Wamarekani lile jiji la New York waliamua aisee!

Halafu kwa jiji la Kinshasa kule DR Congo kwangu mimi binafsi Dar es Saalam bado tuko nyuma sana.
Kin la Belle (Kin the Beautiful)

Kinshasa mji ambao una Bendera yake na Seal yake, mji mzuri kwa muonekano wa majengo na mpangilio wa makazi Je! Dar es Salaam ina bendera yake na Seal yake km mji na mpangilio wa makazi je ?


Bendera ya Kinshasa

Niliambiwa kwamba miji ya Congo zilikua ni Nchi zilizoamua kuunganishwa na P Lumumba Ila akawa na anapigwa Vita na wahasimu akiwemo Tshombe ambae alikua ana ushirika na Marekani pamoja na Waberigiji hata kifo Cha Lumumba Marekani na Waberigiji wamehusika maana walikua wanamsaidia Tshombe ambae alikua amejitangaza km rais wa Jimbo au mji wa Katanga kwa kipindi kile ilikua inachukuliwa km Nchi si Jimbo au mji
 
👌👌👌Aisee safi sana
 
Pambana ufike Singapore Mzee baba. Zile garden zake ni balaa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…