Walioshauri viongozi wetu kununua umeme Ethiopia km maelfu badala ya Nyerere wakamatwe wahojiwe km wahujumu uchumi ,Victoria inakuwaje chanzo mbadala

Walioshauri viongozi wetu kununua umeme Ethiopia km maelfu badala ya Nyerere wakamatwe wahojiwe km wahujumu uchumi ,Victoria inakuwaje chanzo mbadala

Maneno mengi umeandika gazeti zima lakini utumbo mtupu. Umeshawahi kumtafuta huyo Mramba akuelezee kitaalam kwanini umeme unanunuliwa huko Ethiopia?

Megawatt 100 zinapotea huko kaskazini, ni masuala ya elimu ya nishati ambayo kwa maandishi yako wewe huna kabisa. Hata huo umeme unaonunuliwa kutoka Ethiopia sio biashara ya kubeba magunia ya mahindi kutoka nayo Msamvu na kuyapeleka Bukoba mjini, ni biashara inayofanyika katika mazingira mengine tofauti na tunavyodhania.
Wewe jamaa ni 'bogus' kwelikweli; yaani kiazi mbatala hasa.
Sas hapa umeongeza mchango gani wa maana kwenye mada hii.
Hizo 100MW unazo sema zinapoteaje huko kaskazini, unajuwa; wewe mwenye elimu ya nishati?
Ni hivi: Kama umeme toka Bwawa la Rufiji kuufikisha Arusha zitapotea hizo 100MW; umbali wa kilometer siyo zaidi ya 600 KM; huo wa Ethiopia ambako umbali ni zaidi ya 1000Km, huo umeme utapotea kiasi gani, unajuwa?

Usidanganyie swala la uchakavu wa miundo mbinu za usafirishaji huo umeme, kwa sababu miundo mbinu hizo ni mipya, tumejenga kwa pesa ya AfDB, na mkopo hata hatujaanza kulipa!

Hakuna "utaalam" wowote unaofanya tununue umeme wa Ethiopia na kuacha huu wa kwetu ukipotea bure!
Kama kuna umbumbumbu, kati yako na huyo unaye mshambulia hapa, wewe ni hamna kitu kabisa kichwani, akili yote imehamia tumboni.
Mtu mzima unapojitoa akili kichwani kiasi hiki, inasikitisha sana.
 
Ungejua wanavyofanya kazi usiku na mchana usingekuja na hizi lawama za kudhani kila mtu mwenye cheo anao mpango wa kuiba mali ya umma. Punguza mazingira na sababu za kujirundikia dhambi.
Eti "wanavyo fanya kazi usiku na mchana". Sasa ndio tukubali upuuzi wa namna hii mnaotufanyia?

Leo hii Magufuli, pamoja na ukichaa wake ule ange rudi na kukuta uozo huu, angeagiza nyote muwekwe kwenye 'firing squad' pale Mnazi Mmoja!
 
Wewe jamaa ni 'bogus' kwelikweli; yaani kiazi mbatala hasa.
Sas hapa umeongeza mchango gani wa maana kwenye mada hii.
Hizo 100MW unazo sema zinapoteaje huko kaskazini, unajuwa; wewe mwenye elimu ya nishati?
Ni hivi: Kama umeme toka Bwawa la Rufiji kuufikisha Arusha zitapotea hizo 100MW; umbali wa kilometer siyo zaidi ya 600 KM; huo wa Ethiopia ambako umbali ni zaidi ya 1000Km, huo umeme utapotea kiasi gani, unajuwa?

Usidanganyie swala la uchakavu wa miundo mbinu za usafirishaji huo umeme, kwa sababu miundo mbinu hizo ni mipya, tumejenga kwa pesa ya AfDB, na mkopo hata hatujaanza kulipa!

Hakuna "utaalam" wowote unaofanya tununue umeme wa Ethiopia na kuacha huu wa kwetu ukipotea bure!
Kama kuna umbumbumbu, kati yako na huyo unaye mshambulia hapa, wewe ni hamna kitu kabisa kichwani, akili yote imehamia tumboni.
Mtu mzima unapojitoa akili kichwani kiasi hiki, inasikitisha sana.
Mjinga mwingine huyu hapa. Umeme sio maembe mkuu useme kwamba yatapakiwa kwenye matenga kutoka Ethiopia kuja Tanzania.

