Waliosoma shule za Ufundi (Technical schools) Tukutane hapa

Mazengo Tech.. 1998-2001 sasa inaitwa St. John University.
Kwa sasa ni Eng.
Thanks
 
Man to man mtu hatari sn...cku moja nilienda mtembelea rafiki yangu kule bweni la Mirambo ndio nilimsikia huyo jamaa. .tulipanda juu ya dari ndio ikawa salama yetu. ..K4 km sikosei
sisi Iyunga alikuwa jamaa anaitwa Ambonisye huyu alisoma pale pia chocho zote anazijua usiombe mwalimu ajue kila chaka la watoto
 
Lyamungo Secondary School.
 
Nimetoka pale about 48yrs ago labda hakuwepo kipindi hicho.
Hahaha shikamoo mkuu, man to man alimaliza pale pale Ifunda miaka ya 90 then akarudi pale kama mwalimu, pengine wew ni mkubwa sana kwake.

Miaka ya 2000 wakati sisi tupo pale alikuwa bado kijana sana, kila kukicha kukimbazana na wanafunzi, damu changa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…