Tutakuwa tunafahamiana.Hahaha wote hao nawapata vizuri sana. Enzi za Msasa na Mgohamwende mixa Makunja.
Form 4 nimemaliza 97, pata picha uzee nilionao, hapa nasubiri wajukuu
amka amka kaka kumekuchaBinafsi, shule za sekondari za ufundi hapa Tanzania ni zile tano tu na zilikuwa zina workshop kamilifu haswa. Hizi za baadaye sina imani nazo. Shule hizo tano ni hizi;
1. Ifunda Tech
2. Tanga Tech
3. Mtwara Tech
4. Mazengo
5. Moshi Tech
Nje ya hizo, ni mfano wa shule za ufundi
miaka gani hio mkuu ?Pale Musoma Tech tulikuta utaratibu wa baadhi ya wanafunzi wa form one kupewa tena mtihani muda mfupi baada ya kureport, ukifaulu mtihani ule unaenda Shule za Vipaji nakumbuka mwaka wetu ilikuwa Tabora boys!
Kumbe humu ndani wengine tumekuwa wazeeee
Nimesoma O'level 2004 - 2007 jijini Dar es salaam.
2015 tayari nishaanza Kazi zamaniiiiii
Dah..!!! Nimezeeka sasa.
#YNWA
sehemu salama sanaWe shall build our national strong and our school shall shine forever more ...
All God bless our school.....😊💪🤝
nayo ni tech ?Lyamungo Secondary School.
Mwishoni mwa miaka ya tisini!miaka gani hio mkuu ?
Mm sio mwalimu. Huyo ticha amewahi nikimbiza mpaka porini kuelekea ifunda girls alivyonishika kagonga kengere kujitapa yeye ni hussein boltMwalimu Mpwayungu Village utakuwa umekula sana stick za Man to man wewe.
Hahaha bado hajaacha utoto na sifa za kijinga. Ila ni mchapa kazi japo anapenda sana kujipendekeza kwa maboss wake.Mm sio mwalimu. Huyo ticha amewahi nikimbiza mpaka porini kuelekea ifunda girls alivyonishika kagonga kengere kujitapa yeye ni hussein bolt
Engineering science vs physics ,dah [emoji23] unasema somo tamu na ujui limetokea wapi Engineering science ni branch ya physicsHabari za kazi wana Jf, Tunajua kuna level nne za shule (secondary/Ordinal level) hapa kwetu Tanzania
1. Special (Vipaji maalumu)
2. Technical (Ufundi)
3. Boarding (Bweni kawaida)
4. Teule (shule za halmashauri )
5. Day (kata)
wale waliosoma shule za ufundi tujadili ubora na madhaifu yaliyokukuta/ulioyaona kwenye shule hizi (Iyunga, Ifunda, Mtwara Tech, Moshi Tech, Tanga Tech, Musoma Tech na Bwiru Tech zimeongezeka mwadui na chato Tech)
changamoto
• ufundi mnasomea darasani tu hakuna vitendo
Faida
•Engineering science ili somo tamu bana ila sijawahi jua kati ya Physics na ES lipi gumu zaidi madude ya Projectile, angular motion unayapiga ukiwa three tu
• wananolewa vijana ambao wanaenda kuwa wasumbufu sana huko special Advance mfano Cloud Kitumbika pale Tabora school no 3 TO 2020, Edward Lowassa aliwasumbua sana Ilboru na kuwa top ten kitaifa miaka ya 2020
•wanazalishwa maEngineer waliopure sana wakipita Tech
tupia unalolijua kuhusu Technical schools
aisee inashangaza kuona mambo ya kufuatiliana shuleni hadi kukimbizanaMm sio mwalimu. Huyo ticha amewahi nikimbiza mpaka porini kuelekea ifunda girls alivyonishika kagonga kengere kujitapa yeye ni hussein bolt
usikute MulebaHahaha bado hajaacha utoto na sifa za kijinga. Ila ni mchapa kazi japo anapenda sana kujipendekeza kwa maboss wake.
Mkurya wa wapi sijui yule.
ila Engineering science ina hesabu sanaEngineering science vs physics ,dah [emoji23] unasema somo tamu na ujui limetokea wapi Engineering science ni branch ya physics
Mantu man mantu man iyaiya kipara chake kina magamba🎶Mm sio mwalimu. Huyo ticha amewahi nikimbiza mpaka porini kuelekea ifunda girls alivyonishika kagonga kengere kujitapa yeye ni hussein bolt
Mwaka gani?Partical ya Moshi Technical nipo hapa from KARUME 33.
Moto " KUTII, KUWAJIBUKA NA KUZIBUNI MBINU ZA KAZI"
Nimesoma Plumbing (CIVIL).
Engineering science ilinifanya niione Mechanics ya Advance ni nyepesi sana wakati wenzangu wanalia.
😂😂😂😂mambo mengi ambayo yalikua chini ya wazee. Tanga tech tulikua tunafundishwa architecture na mr Mgonja ambaye ana notes alizofundisha 70s, Necta walishavitoa kwenye mtaala [emoji1787][emoji1787][emoji1787].
Alikua anakufundisha punctuality [emoji1][emoji1]Kuchelewa prep ya asubuhi ndo kosa la kupigisha mtu pushups kwenye kokoto na fimbo kama zote