Wamarekani lile jiji la New York waliamua aisee!

Usikariri mkuu USA sio km bongo
 
Kuna wenzako huku wanapinga mji wa Dodoma kujengwa.
 
Daah umeongelea Helsinki (Finland) umenitamanisha sana mkuu, ni kati ya majiji ambayo huwa natamani sana nifike, pamoja na Dublin (Ireland) napo

Nakuunga mkono mkuu, binafsi majiji ninayoona mazuri kwa North America na Europe ni New York, Los Angeles, Las Vegas (US), Toronto (Canada), London (UK), Oslo (Norway), Paris (France), Stockholm (Sweden), Geneva (Switzerland), Munich (Germany) et al

Ni vizuri kusafiri na kubadili mazingira pale unapopata nafasi, binafsi hii ndio passion yangu, naonaga bila kusafiri maisha yangu hayana furaha timilifu
 
Duh ,uko vzr, big up sana
Mweee kumbe mi hamna kitu sijatembea bado loooo🙆🤭
Napenda adventure,Mungu nisaidie
 
Luanda Angola ni nyoko, lodge tunazolipa 20,000 bongo kule ni Dola 150, ila utakula kitimoto hadi uchoke. Kule kama wewe ni fundi magari utapata kazi nyingi sana. Niliwakuta vijana wa Mwananyamala Mbeya ndo wanapiga hizo dili
Khaaa why? Au hawana lodge za kutosha?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…