Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Utapata hitaji la moyo wako hata usiwe na pupa hata kwenye 45+ utaoa tuTatizo linapokuja unamuoa nani, hawa modern women michosho sana
Pole mkuu!weka picha pengine Kuna aliyemuonaNi mwaka wa pili Sasa, yangu mdogo wangu wa dam kuto weka ktk mazingira ya kutatanisha
Bro, hata mimi Nina bro wangu aliondoka tangu 2001 hatukujua Yuko wapi Hadi 2017 tulipigiwa simu na mtu kuwa ndugu yetu Yuko kibaigwa(wilaya ya kongwa) nilimfuata nikamrudisha nyumbani lakini alikaa mwezi Mmoja tu akatoroka kuanzia hapo hatujawahi kumuona tena. Huwa akionwa na mtu yoyote anamjua anakimbia,. Kiufupi hataki ndugu zake tujue Yuko wapi na hataki kurudi nyumbani.Daa broo wangu kapoteaga asee,, alikuaga tanga saiz inasemekana alienda mgodini manyara, anaitwa INOCENT FATAEL NDOSI
Sipendagi hata kuona picha zake. Halafu ndio dogo nilikuwa unampenda sana na dam zetu zimeendanaPole mkuu!weka picha pengine Kuna aliyemuona
Yuko chimbo anawazoom tu.
mlimkosea nini mpaka akawakimbia?
Hao hao ndugu ndio wamenifanya hata Mimi nimepotea since 2016 wanajua nilipo ila sitaki mazoea ni mama mzazi tu ndio namtumia nauli anakuja kunisalimiaKwa kweli sitakagi hata kuangalia picha zake... Inaniuma mpaka kesho, pia inenifanya kukata tamaa kabisa kuhusu ndugu, wajonba, mashangazi nk. Yani hawana habari
Sema una matatizo ya akilii sikushangaiwateseke tu mtu ninayemuonea huruma ni mama yangu ila nikimuambia nilipo atawambia na ndugu zangu kitu ambacho sitaki.
Aisee ni hatarii sanaa hiiNlipotelewa na mtoto ndani ya masaa 24 ilikuwa hell of exprience
Amina 🙏Utapata hitaji la moyo wako hata usiwe na pupa hata kwenye 45+ utaoa tu
Asanteee...ila.ndugu zangu hawana tatizo kabisa...ni watu wengine tu😅Pamoja na kero zozote kutoka kwa ndugu wa karibu wanaosababisha frustrations za maisha usifikirie kupotea au kuwa mahali pasipojulikana.
Uamuzi wa namna hiyo utaacha maumivu makubws kwa wapendwa wako haswa mama na mtoto.
Muhimu ni kujitenga nao na mambo yao na kuacha kuchangamana nao, chagua wachache miongoni mwa walio wema kwako hao ndio wawe karibu yako na wajue taarifa zinazokuhusu.
Pole kwa makwazo hayo!
Ulijuaje kama unaibiwa? na mbona hukusema naibiwa ?Zamani nilienda Nairobi na maza, nilikua mdogo kiaina
Maza akaniweka kitandani yeye akaenda kuoga, mlango ukafunguliwa akaingia chokoraa, nikaanza kulia sababu alikua anatisha.
Akanibeba anatembea kwa kunyata kuondoka na mimi.
Mama bila atoke ajue shida nini yeye kang'ang'ana kuniambia 'Nyamaza nakuja sasahivi'
Chokoraa anashuka na mimi kwenye ngazi ndo mama akatuona nahisi alivyonikuta sipo chumbani aliweuka akaanza kunitafuta.
Ningeibiwa, Mama angu angekua na majonzi leo ya kupotelewa na mtoto.