mawardat
JF-Expert Member
- Apr 27, 2021
- 23,965
- 131,949
Hii nimeshuhudia huko nyumbani kwa mama,,yaani msibani hapapikwi,bali nyie majirani ndo mnapeleka chakula pale msibani,kilichopikwa,
Iweje mtu kafiwa halafu afikirie kuwalisha nyie????
Kula nyumbani kwako shiba,msibani nenda kaombolwze tu,
Sent using Jamii Forums mobile app
Iweje mtu kafiwa halafu afikirie kuwalisha nyie????
Kula nyumbani kwako shiba,msibani nenda kaombolwze tu,
Sent using Jamii Forums mobile app