Waliowahi kupotelewa na ndugu au mtu wa karibu mje mtupe experience

Inasikitisha Sana alikuwa mtu Mmoja mpole Sana hatukujua kama ni polisi mpaka siku alilipopotea baada ya askari wenzake kuja na kubomoa kwake na kukuta sale za polisi
Duuh watu wana siri yaani jamaa ni polisi na wazazi hawajui kuwa ni polisi
 
Mimi nilivyohitimu darasa la 7 nilitoroka nyumbani nikaenda visiwani kwa ajiri ya kuvua samaki ili nipate pesa ya kusomea secondary lkn niliacha barua nikiwaelezea nia yangu hiyo,hawakunitafuta kwakuwa walipata taarifa.

Watu wapuuzi ktk familia husababisha hali hii kutokea ijapo kwa baadhi ya watu wazima wengi hupotea kutokana na kufanya matukio maovu hasa sisi wanaume.

Nina dada yangu mkubwa ni mtu mmoja mpumbavu sana sema mimi niliamua kuondoa ukaribu naye ili awe anapata taarifa zangu kupitia ndugu wengine.

Mimi kukata miaka 15 bila kuongea naye wala kuonana ni kawaida wakati kwa ndugu wengine nikienda likizo ninaenda sana.

Poleni kwa mliokutwa na mikasa ya kupotelewa ndugu,jamaa na marafiki kiukweli jambo hili halifai hata sekunde 1.

Nilipotelewa na 2 boys ndani ya masaa mawili niliuchukia mkoa ule na ukizingatia hata mwaka nilikuwa sijamaliza baada tu ya kuripoti kazini niliwehuka.

Ilikuwa hivi;
Baada ya kuwa nimeajiriwa,nikaenda kuripoti baadae nikarudi nyumbani kuchukua familia.
Siku 15 tu baada yangu na familia yangu kuwasili ktk huo mkoa mke wangu aliugua sana.

Sasa kwakuwa haukua ugonjwa wa ki -biology ilibidi nimuombe mama mkwe aje anisaidie kuangalia watoto na kuuguza. Tulipambana miezi mitatu baadae akapona.

Sasa haya mambo ya kanisani mama mkwe akawa na binti mmoja hivi urafiki. Basi ikawa hivyo.
Sasa kutokana na dharura iliyotukuta watoto walichelewa kusoma hivyo mwezi flani hivi tukaamua tukawafanyie manunuzi ya vifaa vya shule.

Hao tukaingia mjini kati ambako huyu rafiki yake mama mkwe alikuwa akiishi na mmewe,lkn pia tulihitaji kuhama pale tulipokuwa tukiishi hivyo ilikuwa pia atupeleke kuangalia nyumba nyingine sehemu.

Sasa hawa watoto wetu akasema ngoja wabaki kwake wawe wanaangalia cartoon tukimaliza tuwspitie.
Basi ikawa hivyo.

Saa tisa mara kumi na mbili hii hapa,watoto hawapo na nyumba imefungwa.
Duh! Yaani mimi nimebaki na mabegi ya shule halafu watoto wangu wamechukuliwa?

Huyu dada akampigia simu mmewe,jamaa akamuambia "ni lini sisi tumekuwa na watoto hapo mpaka uniulize habari za watoto?

Sasa nikawaza,huyu jamaa mkewe kamuacha dukani,lkn sasa hivi duka kaliacha wazi lkn watoto nyumbani kwake hawapo maana yake nini?

Tuliongea mengi lkn kufupisha maneno ni kwamba huyu jamaa aliwatimua wale watoto ndani,wakakaa nje baadae kaja mpangaji mwenzao akawahoji hapo basi akawachukua,shukurani kwa watoto wangu walikuwa wanaweza kujieleza wakamuelekeza wanakoishi,walikuwa wamekariri baadhi ya njia,wakifika sehemu wanamuakbia kuwa huwa tukitoka kanisani tunapitia hapa mwishowe walifika nyumbani.

Sasa huyu mpangaji mwenzao kumbe haziivi,na hata huyu binti na mmewe pia wana mgogoro.
Kuja kujua watoto wameshafika nyumbani jasho lilishanitoka kwenye kucha mpaka kwenye meno.
 
Nikajua
Nikadhani dem wa KIJITA,kumbe KICHAGA!
 
Ana matatizo ya akili ? Au yupo fresh

Sent from my SM-A013G using JamiiForums mobile app
 
Mjomba! Binamu yake bmkubwa alipotea mwaka 2000, alitafutwa kila sehemu akupatika, mwaka 2015 mama ake alienda kwa mganga kumuita(issue ya mganga sielewi chochote apa) baada miezi kadhaa
Jamaa alipatikan kilombero huko akiwa mahututi akurudishwa home

2017 akapata marder case lakini now yko free
 
Daaah acha hyo feeling..kuombwa msamaha na mzazi@mnajikuta wotee mnalia kama msiba
 
Kasamehe tu. Ni katoto bro. Kwenda kaa mweni msheku akushingia mba. Msamehe tiki.
 
Kasamehe tu. Ni katoto bro. Kwenda kaa mweni msheku akushingia mba. Msamehe tiki.
Mwana shu nesukwa. Ngilesuva
Nilikagua maiti mwananyama mpaka Leo naota mandato ya ajabu.
 
Mwana shu nesukwa. Ngilesuva
Mboga aisee. Ini ngikumbuke ngete kaka ekaa dar kwete siku mama alemkabia simu alemkolea kwi. Acha anipigie simu kama kichaa. Mbona simpati fulani wakati naishi km 600 kutoka alipo aisee. Yani msheku uya aleva Sha msukwa kabisa aisee.
 
Mboga aisee. Ini ngikumbuke ngete kaka ekaa dar kwete siku mama alemkabia simu alemkolea kwi. Acha anipigie simu kama kichaa. Mbona simpati fulani wakati naishi km 600 kutoka alipo aisee. Yani msheku uya aleva Sha msukwa kabisa aisee.
DALALI MKUU ni mshaka wa kaa kabisa. Aledisha kaa toka 2017, usikute ni yeye huyo kama yako.

Namuonea huruma mama, mtoto gani hajali mama yake anapitia sonona. Mzazi anaona amefeli kweli
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…