Forest Hill
JF-Expert Member
- Mar 4, 2018
- 2,873
- 6,821
Napenda mwanao,mume au dada yako apoteee,maana hawanihusu..Ndio
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Napenda mwanao,mume au dada yako apoteee,maana hawanihusu..Ndio
Pole sana, duniani watu ni wengi ila binadamu ni wachache.Maisha ndugu yangu. Kuna watu wanakera sana bora kuwa nao mbali wasipate taarifa zako na wewe usipate za kwao.
Ukiamua. Upotelee kwanguNImewahi kuwaza kupotea mara nyingi sana...nikimkumbuka mwanangu nakosa nguvu za kufanya hivyo.
Mwenyezi Mungu atuepushie na mitihani ya namna hii.Kwa mtu aliyewah kupotelewa na ndugu au mtu wa karibu aje atoe experience. Nikiona mtu anatangaza kupotelewa na ndugu ua nashikwa na uchungu sana mpaka najiuliza nduguze hali ikoje.
Ni tabia zake tu za kilast born hakuna shida serious, hajishughulishi na chochote hata ukimuuliza tu "utakaa hivi hadi lini dogo si ufanye kazi" yani hili ni kosa kubwaaaa mnoooo la kutosha kumfanya atoroke kwamba ananyanyasika.Aisee kuna shida ipo ndani msikilizeni. kila mtu anapenda kuwa karibu na ndugu zake ila sasa kuna mambo ya ndani ndio yanafanya mtu unachukua maamuzi magumu
Siku nikiamua kupotea basi nitapotelea mbali huko kijijini mkoa wa mbali ambao sijawahi kufika.Pole sana, duniani watu ni wengi ila binadamu ni wachache.
Kama utaamua kupotea njoo upotelee kwangu
100%Maisha ndugu yangu. Kuna watu wanakera sana bora kuwa nao mbali wasipate taarifa zako na wewe usipate za kwao.
Nami naomba niungane nawePamoja Sana mkuu
Utakuwa umenisaidia Sana
Utanizidishia stress weweUkiamua. Upotelee kwangu
Hehehe haiwezi tokeaNapenda mwanao,mume au dada yako apoteee,maana hawanihusu..
Jamani,fanya kurudi nyumbani au kuwa na mawasiliano nao.Mimi mwenyewe nimepotea nyumban tangu 2017 hakuna ndugu yangu anayejua nilipo. Kuna siku kwenye mishe zangu nilipata mteja anataka frem ya biashara nikapanga nae aje aangalie sasa nikasave ile namba kuja kuchek whatsap wakat nataka kumtumia picha kumbe ni brother niliifuta na kublock ile namba yake. nilishawahi kuona wamenipost hadi facebookk wananitafuta. Nipo dar lakini hakuna anayejua mkoa nilipo sio ndugu tu hata marafiki
Unakwepa hayo maswali, au unakua na line mbili.....muda haujisikii kuwasiliana nao unaweka line wasioijua ila usipotee kabisaWatanisumbua kutaka kunijulia hali na kuniuliza mambo ambayo sitataka wafahamu.
Kuna maswali huwezi kukwepa hasa kutoka kwa mama. Unawajua mama zetu...Unakwepa hayo maswali, au unakua na line mbili.....muda haujisikii kuwasiliana nao unaweka line wasioijua ila usipotee kabisa
Nakuomba uwasiliane hata na mama tuuumambo tu ya kifamilia mkuu
Mie pia huwa napenda kukaa mbali na ndugu tutembeleane tu mara chache chache ila walau nawasiliano yawepo.....kukaa nao karibu huwa sitaki mambo ni mengi. Kukerana kwingiKuna maswali huwezi kukwepa hasa kutoka kwa mama. Unawajua mama zetu...
Utaishia kumuonea huruma unajikuta unarudi😀
Mimi sina shida yoyote na ndugu zangu..napenda kukaa nao muda wote. Ni watu wengine kabisa😅Mie pia huwa napenda kukaa mbali na ndugu tutembeleane tu mara chache chache ila walau nawasiliano yawepo.....kukaa nao karibu huwa sitaki mambo ni mengi. Kukerana kwingi
Heeee Demi!!! Serious??? Yani watu baki ndo wakupoteze?? Nlidhani ndugu...Mimi sina shida yoyote na ndugu zangu..napenda kukaa nao muda wote. Ni watu wengine kabisa😅
Ni watu baki lakini tayari wapo kwenye maisha yangu..hawataniacha niishi kwa amani.Heeee Demi!!! Serious??? Yani watu baki ndo wakupoteze?? Nlidhani ndugu...
Ni nani sasa???