Heci
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 3,591
- 6,114
Mama zetu noma sanaAU UTAAMBIWA NENDA KALE KWA SHANGAZI YAKO
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mama zetu noma sanaAU UTAAMBIWA NENDA KALE KWA SHANGAZI YAKO
Sijajua kuna ugomvi gani yaani kati yao hadi leoMama zetu noma sana
Usipo mpin mkeo atakosa disciplineHawa ni kudili nao Kwa Mkono wa chuma. Wabadilike wasibadilike watajua wenyewe.
Haki!
Jino Kwa Jino
Usipo mpin mkeo atakosa discipline
Wengi tunapwaya, wake wanatupanda vichwani, matokeo yake tunatengeneza kizazi cha ajabu kabisaNi kweli Kabisa.
Shangazi yako anakunywa henessy, hebu nirushie namba yake ya simuSio kwa wote jamani. Wengine shangazi zetu wanapendana na wifi zao(mama zetu)hatari mpaka kununuliana simu. Na kiukweli tunapatana sana na ndugu wa baba kuliko upande wa mama. Shangaz yangu popote uliko kunywa henessy ntalipa. Mama angu kunywa juice tu (umeokoka).
Sitaki ugomvi na mjomba angu mkuu.Ka
Shangazi yako anakunywa henessy, hebu nirushie namba yake ya simu
tumerogwa aiseeShangazi ndio wifi eeeh hizi hesabu huwa hazibalance