Wamachinga wauza Juice Karume Ilala

Wamachinga wauza Juice Karume Ilala

Yaani mimi huyo kaka namjua ni mkaka flan hv anauzaga juisi ameweka jaba la juisi kwenye mkokoten hyo siku napita alinichangamkia as if ananijua kwamba tumetoka mbali, nikawa ananiambia walau nipooze kiu na juis kidogo nikamwambia sijskii kunywa juis huku moyon nikijiuliza kwamba nishawah kumuona wapi?akaniforce ninywe et baadae ananambia nichangie nikagoma kutoa buku mara et toa jero nikamgomea nikamwambia mm siwez kulipia maana sijaomba kunywa juis hee akakasrika nikaondoka zangu
 
Kuna mwana huwa anavaa cap mara nyingi nyeupe yupo karibu na geti la kwanza kuingia tbl napita nikaona wana wanakunywa juice nikauliza bei akasema 500 nikanywa ikaisha baadae anasema nimlipe buku eti nimekula na cake dah na alikaza kweli nikamlipa kwa unyonge
 
Kuna mwana huwa anavaa cap mara nyingi nyeupe yupo karibu na geti la kwanza kuingia tbl napita nikaona wana wanakunywa juice nikauliza bei akasema 500 nikanywa ikaisha baadae anasema nimlipe buku eti nimekula na cake dah na alikaza kweli nikamlipa kwa unyonge
Ndio huyo huyo 😂
 
Yaani mimi huyo kaka namjua ni mkaka flan hv anauzaga juisi ameweka jaba la juisi kwenye mkokoten hyo siku napita alinichangamkia as if ananijua kwamba tumetoka mbali, nikawa ananiambia walau nipooze kiu na juis kidogo nikamwambia sijskii kunywa juis huku moyon nikijiuliza kwamba nishawah kumuona wapi?akaniforce ninywe et baadae ananambia nichangie nikagoma kutoa buku mara et toa jero nikamgomea nikamwambia mm siwez kulipia maana sijaomba kunywa juis hee akakasrika nikaondoka zangu
Atakuwa huyo huyo jamaa. Mwem am a hivi huwa anavaa kofia kepu. 😂😂😂
 
Ngoja wikendi hii nikajionee mji na mimi.
Au jamaa wikendi hawapo.
 
Wafanya biashara wengi ni kawida yao happ me kila nikipita lazima iwe hvyo, Wanaanza kukuita kama wanakujua.
 
Nimepitia hiyo kitu ila kwa mimi Introvert sijuani na watu wengi huwa nasanuka mapema kwamba huyu anavutia biashara yake. Mjini bwana [emoji16][emoji16][emoji16]
 
Back
Top Bottom