Jolie Jolie
JF-Expert Member
- Dec 28, 2017
- 7,406
- 13,806
Maji ya moto na yenyewe kama hujazoea siku ya kwanza unaweza ukatapika[emoji23]Kama huwezi vyote kunywa maji ya moto na limao asbh na jion inasaidia me ndo ninvyofanya hayo mengine yanataka moyo utaanza siku mbili ya tatu umeshaacha
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Duu 110Kg yaani hapo upaja mmoja utakuwa unasoma 30Kg. Wewe kweli kuna haja ya kupungua aisee
Haya sasa matusi, kg 56 unahema???? Ungekuwa na 80 zangu ungekufa kabisa, mi natamani zifike 69, ila kila nikijitahidi naishia 75 narudi 80Daah....
Niko 56kg... Ila nikitembea nahema ka nini
Yakiwa na limao wala huwezi hisi hicho kituMaji ya moto na yenyewe kama hujazoea siku ya kwanza unaweza ukatapika[emoji23]
Kabisaa my dearHaya sasa matusi, kg 56 unahema???? Ungekuwa na 80 zangu ungekufa kabisa, mi natamani zifike 69, ila kila nikijitahidi naishia 75 narudi 80
How long did you take to cut weight from 120 kg to 70?Niliwahi Kuwa mnene hadi nikawa najikatia tamaa jinsi nilivyo,unene usikie kwa jirani unachosha sana,kilo zangu hazikuwa chini ya kg120.sasa hivi Nina kg70.,kama unapiga gym na wewe ni mnene usinyanyue vyuma we pendelea kukimbia na kuruka kamba au kuendesha baskel Mazoezi haya yanapunguza mwili kwa kasi kuliko ..unapotoa jasho jingi ndivyo na uzito unashuka kwa haraka,Mimi nilifikia kuondoa hadi kilo 1 kwa siku.!
Ah ah ah ah watu mna majibuMpende asiye kupenda utapungua.
Acha Kula wana na kutuma sukariNatamani sana kupungua ndugu zangu nilijitahidi sana na diet ila kwa sasa imenishinda
Mazoezi ni kaziKama huwezi vyote kunywa maji ya moto na limao asbh na jion inasaidia me ndo ninvyofanya hayo mengine yanataka moyo utaanza siku mbili ya tatu umeshaacha
Una hatarii, acha kula kula na mabiaThe last time nimepima nilikuwa na 101 na ilikuwa december mwanzoni 110 nimefanya makadirio tuu maana nimeongezeka zaidi
Mabia sinywagi kabisaa, Labda kula tuuUna hatarii, acha kula kula na mabia
Punguza tengeneza Juice usiweke sukari, acha kula mavitu ya dukani Juice, na Kwa Siku Kula wanga asubuhi au mchana, usiku kula mboga za majani tu,, Kilo zako habari sana,, Upo mrefu au mfupi?Mabia sinywagi kabisaa, Labda kula tuu
Nineanza kufanya hivyo nakaribia wiki sasa, Nipo mrefu kiasiPunguza tengeneza Juice usiweke sukari, acha kula mavitu ya dukani Juice, na Kwa Siku Kula wanga asubuhi au mchana, usiku kula mboga za majani tu,, Kilo zako habari sana,, Upo mrefu au mfupi?
Maana ukilemaa utafikisha Kilo 200 oohooNineanza kufanya hivyo nakaribia wiki sasa, Nipo mrefu kiasi
Sawa Dina[emoji120]Maana ukilemaa utafikisha Kilo 200 oohoo