Fanton Mahal
JF-Expert Member
- Mar 22, 2024
- 1,597
- 4,661
Huwa namkumbuka sana. Alikua anaitwa Liven walilua ni mapcha na dada ake Anaitwa GivenInasikitisha jamani, poleni sana.....
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huwa namkumbuka sana. Alikua anaitwa Liven walilua ni mapcha na dada ake Anaitwa GivenInasikitisha jamani, poleni sana.....
Duuh..Mtoto wa dada angu alipotea mwaka 1997 alikuwa anamuogesha alitoka mara Moja kuangalia mboga jikoni haku mkuta yule mtoto mpaka leo hajamuona Tena yule mtoto!!..
Dah poleni sana jamani, inaumiza....Huwa namkumbuka sana. Alikua anaitwa Liven walilua ni mapcha na dada ake Anaitwa Given
Hii inaumiza mno ni heri kuzika ujue moja😢 poleni sanaMtoto wa dada angu alipotea mwaka 1997 alikuwa anamuogesha alitoka mara Moja kuangalia mboga jikoni haku mkuta yule mtoto mpaka leo hajamuona Tena yule mtoto!!..
Kuna jamaa alipotea alikua na mke na watoto...
Mpaka leo hajulikani alipo 20 years aisee...ndugu wamehangaika kila mahali
Kwanini sasa? Hauoni kama unawatesa? Si ukae mbali lakini wajue tu upo....Mimi mwenyewe nimepotea nyumban tangu 2017 hakuna ndugu yangu anayejua nilipo. Kuna siku kwenye mishe zangu nilipata mteja anataka frem ya biashara nikapanga nae aje aangalie sasa nikasave ile namba kuja kuchek whatsap wakat nataka kumtumia picha kumbe ni brother niliifuta na kublock ile namba yake. nilishawahi kuona wamenipost hadi facebookk wananitafuta. Nipo dar lakini hakuna anayejua mkoa nilipo sio ndugu tu hata marafiki
wateseke tu mtu ninayemuonea huruma ni mama yangu ila nikimuambia nilipo atawambia na ndugu zangu kitu ambacho sitaki.Kwanini sasa? Hauoni kama unawatesa? Si ukae mbali lakini wajue tu upo....
Umekimbia ndugu na jamaa ili uwe dalali huru sio?Mimi mwenyewe nimepotea nyumban tangu 2017 hakuna ndugu yangu anayejua nilipo. Kuna siku kwenye mishe zangu nilipata mteja anataka frem ya biashara nikapanga nae aje aangalie sasa nikasave ile namba kuja kuchek whatsap wakat nataka kumtumia picha kumbe ni brother niliifuta na kublock ile namba yake. nilishawahi kuona wamenipost hadi facebookk wananitafuta. Nipo dar lakini hakuna anayejua mkoa nilipo sio ndugu tu hata marafiki
hapana, niliwaambia siku nikiondoka sitokaa nirudi tena hawakuamini. sasa wanateseka sana kunitafuta ila ndio hivyoUmekimbia ndugu na jamaa ili uwe dalali huru sio?
Walikukosea nini kama hautajali.....wateseke tu mtu ninayemuonea huruma ni mama yangu ila nikimuambia nilipo atawambia na ndugu zangu kitu ambacho sitaki.
Pole sana, hii kitu inaumiza kuliko msiba....poleHii mambo simuliwa tu kuna uzi nshawahi kuandika humu kumtafuta blood brother nliyemfata kuzaliwa mwaka wa tano huu unaenda hatujui yuko hai ama la tunamwombea uzima popote alipo maana tushangaika sana
masuala tu ya kifamilia ila nafikiria upya kurudi kumsalimia mama alafu nipoee tenaWalikukosea nini kama hautajali.....
Tatizo ni nn chief?Mimi mwenyewe nimepotea nyumban tangu 2017 hakuna ndugu yangu anayejua nilipo. Kuna siku kwenye mishe zangu nilipata mteja anataka frem ya biashara nikapanga nae aje aangalie sasa nikasave ile namba kuja kuchek whatsap wakat nataka kumtumia picha kumbe ni brother niliifuta na kublock ile namba yake. nilishawahi kuona wamenipost hadi facebookk wananitafuta. Nipo dar lakini hakuna anayejua mkoa nilipo sio ndugu tu hata marafiki
Uko sahihi ni heri mkazika mnajua ndugu yetu kalala pale all in all aksante kwa kuguswaPole sana, hii kitu inaumiza kuliko msiba....pole
Chanzo cha hayo yote ni kipi?hapana, niliwaambia siku nikiondoka sitokaa nirudi tena hawakuamini. sasa wanateseka sana kunitafuta ila ndio hivyo