Waliosoma shule za Ufundi (Technical schools) Tukutane hapa

Waliosoma shule za Ufundi (Technical schools) Tukutane hapa

Pale Musoma Tech tulikuta utaratibu wa baadhi ya wanafunzi wa form one kupewa tena mtihani muda mfupi baada ya kureport, ukifaulu mtihani ule unaenda Shule za Vipaji nakumbuka mwaka wetu ilikuwa Tabora boys!
 
Binafsi, shule za sekondari za ufundi hapa Tanzania ni zile tano tu na zilikuwa zina workshop kamilifu haswa. Hizi za baadaye sina imani nazo. Shule hizo tano ni hizi;
1. Ifunda Tech
2. Tanga Tech
3. Mtwara Tech
4. Mazengo
5. Moshi Tech

Nje ya hizo, ni mfano wa shule za ufundi
amka amka kaka kumekucha
 
Pale Musoma Tech tulikuta utaratibu wa baadhi ya wanafunzi wa form one kupewa tena mtihani muda mfupi baada ya kureport, ukifaulu mtihani ule unaenda Shule za Vipaji nakumbuka mwaka wetu ilikuwa Tabora boys!
miaka gani hio mkuu ?
 
Habari za kazi wana Jf, Tunajua kuna level nne za shule (secondary/Ordinal level) hapa kwetu Tanzania
1. Special (Vipaji maalumu)
2. Technical (Ufundi)
3. Boarding (Bweni kawaida)
4. Teule (shule za halmashauri )
5. Day (kata)

wale waliosoma shule za ufundi tujadili ubora na madhaifu yaliyokukuta/ulioyaona kwenye shule hizi (Iyunga, Ifunda, Mtwara Tech, Moshi Tech, Tanga Tech, Musoma Tech na Bwiru Tech zimeongezeka mwadui na chato Tech)
changamoto
• ufundi mnasomea darasani tu hakuna vitendo

Faida
•Engineering science ili somo tamu bana ila sijawahi jua kati ya Physics na ES lipi gumu zaidi madude ya Projectile, angular motion unayapiga ukiwa three tu
• wananolewa vijana ambao wanaenda kuwa wasumbufu sana huko special Advance mfano Cloud Kitumbika pale Tabora school no 3 TO 2020, Edward Lowassa aliwasumbua sana Ilboru na kuwa top ten kitaifa miaka ya 2020
•wanazalishwa maEngineer waliopure sana wakipita Tech

tupia unalolijua kuhusu Technical schools
Engineering science vs physics ,dah [emoji23] unasema somo tamu na ujui limetokea wapi Engineering science ni branch ya physics
 
Partical ya Moshi Technical nipo hapa from KARUME 33.

Moto " KUTII, KUWAJIBUKA NA KUZIBUNI MBINU ZA KAZI"

Nimesoma Plumbing (CIVIL).
Engineering science ilinifanya niione Mechanics ya Advance ni nyepesi sana wakati wenzangu wanalia.
Mwaka gani?
 
Nimefurahi sana chuo cha MUST kuanza kutoa ualimu wa masomo ya ufundi maana watatoa walimu vijana watakaoenda kubadirisha mambo mengi ambayo yalikua chini ya wazee. Tanga tech tulikua tunafundishwa architecture na mr Mgonja ambaye ana notes alizofundisha 70s, Necta walishavitoa kwenye mtaala [emoji1787][emoji1787][emoji1787].
 
mambo mengi ambayo yalikua chini ya wazee. Tanga tech tulikua tunafundishwa architecture na mr Mgonja ambaye ana notes alizofundisha 70s, Necta walishavitoa kwenye mtaala [emoji1787][emoji1787][emoji1787].
😂😂😂😂
 
Back
Top Bottom