Evelyn Salt
JF-Expert Member
- Jan 5, 2012
- 70,916
- 141,437
Pole mkuu, mama atakua anapata tabu huko.....akikuona atafurahi, nenda tu home samehe maisha yaendelee, ndugu wengine wanakuaga na mapicha picha wasamehe tu.masuala tu ya kifamilia ila nafikiria upya kurudi kumsalimia mama alafu nipoee tena