Walioshauri viongozi wetu kununua umeme Ethiopia km maelfu badala ya Nyerere wakamatwe wahojiwe km wahujumu uchumi ,Victoria inakuwaje chanzo mbadala

Walioshauri viongozi wetu kununua umeme Ethiopia km maelfu badala ya Nyerere wakamatwe wahojiwe km wahujumu uchumi ,Victoria inakuwaje chanzo mbadala

Gift mzalendo

JF-Expert Member
Joined
Dec 13, 2019
Posts
1,856
Reaction score
2,417
Hapa ni pamoja na viongozi watetezi wao akiwepo Mzee wa Pp anayeona Marekani haikoseagi kiuchumi
Huyu Anatuokotea Kila kitu nje Kama Dodoki bila kutuambia mazingira au Mfumo wa shirika la umeme la Marekani ukoje ni WA ushindani au Monopoly

Nchi inapambana walau tuongeze export ya maparachichi , tunapata Fursa ya kuuza umeme tunaiacha tunaenda kununua sisi ety

Hata Kama ndo mnatadharau wananchi lakini msidharau na viongozi wetu

Umeme wa Ethiopia chanzo chake ni mto Nile unaotoka nchini kwetu ziwa Victoria

Unaenda kuzalisha umeme nchi iliyoko maelfu ya kilometa unarudishwa nchini kwa maelfu ya kilometers tunauzia kwa mamamilion ya hela za kigeni

Inawezekanaje Ethiopia isafirishe umeme Hadi Kenya Namanga ipate faida lakini tupate hasara kusafirisha humu humu NDANI

Kama tunataka vyanzo mbadala tunatanunuaje chanzo kile kile kinachofanana Cha maji Tena yanayotoka nchini kwetu

Kwanini tusizalishe vyanzo vingine Kama solar upepo SINGIDA same, geothermal humu humu NDANI
Incase ikitokea ukame ?

Je mabwawa yaliyoko kaskazini nayo yanazalisha kwa hasara ?

Hata mtoto aliyesoma geography ya Darasa la tano utamweleshaje umeme KUTOKA Ethiopia ni rahisi kuliko Rufiji akuelewe ???

Uvumilivu wetu Kama wazalendo una mwisho pia
Kama hawatahojiwa Kuna siku tutachukua nchi yetu wazalendo tutawahoji

Sio tumalize uchaguzi tusikie skendo ya umeme wa Ethiopia haitusaidii
 
Hapa ni pamoja na viongozi watetezi wao akiwepo Mzee wa Pp anayeona Marekani haikoseagi kiuchumi
Huyu Anatuokotea Kila kitu nje Kama Dodoki bila kutuambia mazingira au Mfumo wa shirika la umeme la Marekani ukoje ni WA ushindani au Monopoly

Nchi inapambana walau tuongeze export ya maparachichi , tunapata Fursa ya kuuza umeme tunaiacha tunaenda kununua sisi ety

Hata Kama ndo mnatadharau wananchi lakini msidharau na viongozi wetu

Umeme wa Ethiopia chanzo chake ni mto Nile unaotoka nchini kwetu ziwa Victoria

Unaenda kuzalisha umeme nchi iliyoko maelfu ya kilometa unarudishwa nchini kwa maelfu ya kilometers tunauzia kwa mamamilion ya hela za kigeni

Inawezekanaje Ethiopia isafirishe umeme Hadi Kenya Namanga ipate faida lakini tupate hasara kusafirisha humu humu NDANI

Kama tunataka vyanzo mbadala tunatanunuaje chanzo kile kile kinachofanana Cha maji Tena yanayotoka nchini kwetu

Kwanini tusizalishe vyanzo vingine Kama solar upepo SINGIDA same, geothermal humu humu NDANI
Incase ikitokea ukame ?

Je mabwawa yaliyoko kaskazini nayo yanazalisha kwa hasara ?

Hata mtoto aliyesoma geography ya Darasa la tano utamweleshaje umeme KUTOKA Ethiopia ni rahisi kuliko Rufiji akuelewe ???

