirisha humu humu NDANI
Kama tunataka vyanzo mbadala tunatanunuaje chanzo kile kile kinachofanana Cha maji Tena yanayotoka nchini kwetu
Kwanini tusizalishe vyanzo vingine Kama solar upepo SINGIDA same, geothermal humu humu NDANI
Incase ikitokea ukame ?
Je mabwawa yaliyoko kaskazini nayo yanazalisha kwa hasara ?
Hata mtoto aliyesoma geography ya Darasa la tano utamweleshaje umeme KUTOKA Ethiopia ni rahisi kuliko Rufiji akuelewe ???
Uvumilivu wetu Kama wazalendo una mwisho pia
Kama hawatahojiwa Kuna siku tutachukua nchi yetu wazalendo tutawahoji
Sio tumalize uchaguzi tusikie skendo ya umeme wa Ethiopia haitusaidii