Nishati ile inachukuliwa hapo Kenya ambapo Ethiopia tayari wanayo mitambo yao. Ni biashara ya kawaida kufanyika duniani. Ukiwa na mahindi na ukalisha majirani zako haina maana kwamba katika baadhi ya sehemu za nchi yako hakuna uhaba wa mahindi hayo.

Ndio biashara za kibepari zilivyo, hakuna anayeweza kujitosheleza kwa asilimia 100 na hakuna mwenye upungufu wa asilimia hizo 100.

Tutaelewana tu taratibu, lakini kama ilivyo kawaida ya hulka za kitanzania kwanza ubishi unakuwa mwingi kabla somo halijaweza kutuingia.
 
Eti "wanavyo fanya kazi usiku na mchana". Sasa ndio tukubali upuuzi wa namna hii mnaotufanyia?

Leo hii Magufuli, pamoja na ukichaa wake ule ange rudi na kukuta uozo huu, angeagiza nyote muwekwe kwenye 'firing squad' pale Mnazi Mmoja!
Acheni ushamba wa kukariri vitu vya kijinga. Magufuli alikuwa binadamu kama mimi na wewe.

Tafuta maarifa ya masuala ya biashara za nishati kabla hujapata sababu ya kuendeleza manung'uniko yasiyo na msingi.
 
Awamu hii ya bibi kiziwi ni wizi, uasherati, ubakaji, ufisadi, ulaji kwa urefu wa kamba zao, utekaji, kutishana, uuaji...,.
 
Hapa ni pamoja na viongozi watetezi wao akiwepo Mzee wa Pp anayeona Marekani haikoseagi kiuchumi
Huyu Anatuokotea Kila kitu nje Kama Dodoki bila kutuambia mazingira au Mfumo wa shirika la umeme la Marekani ukoje ni WA ushindani au Monopoly

Nchi inapambana walau tuongeze export ya maparachichi , tunapata Fursa ya kuuza umeme tunaiacha tunaenda kununua sisi ety

Hata Kama ndo mnatadharau wananchi lakini msidharau na viongozi wetu

Umeme wa Ethiopia chanzo chake ni mto Nile unaotoka nchini kwetu ziwa Victoria

Unaenda kuzalisha umeme nchi iliyoko maelfu ya kilometa unarudishwa nchini kwa maelfu ya kilometers tunauzia kwa mamamilion ya hela za kigeni

Inawezekanaje Ethiopia isafirishe umeme Hadi Kenya Namanga ipate faida lakini tupate hasara kusafirisha humu humu NDANI

Kama tunataka vyanzo mbadala tunatanunuaje chanzo kile kile kinachofanana Cha maji Tena yanayotoka nchini kwetu

Kwanini tusizalishe vyanzo vingine Kama solar upepo SINGIDA same, geothermal humu humu NDANI
Incase ikitokea ukame ?

Je mabwawa yaliyoko kaskazini nayo yanazalisha kwa hasara ?

Hata mtoto aliyesoma geography ya Darasa la tano utamweleshaje umeme KUTOKA Ethiopia ni rahisi kuliko Rufiji akuelewe ???

Uvumilivu wetu Kama wazalendo una mwisho pia
Kama hawatahojiwa Kuna siku tutachukua nchi yetu wazalendo tutawahoji

Sio tumalize uchaguzi tusikie skendo ya umeme wa Ethiopia haitusaidii
Huyo km mramba jpm alimtema tanesco inasemekana kwa kutaka kuwapa tena mkataba singa wa iptl. Mama akamrudisha. Tunaona mizengwe hii ya kununua umeme wa ethiopia kilometa maelfu huku umeme wa ziada unaxalishwa nchini.
 
