roja24
JF-Expert Member
- Feb 7, 2012
- 634
- 410
Rwechuuuu rap.. Tuu mungu angekusamehe maana anakubali vp kuingia nae alafu akatae kutoa mzigo. Napiga hata LIVE IT LOVE ITNiliingia na demu gest za ajabu akanibania papuchi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Rwechuuuu rap.. Tuu mungu angekusamehe maana anakubali vp kuingia nae alafu akatae kutoa mzigo. Napiga hata LIVE IT LOVE ITNiliingia na demu gest za ajabu akanibania papuchi
[emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji23] [emoji23]moja ya maeneo ambayo sijivungi kutumia ela ni gesti....kima cha chini cha gesti nitakayoingia ni buku20
Mkuu mbona umekidharau kukiita kidudu..Duuuuh hii kali kama naona kidudu kilivyo sinyaa baada ya kitanda kukatika
hahah ukisikia kukaba hadi penati ndio hukoWazee ngoma ilinikuta Mafinga, nikasogezewa mzigoo kumbe unataka niunyweshe alafu uje kunibania papuchi weeee nikaubana nikauvua Mara paah nikakuta ameweka pedi eti baby nableed. Nikamkomalia nikamwambia nakupiga tg akanywea akatoa kumbe ameweka mitomato sosi kwenye pedi. Asubuhi eti anajidai asante Ila umenisugua vizuri. Huwa tunaweka tomato ili tukilewa wasitusumbue. Ahahahaha
Nitafute nikupe updatesDuke ni PM maana nataka updates zaidi
surgery plus na masindano ya hormones wanachoma kila wikiMkuu nimejaribu kuwa google hao ma Shemales aisee ni ngumu kuwagundua....
Kwenye matiti ndio naunganisha dot wana boost vipi..??? Hadi yanakuwa na muonekano wa kikeView attachment 822171
Nouma sana mkuu....surgery plus na masindano ya hormones wanachoma kila wiki
Nouma sana mkuu....
Kweli kwa hali hiyo ni ngumu sana na naona wana mvuto zaidi ya wadada...
Kwa hiyo unataka kuniambia kuna baadhi ya watanzania ni SHEMALESyani kwa jinsi technologia inavyokua sson tz huu ujinga utaingia wengi watatoka mbio gesti huko
Kwa hiyo unataka kuniambia kuna baadhi ya watanzania ni SHEMALES
Aisee naomba hiyo hadhaa iniepuke kwa kweli...kwa hapa tanzania sidhani kama wapo.... maana kwenye taarifa ya habari juzi nimeona kuna shemale wa italia alikuwa anaingia zanzibar karudishwa airport palapele
ila utandawazi unavyoendelea we subiri tu tutaanza kukutana nao club
Nikikumbuka nitalia bureTupe habari,umekutana na jini nini
Aisee naomba hiyo hadhaa iniepuke kwa kweli...
Self halafu Choo cha shimo hahahaaaMimi sitasahau,kuna guest house niliwahi kulala maeneo ya Ifisi mkoani Mbeya.Wenyewe wameipa hadhi ya Self contained rooms,nililetewa maji ya moto kwenye ndoo.Lakini kilicho niacha hoi ni mhudumu kuniletea kipande cha sabuni ya jamaa iliyyokwisha tumika pamoja na jiwe la kusugulia miguu!daah!
Kisa cha pili ni kulala katika guest moja huko songea.Nikapewa chumba self-contained,choo ndani kwa ndani,lakini choo chenyewe cha shimo(cha kulenga).Naomba kuwasilisha.
Bangkok, Pattaya, Phuket, Chiang Mai. Hapa kuna wale wanaitwa ladyboys na kutofautisha Kati ya girls and boys ni ngumu.ilikuwa siku moja kabla ya kurudi bongo baada ya wiki nzima ya mishemishe bangkok sasa nikasema lazima nile malaya wa kithailand... kuna red light street moja ipo kama unatoka bangkok nikazama mzee mida kama saa nne usiku nikala bia za kutosha sasa nikicheki hizi malaya kibao wakikuona mgeni wanakumendea
kuna moja hilo lilikuwa lina bonge chura na Boobs za kubust zile nikasema yeeees ndio mambo yangu haya
nikamwita kwa ishara ya mkono akaja baada ya kuongea naye bei akasema kama sina thailand Bhaht basi nimpe USD 40 usiku mzima nikasema haina mbaya ilimradi fantasy yangu itimie
room akasema palepale pub kuna rooms nzuri tu hapo kashaniruhusu nimpapase kifua ila mkono hataki kabisa nipeleke kunako papuchi
basi hao tukaingia room piga romance sana sasa akaanza zile za kizungu.. akanisukuma kitandani alafu akasimama mbele yangu anavua nguo mambo kote yalienda fresh
akabaki na chupi akaniuliza nakumbuka hadi maneno "how would u like it? i take it first or u will take it first or am all yours?" bado nang'aa sharubu nashangaa
akatoa chupi mungu wanguuuu demu ana dudu bhna yani hapo ndio nikakumbuka kuwa bangkok kumejaa wale SHEMALES huku bado nikiwa katika taharuki
akaanza kunambia dont be dissapoited bby there is always a first time in everything
nakumbuka nilimpa hela yake na kutoka mbio pombe zote zimeniisha.. nikamsimulia mwenyeji wangu akanicheka sana.. akasema wenyewe kule wanawaita kayote