Waliowahi kulala gesti za ajabu na kukutana na visa tukutane hapa

Ahahahaha ni balaa sana , #SILALII HATA KWA BUREE#
 
Wa Thailand walitaka kukula mambo[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Tuendelee na mada mkuu Niilingiaga lodge na demu wa udsm kumbe anapumu katikati ya gemu ikamtokea akazirai nikampigia rafiki yake ikabidi nigharamike initoke 100,000 matibabu plus usafiri
Duh hili balaaa mbaya zaidi uwe umemtoa mkoani lazima uone Dunia chungu
 
yalikuta Msata Tanga nimeingia mida ya saa 2 hivi usiku nikamwendea bodaboda anipeleke gest yoyote ya karibu jamaa akatekeleza bahati zuri vyumba vipo. sijachelewa fasta nikalipia ishu ndani sasa, ile naingia tu chumbani nkachek kitanda hammmmadi weee yaaaala aisee kitanda ni cha zege yaani wamejenga kama kaburi esp yaale makauri ya Waislam ya kuacha space katikati then juu wameweka godoro la wanafunzi 3/6. nikasema silali juu ya kaburi never. hatimaye nikalala chini yaani pembeni na kaburi. sikupata usingizi abadani. duu Tanga noma
 
Me sio za mauza uza shida unaenda guest kukwikwichi harafu unakuta tangazo la ukichafua shuka unafua asa najiuliza mmenda kufanya kikao au
 
Daaah, sitasahau nilikula Demu mmoja wa kinywamwezi huko kahama. Niliingia kahama usiku wa saa moja hivi nikapata guest moja humo humo kuna club ma manzi kibao yaani, huku na huku baada ya bia zangu kama sita, nikasema silali pekee yangu leo, basi nikakamata goma moja la haja, jeupe chura wa maana!
Nikala kimoja faster tukarudi mezani kula bia, walipofunga demu likawa lishachangamka na bia, nikabembeleza nikale mzigo tena, likakubali ila kwa mbinde, kutokana na bia zile mzee goli la pili ikawa mbinde, piga na wewe waaapii!

Yule demu alikuwa si mzungumzaji sana ila ni kutabasamu na kuguna tu, hii mara ya pili akawa ni kama anataka kulia muda wote huku ananisukuma shingoni, mzee nikawa nakomaa nimalize, demu akanikaba yaani nilikabwaa!!! Nusu ya kufa, kuja kuuliza vizuri naambiwa lile demu huwa chizi fresh, sometimes linalipuka halisikii la mtu, yaani niliminywa na kucha shingoni, sitasahau!!
 
Ahahahahah ahahah pole bab Wanaume tunakutana na mengiii ahahaha
 
Kulgerrrrrr aahahahahah
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…