Mnafiki Wa Kujitegemea
JF-Expert Member
- Dec 30, 2022
- 3,751
- 6,337
Inasikitisha na kuumiza pia.Braza alipotelewa na mtoto, wa kiume akiwa na 5 years. Mpaka leo ni zaid ya 17 years hajawah patikana wala kujulikana alipo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Inasikitisha na kuumiza pia.Braza alipotelewa na mtoto, wa kiume akiwa na 5 years. Mpaka leo ni zaid ya 17 years hajawah patikana wala kujulikana alipo
Mdogo wako ?Labda awe mtoto wako,mme au mzazi ndio inauma wengine wapote
Ni huyu chalii?Kenya kuna msanii alikua anaitwa Czar aliimba wimbo "Amka Ukatike" naye alipotea miaka ya 2000 nae hajawahi kuonekana hadi leo. Baba ake bado ana matumaini ya kumuona tena mwanae siku moja.
MUNGU AWATIE NGUVU WOTE MLIOPOTELEWA NA WAPENDWA WENU.
🙆🙆🙆Mtoto wa dada angu alipotea mwaka 1997 alikuwa anamuogesha alitoka mara Moja kuangalia mboga jikoni haku mkuta yule mtoto mpaka leo hajamuona Tena yule mtoto!!..
Duuh watu wana siri yaani jamaa ni polisi na wazazi hawajui kuwa ni polisiInasikitisha Sana alikuwa mtu Mmoja mpole Sana hatukujua kama ni polisi mpaka siku alilipopotea baada ya askari wenzake kuja na kubomoa kwake na kukuta sale za polisi
Nikadhani dem wa KIJITA,kumbe KICHAGA!2006 Kipindi Nimemaliza kidato cha nne nilienda moshi kwa demu wangu nilikaa wiki 4 sionekani nyumbani nimetafutwa kote sionekani,ndugu wamenitafuta vituo vyote vikubwa vya police sionekani,radio free africa mpaka ITV kile kipindi cha matukio,hospital zote za dar sionekani wakajua nimekufa.
Wakati nipo moshi mjini nakula bata na uyu demu kumbe kuna jirani aliniona ikabidi apige simu nyumbani kuwa ameniona! ndugu wakamwambia mpeleleze mpaka anapokaa,kweli akajua ninapokaa akawapa taarifa nyumbani siku ile ile bonge moja la crew la watu 8 wametoka dar mpaka moshi.
Sielewi ili wala lile ghafla nikasikia mlango ukigongwa kwenda kufungua nakutana na ndugu zangu,aisee nilichezea kichapo sio cha Dunia hii nilikula bakora nilichezea mbata balaa, kuna jamaa alinipa hifadhi kwake nae akajumuishwa katika kichapo tukachukuliwa msobe msobe mpaka moshi police .
ila uyo demu ndio mama chanja wangu nimemuoa
Ana matatizo ya akili ? Au yupo freshBro, hata mimi Nina bro wangu aliondoka tangu 2001 hatukujua Yuko wapi Hadi 2017 tulipigiwa simu na mtu kuwa ndugu yetu Yuko kibaigwa(wilaya ya kongwa) nilimfuata nikamrudisha nyumbani lakini alikaa mwezi Mmoja tu akatoroka kuanzia hapo hatujawahi kumuona tena. Huwa akionwa na mtu yoyote anamjua anakimbia,. Kiufupi hataki ndugu zake tujue Yuko wapi na hataki kurudi nyumbani.
Siyo kwamba amepatia maisha ila ana maisha magumu sana.
Hili huwa linatuimiza sana ndugu zae ila mama ndiye huwa anaumia zaidi.
Huonekani kabisa bwa shee ubuntu botho wamekupoteza mazima...Daah inauma sana
Bora ujue kua mtu amekufa na mmemzika ......kuliko kupotea
Daaah acha hyo feeling..kuombwa msamaha na mzazi@mnajikuta wotee mnalia kama msibaKuna jamaa tukiwa wadogo miaka ya 90 alikuwa ndio mtoto wa mwisho kwao kati ya 7. yeye mkubwa kidogo kwetu. Sasa hakuwa na hela kama ndugu zake. Baba yake akamwambia nenda kamuulize mama yako akuonyeshe baba yako. Mimi watoto wangu wana hela. Wazee wa Moshi nyoko zao, yule jamaa wala hakuaga alipotea mazima. Kama Bahati ya Mungu nikaja kumkuta Namibia Windhoek miaka ya 2008 kashaoa na uraia kabadili na ana hela hatari. Akawa mwenyeji wangu hakuna kipind kwenye maisha yangu nikula bata kama Wakati huo. Nilikuja kuwaambia nyumbani kwao nimemuona kijana wao hawakuamin walitoka ndugu zao wanne kumfuata na Baba yao na Jan la sale. Jamaa walivyoonana ni kila mtu kulia baba yake akaomba msamaha mengine code. Long live Masssawe. We ni mtu na nusu nilijifunza sana vitu vingi kwako bro.
Hatari.mkuuHuonekani kabisa bwa shee ubuntu botho wamekupoteza mazima...
Any way inauma mnoo kweli kabisa hapo chini yani mm huwa nawaza mengi sana hata kama.simjui hasa mtoto..
Kasamehe tu. Ni katoto bro. Kwenda kaa mweni msheku akushingia mba. Msamehe tiki.Kipindi kile Mkuu wa mkoa Makala aliposema ukimkosa mwanao politics nenda hospitali. Kipindi hiki kulikuwa na panyaroad sana
Kuna mdogo wangu mtoto wa baba mkubwa alipotea. Tulizunguka hospitali zote Dar, mochwari ndo usiseme. Tukaenda polisi Ostrrbay na vituo vingine wapi.
Kijana hakuonekana kwa siku tatu. Kila unapopita walimuona majuzi yake. Tukajua tu huyu sio kawaida take kipotea atakuwa amekufa
Siku ya nne huyo karudi yuko job hana hili wala lile. Napigiwa simu namfata namuliza kwa nini hukuwa unapatikana kwa siku 3? Ananijibu "mwanaume hatafutwi, umuliizaje mwanaume alikuwa wapi?"
Yule dogo no kum* kweli niliapa hata apotee miaka 20 simtafuti. Tutakutana Rombo kwenye matukio
Mwana shu nesukwa. NgilesuvaKasamehe tu. Ni katoto bro. Kwenda kaa mweni msheku akushingia mba. Msamehe tiki.
Mboga aisee. Ini ngikumbuke ngete kaka ekaa dar kwete siku mama alemkabia simu alemkolea kwi. Acha anipigie simu kama kichaa. Mbona simpati fulani wakati naishi km 600 kutoka alipo aisee. Yani msheku uya aleva Sha msukwa kabisa aisee.Mwana shu nesukwa. Ngilesuva
NImewahi kuwaza kupotea mara nyingi sana...nikimkumbuka mwanangu nakosa nguvu za kufanya hivyo.
DALALI MKUU ni mshaka wa kaa kabisa. Aledisha kaa toka 2017, usikute ni yeye huyo kama yako.Mboga aisee. Ini ngikumbuke ngete kaka ekaa dar kwete siku mama alemkabia simu alemkolea kwi. Acha anipigie simu kama kichaa. Mbona simpati fulani wakati naishi km 600 kutoka alipo aisee. Yani msheku uya aleva Sha msukwa kabisa aisee.