Uvumilivu wetu Kama wazalendo una mwisho pia
Kama hawatahojiwa Kuna siku tutachukua nchi yetu wazalendo tutawahoji

Sio tumalize uchaguzi tusikie skendo ya umeme wa Ethiopia haitusaidii
Umeme sio kama, magunia ya Michele, hatuufati Ethiopia,
Generator za Ethiopia, zikizalisha, umeme,nyaya kutoka Kenya Zinaungwa,
Hapo, kuna kuwa, nq kapu, busbar ambsyo inalishwa na vyanzo viwili, Kenya, na Ethiopia, sie kwa, Arusha, tunaenda kudowea, hapo kwenye pool, busbar,
 
Umeme sio kama, magunia ya Michele, hatuufati Ethiopia,
Generator za Ethiopia, zikizalisha, umeme,nyaya kutoka Kenya Zinaungwa,
Hapo, kuna kuwa, nq kapu, busbar ambsyo inalishwa na vyanzo viwili, Kenya, na Ethiopia, sie kwa, Arusha, tunaenda kudowea, hapo kwenye pool, busbar,
INGAwa sijakuelewa vizuri kuanzia mwandiko Hadi lugha uliyotumia

Usipaniki Wala kuchanganyikiwa mkuu

nakushauri tulia soma uelewe vizuri Kisha ndo uandike hiyo hoja yako ya kijinga ya magunia ya mchele na umeme
 
Inaskitisha Sana kuwa na nchi yenye wasomi waoga kusema ukweli na kuwa na wajinga wenye ujasiri wa kuitetea ujinga wao na uongo wowote Cha msingi watakula
 
Kuliza sio ujinga Jamani,nataka elimu tu mwenzenu,kama ntauliza swali la kipumbavu mniwie radhi sana,,mi nauliza tu,kwani hakuna uwezekano wa kuunganisha umeme unaoishia mikoa inayopakana ni iyo mikoa ya kaskazini ?au huu umeme wa strigo kuekea kaskazini mwa nchi unaishia wapi?
 
Hii ilikuwa ni hoja kubwa Sana Kwa nchi yenye watu wanaojali masilahi ya Taifa
Hii pia ni Agenda kubwa Kwa wapinzani wa kisiasa wakiamua kuitumia kuonyesha Aina ya WASHAURI wanaomzunguka kiongozi wetu
 
Kuliza sio ujinga Jamani,nataka elimu tu mwenzenu,kama ntauliza swali la kipumbavu mniwie radhi sana,,mi nauliza tu,kwani hakuna uwezekano wa kuunganisha umeme unaoishia mikoa inayopakana ni iyo mikoa ya kaskazini ?au huu umeme wa strigo kuekea kaskazini mwa nchi unaishia wapi?
Sio ujinga mkuu , sayansi yote duniani inaanza na maswali

Jiulize pia KUTOKA chanzo kabisa Cha umeme Hadi Arusha ni km ngapi
 
Wanasema kutoka vyanzo vya ndani ni mbali na hasara ila Ethiopia karibu!

In the same breath wanasema wanataka kuuza umeme nje sijui watasafirisha kwa Bluetooth?

Wakati hivi vyanzo vipya vinajengwa feasibility study ilifanyika kweli?
 
Tumekosaje watu wenye weledi wa KUENDESHA shirika kwa faida tena lenye wateja wa uhakika wanaotafuta HUDUMA wenyewe ???
 
Wanasema kutoka vyanzo vya ndani ni mbali na hasara ila Ethiopia karibu!

In the same breath wanasema wanataka kuuza umeme nje sijui watasafirisha kwa Bluetooth?

Wakati hivi vyanzo vipya vinajengwa feasibility study ilifanyika kweli?
Inaskitisha Sana mkuu
Embu fikiri Ethiopia anazalisha, anafanya maintenance ya mitambo, anasafirisha km maelfu, anatengeneza Vituo kadhaa vya kupooza,
anauza nchi zaidi ya moja na anapata faida ya fedha za kigeni !!!

Lakini sisi humu humu NDANI ni hasara ???
 
Tuanze na Mramba anayesema hasara ya Ethiopia haituhusu
Kama ndo mtoto wa Mramba waziri wa awamu ya tatu inatosha kumfuatilia
 
Hapa ni pamoja na viongozi watetezi wao akiwepo Mzee wa Pp anayeona Marekani haikoseagi kiuchumi
Huyu Anatuokotea Kila kitu nje Kama Dodoki bila kutuambia mazingira au Mfumo wa shirika la umeme la Marekani ukoje ni WA ushindani au Monopoly

Nchi inapambana walau tuongeze export ya maparachichi , tunapata Fursa ya kuuza umeme tunaiacha tunaenda kununua sisi ety

Hata Kama ndo mnatadharau wananchi lakini msidharau na viongozi wetu

Umeme wa Ethiopia chanzo chake ni mto Nile unaotoka nchini kwetu ziwa Victoria

Unaenda kuzalisha umeme nchi iliyoko maelfu ya kilometa unarudishwa nchini kwa maelfu ya kilometers tunauzia kwa mamamilion ya hela za kigeni

Inawezekanaje Ethiopia isafirishe umeme Hadi Kenya Namanga ipate faida lakini tupate hasara kusafirisha humu humu NDANI

Kama tunataka vyanzo mbadala tunatanunuaje chanzo kile kile kinachofanana Cha maji Tena yanayotoka nchini kwetu

Kwanini tusizalishe vyanzo vingine Kama solar upepo SINGIDA same, geothermal humu humu NDANI
Incase ikitokea ukame ?

