Waliowahi kupotelewa na ndugu au mtu wa karibu mje mtupe experience

Waliowahi kupotelewa na ndugu au mtu wa karibu mje mtupe experience

Binafsi kwenye familia yetu me ndo nilikuwa yule ambae huwa siendi church yani nikienda ni nme vutwa vutwa saana
Sasa iyo siku kulikuwa na maandamano church ya kutembea ka umbali fulani (ekaristi kwa Rc wana ielewa hii siku)

Kwenye ayo maandamano mom alikua ameenda na Mdogo wangu wa mwisho alikua 2 years old sijui ilkuaje ila dogo ni alipotea uko njiani .na wali mtafuta sanaa hadi church waka Tangaza lakini wapi.

Guess what iyo siku kama kawaida yangu sija enda church nipo mtaani natembea na friends ,ghafla jamaa ana nambia uyo mbona kama Mdogo wako .afu dogo na yeye kuniona akaanza kulia uku ana nikimbilia .kumbe baada ya kupotea alkua ame chukuliwa na wamama wana mhoji so nka mchukue dogo tukarudi home ndo kukuta wame changanyikiwa it was a great and sad moment. .. Mwisho story hii niya kutunga.
 
Binafsi kwenye familia yetu me ndo nilikuwa yule ambae huwa siendi church yani nikienda ni nme vutwa vutwa saana
Sasa iyo siku kulikuwa na maandamano church ya kutembea ka umbali fulani (ekaristi kwa Rc wana ielewa hii siku)

Kwenye ayo maandamano mom alikua ameenda na Mdogo wangu wa mwisho alikua 2 years old sijui ilkuaje ila dogo ni alipotea uko njiani .na wali mtafuta sanaa hadi church waka Tangaza lakini wapi.

Guess what iyo siku kama kawaida yangu sija enda church nipo mtaani natembea na friends ,ghafla jamaa ana nambia uyo mbona kama Mdogo wako .afu dogo na yeye kuniona akaanza kulia uku ana nikimbilia .kumbe baada ya kupotea alkua ame chukuliwa na wamama wana mhoji so nka mchukue dogo tukarudi home ndo kukuta wame changanyikiwa it was a great and sad moment. .. Mwisho story hii niya kutunga.
Unaliwa mkuu 😂😂
 
Abraham Mpesa aka stable kilakala morogoro ndio kwao alisoma kigurunyembe sec morogoro ttc na iringa alipotea toka 2012 mpaka leo hajawahi kuonekana.
Samahani, ni mpesa or Mwakapesa?
 
Mahmet Khalifa Ghulla

jamaa alikuwa mwenyeji wangu nchi x ila baada ya kunionyesha mahali pa kukakaa na taratibu zote kukamilika alitoweka ghafla mpaka leo sijafanikiwa kumuona almost 10 years now.Jamaa alikuwa zaidi ya ndugu ndani ya muda mfupi.



Ila aliwahi kunitambulisha kwa kaka yake ambae baada ya kumuulizia nikaambiwa alikuwa kwenye kazi maalumu a.k.a "wa geti jeusi"
 
IMG_9545.jpg

Mimi hadi leo namtafuta huyo Bwana mdogo anaitwa Joseph Nsabi Jeremiah Gasaya ila naamini yupo ni vile hataki tujue alipo mawasiliano ni 0784908813
 
Kuna jirani yangu ni askari na ni inspekta wa nyota mbili pia alikuwa mkuu wa kituo alipotea tangu Juni 262020 tulipo vunja ndani kwake tukiwa na polisi wenzake tulikuta kaacha Kila kitu chake kuanzia wallet ikiwa na pesa,simu line zote mbili kadi ya benki vyeti vyote vya shule ila mpaka Leo hajulikani aliko.
 
Tulipotelewa na mwanafunzi mwenzetu ziwa Victoria tulipokuwa kidato cha Tatu, hakupatikana hadi leo.

Tulikuwa na kawaida ya kwenda kuogelea mida ya jioni pindi maji yakikatika shuleni.

Walienda kuogelea na wenzio(siku hiyo mimi sikwenda) hakurudi shuleni.

Tulikuja kugundua kesho yake kuwa fulani hayupo.

Wenzake waliokuwa nao wakatafutwa na kuhojiwa, ila hakuna majibu ya wazi yaliyopatikana.

Tulianza msako kumtafuta kwenye eneo lile kwa kushirikiana na wavuvi pamoja na wanakijiji, tulitoka kapa.

Wazazi wakataarifiwa wakaja, wakapiga kambi pale kwa wiki 2 huku msako ukiwa unaendelea. Wakafanya na mishe za kimila ila hakuna lolote lililozaa matunda.

Baada ya hizo wiki 2 tukaamua kuendelea na shule, huku wazazi wakiondoka kurudi nyumbani. Ishu ndio ikaisha hivyo, jamaa hatukumuona tena hadi leo hii zaidi ya miaka 12 imekatika.
 
Kuna jirani yangu ni askari na ni inspekta wa nyota mbili pia alikuwa mkuu wa kituo alipotea tangu Juni 262020 tulipo vunja ndani kwake tukiwa na polisi wenzake tulikuta kaacha Kila kitu chake kuanzia wallet ikiwa na pesa,simu line zote mbili kadi ya benki vyeti vyote vya shule ila mpaka Leo hajulikani aliko.
Duh mnabaki na maswali mengi sana.
Au ni TISS
 
Back
Top Bottom