Wamarekani lile jiji la New York waliamua aisee!

Wamarekani lile jiji la New York waliamua aisee!

Hii tabia kujenga stand nje ya miji aliileta magufuli[emoji23]
Ni wazo zuri ila wanatakiwa waangalie na jamii ya eneo husika.
Stand ya Mbezi hata ingewekwa wapi watu wangeifata, maana Dar watu hufuata miradi.

Dodoma ile stendi lazima watafuga popo tu
 
But new york pamoja na ukubwa wake bado kuna watu wengi maarufu wanakimbilia kuishi los angeles sababu ya mazingira yake,new york mji umejaa maghorofa ningumu kupata nyumba zenye nafasi kubwa ,los angeles inavutia wengi mfano maeneo kama barveley hills na hollywood imevutia watu wenye interest ya uigizaji
 
But new york pamoja na ukubwa wake bado kuna watu wengi maarufu wanakimbilia kuishi los angeles sababu ya mazingira yake,new york mji umejaa maghorofa ningumu kupata nyumba zenye nafasi kubwa ,los angeles inavutia wengi mfano maeneo kama barveley hills na hollywood imevutia watu wenye interest ya uigizaji
vipi san fransisco california, na washington japo najua ni jiji la kiserikali
 
Luanda Angola ni nyoko, lodge tunazolipa 20,000 bongo kule ni Dola 150, ila utakula kitimoto hadi uchoke. Kule kama wewe ni fundi magari utapata kazi nyingi sana. Niliwakuta vijana wa Mwananyamala Mbeya ndo wanapiga hizo dili
Nliwah pata demu wa kiangola Anita aisee alinifundisha mpaka Portuguese mzee, sikuiz huwa yupo portugal, Braga. Umenikumbusha mbali sana man.. Anyways there is no success like New York success...
 
Hapana, mastaa wao wengi wa India wanaishi Mumbai. Mji uliojengeka na wa kistaarabu. New Delhi ukipewa gari katikati ya jiji unaweza ushindwe kuendesha, honi ni nyingi hadi masikio yatakuuma.
Nliendaga Chennai kusoma certification, ilikuwa sponsored na kazi....
 
CNN walisema wasipochukuaa hatua miaka mia ijayo linaweza kuzama lote. Jinsi yale majengo walivyojenga hata sikuelewa ni ukiyaangali kama yamebebana hivi
Wapeleke watu sehemu kama St Louis Missouri na Detroit Michigan, hizi sehemu hazina watu wengi wanakimbia sababu ya high crime rates... Wafanye projects kama jamaa mmona alivyosema alafu waimarishe security wawakimbize wahuni, Marekani sehemu nyingi zenye high crime rate.majumba yako abandoned
 
Yaani we acha miji imrpangika haswa
Majina tu yanavutia na unajua yaliyomo yamo! Mi nadhani hapa wana JF wote angalau kabla muda wa kuishi haujafika angalau tufike kwenye moja ya majiji hayo..hatutakuwa the same tukirudi bongo. Badala ya kuona kwa movies..Pia kule Hawaii ile nature hatari sana.
 
Vihindi vilivyo vilazmishi lazima honi ziwe nyingi, watu tumeumbwa tofaut ila wahindi wameumbiwa ubishi
Vibishi sana alafu vina woga na vitoa rushwa vizuri sana..!.ile jamii huwa naishangaa sana...janja janja sana
 
Back
Top Bottom