Hapa ni pamoja na viongozi watetezi wao akiwepo Mzee wa Pp anayeona Marekani haikoseagi kiuchumi
Huyu Anatuokotea Kila kitu nje Kama Dodoki bila kutuambia mazingira au Mfumo wa shirika la umeme la Marekani ukoje ni WA ushindani au Monopoly

Nchi inapambana walau tuongeze export ya maparachichi , tunapata Fursa ya kuuza umeme tunaiacha tunaenda kununua sisi ety

Hata Kama ndo mnatadharau wananchi lakini msidharau na viongozi wetu

Umeme wa Ethiopia chanzo chake ni mto Nile unaotoka nchini kwetu ziwa Victoria

Unaenda kuzalisha umeme nchi iliyoko maelfu ya kilometa unarudishwa nchini kwa maelfu ya kilometers tunauzia kwa mamamilion ya hela za kigeni

Inawezekanaje Ethiopia isafirishe umeme Hadi Kenya Namanga ipate faida lakini tupate hasara kusafirisha humu humu NDANI

Kama tunataka vyanzo mbadala tunatanunuaje chanzo kile kile kinachofanana Cha maji Tena yanayotoka nchini kwetu

Kwanini tusizalishe vyanzo vingine Kama solar upepo SINGIDA same, geothermal humu humu NDANI
Incase ikitokea ukame ?

Je mabwawa yaliyoko kaskazini nayo yanazalisha kwa hasara ?

Hata mtoto aliyesoma geography ya Darasa la tano utamweleshaje umeme KUTOKA Ethiopia ni rahisi kuliko Rufiji akuelewe ???

Uvumilivu wetu Kama wazalendo una mwisho pia
Kama hawatahojiwa Kuna siku tutachukua nchi yetu wazalendo tutawahoji

Sio tumalize uchaguzi tusikie skendo ya umeme wa Ethiopia haitusaidii
Mwanamke oyeeee,wanawake mjitathimin,mambo ya kuongoza makundi hakupewa mwanamke.
 
Kwa kweli binafsi sijaelewa sababu za kununua umeme nje wakati tumejenga bwawa la Nyerere nadhani kama taifa tunahitaji kuuza zaidi kuliko kununua ili kukuza uchumi wetu hasa ukizingatia tutanunua kwa kutumia dollar.

Sababu walizotoa wataalam wetu hazina nguvu sana sababu hata kutoka Ethiopia hadi mikoa ya kaskazini kuna umbali pia ukizingatia kwamba ukinzani unaongezeka umbali unapoongezeka.
 
Hapa ni pamoja na viongozi watetezi wao akiwepo Mzee wa Pp anayeona Marekani haikoseagi kiuchumi
Huyu Anatuokotea Kila kitu nje Kama Dodoki bila kutuambia mazingira au Mfumo wa shirika la umeme la Marekani ukoje ni WA ushindani au Monopoly

Nchi inapambana walau tuongeze export ya maparachichi , tunapata Fursa ya kuuza umeme tunaiacha tunaenda kununua sisi ety

Hata Kama ndo mnatadharau wananchi lakini msidharau na viongozi wetu

Umeme wa Ethiopia chanzo chake ni mto Nile unaotoka nchini kwetu ziwa Victoria

Unaenda kuzalisha umeme nchi iliyoko maelfu ya kilometa unarudishwa nchini kwa maelfu ya kilometers tunauzia kwa mamamilion ya hela za kigeni

Inawezekanaje Ethiopia isafirishe umeme Hadi Kenya Namanga ipate faida lakini tupate hasara kusafirisha humu humu NDANI

Kama tunataka vyanzo mbadala tunatanunuaje chanzo kile kile kinachofanana Cha maji Tena yanayotoka nchini kwetu

Kwanini tusizalishe vyanzo vingine Kama solar upepo SINGIDA same, geothermal humu humu NDANI
Incase ikitokea ukame ?

Je mabwawa yaliyoko kaskazini nayo yanazalisha kwa hasara ?

Hata mtoto aliyesoma geography ya Darasa la tano utamweleshaje umeme KUTOKA Ethiopia ni rahisi kuliko Rufiji akuelewe ???

Uvumilivu wetu Kama wazalendo una mwisho pia
Kama hawatahojiwa Kuna siku tutachukua nchi yetu wazalendo tutawahoji

Sio tumalize uchaguzi tusikie skendo ya umeme wa Ethiopia haitusaidii
VIONGOZI WA CCM WAMEPOKEA MABILIONI YA RUSHWA KUTOKA ETHIOPIA KUFANIKISHA HAYO YA WAO KUUZAUMEME TZ SAMIA BINAFSI NI MNUFAIKA WA HAYO MABILIONI
 
Back
Top Bottom