Je mabwawa yaliyoko kaskazini nayo yanazalisha kwa hasara ?

Hata mtoto aliyesoma geography ya Darasa la tano utamweleshaje umeme KUTOKA Ethiopia ni rahisi kuliko Rufiji akuelewe ???

Uvumilivu wetu Kama wazalendo una mwisho pia
Kama hawatahojiwa Kuna siku tutachukua nchi yetu wazalendo tutawahoji

Sio tumalize uchaguzi tusikie skendo ya umeme wa Ethiopia haitusaidii
Pamoja na mambo mengine, ni muhimu kuelewa kwamba mto Nile una vyanzo viwili, kuanzia Africa mashariki (Tanzania ikiwemo) na kingine kikianzia Ethiopia.
White Nile (kuanzia Tanzania) na Blue Nile (huanzia Ethiopia).
Umeme wa Ethiopia huzalishwa kwenye Blue Nile ambayo ina maji mengi kuliko White Nile.
 
Umeme sio kama, magunia ya Michele, hatuufati Ethiopia,
Generator za Ethiopia, zikizalisha, umeme,nyaya kutoka Kenya Zinaungwa,
Hapo, kuna kuwa, nq kapu, busbar ambsyo inalishwa na vyanzo viwili, Kenya, na Ethiopia, sie kwa, Arusha, tunaenda kudowea, hapo kwenye pool, busbar,
Angalau umejaribu kumuelezea japo sio kwa kisayansi sana. Analaumu kumbe tatizo ni la kwake la kuwa na uelewa mdogo kwenye masuala ya nishati.
 
Inasikitisha Sana , tusiponyesha hasira zetu Kama wazalendo inaweza tokea Tena skendo ya umeme

Alafu MTU anakuja kuandika kitabu kukiri
Hakuna cha skendo tatizo letu tunalemazwa na udaku wa mitandaoni. Ni biashara inayofanywa na mataifa makubwa kina USA, Ujerumani na Japan sembuse sisi Watanzania.

Ukiwa tayari kununua umeme pia unao utayari wa kuuza umeme. Tutafute maarifa ili tupunguze haya malalamiko ya kitoto, yanatushushia heshima.
 
Hakuna cha skendo tatizo letu tunalemazwa na udaku wa mitandaoni. Ni biashara inayofanywa na mataifa makubwa kina USA, Ujerumani na Japan sembuse sisi Watanzania.

Ukiwa tayari kununua umeme pia unao utayari wa kuuza umeme. Tutafute maarifa ili tupunguze haya malalamiko ya kitoto, yanatushushia heshima.
Kwa hiyo ukishataja hayo mataifa unaona umemaliza Kabisa
Kwamba hayo mataifa hayawezi kukosea
Mfumo wao wa uchumi na level zao na sababu zao za uchumi zinafanana na za kwetu

Taifa linalopambana kuongeza export ya maparachichi ili liongeze fedha za kigeni unalinganisha mataifa makubwa yenye viwanda vikubwa yanayoexport na kuingiza mabillion ya fedha za kigeni

Yaani unaacha HUDUMA ambayo unameshagharamia kuzalisha nchini kwako unaenda kununua nje ili ufanane na Marekani

Badala tupambane kuongeza export tunakazana kuongeza import kwa HUDUMA ambazo tuna uwezo nazo ili tulingane na Ujerumani yenye heavy industry

Badala tuongeze fedha za kigeni Kwa kuuza umeme nje tunaenda kulipa fedha za kigeni kununua HUDUMA ya umeme ambayo uzalishaji wake umekamilika ili tufanane na Japan yenye maviwanda makubwa yanayozalisha na kuingiza fedha zakigeni

Kama wewe ni miongoni mwa wasomi Basi tuna hasara kubwa Sana kubwa Sana Kwa Taifa

Ni vizuri uhojiwe kwa uhujumu uchumi wa ada za wazazi
 
Back
Top Bottom